Mambo mengine kuyasema huenda ikaonekana ni aibu. Nina tabia ya kupenda Kila mwanamke Mzuri

Mambo mengine kuyasema huenda ikaonekana ni aibu. Nina tabia ya kupenda Kila mwanamke Mzuri

Soma mpaka utakapoishia,
Au tumia Skimming au Scanning Method kusoma maandiko marefu.

Tunaandika maandiko marefu Kwa mahitaji ya wapenda maandiko marefu, wanaopenda mafupi ninyi mtasoma mpaka Mtakapoishia.

Lakini nikiandika andiko fupi nitawanyima haki na utamu wapenda maandiko marefu.

Hivyo andiko refu lina-meet mahitaji yenu wote
Ungeweka hata part two au uandike to be continued
 
Mwanaume yeyote yule aliyekamilika, lazima avutiwe na maua mazuri 🌹🌷 Hata mimi nina hilo tatizo. Hata mzee mwenzangu Pascal Mayalla mara kadhaa amekiri kusumbuliwa na hili tatizo.

Mshana Jr mwenyewe na ulokole wake, anajitahidi tu kuvumilia! Lakini humwambii kitu kwa Barbara Gonzalez na Kalpana.

Ni vile tu tunajitahidi kuvumilia! Na wakati mwingine kula tu kwa macho. Ila ni jambo la kawaida sana kwa mwanaume rijali kuwakwa na tamaa pale aonapo maua mazuri.
Hahaaaa jiseme mwenyewe mkuu usimtaje Mshana
 
Mwanamke asili yake awe mrembo na ni kwa ajili ya furaha ya mumewe mwanamke mrembo nifaraja ya macho,ni starehe kumwangalia.
 
😀😀😀

Wanaume wote Duniani wapo hivyo.
Ogopa matapeli

Kuna kitu nimegundua, Jamii nyingi duniani ambazo hazijaendelea zina obsession na sex kupitiliza, mfano black race yaani hata awe jamaica au marekani au kariakoo hiyo ni given

Ndio maana hata Trump alisema

"Africans are lazy, good at sex and theft"

Yaani hili unaweza hata kuliona katika nchi ambazo zina watu weupe na weusi kama South Africa na Marekani,

Utaona blacks na sex havitenganishwi hata matusi tu yanaegemea kwenye sexual acts kwa sababu ubongo upo hivyo

Kwa hiyo bro usiseme dunia nzima wanaume wote tupo hivyo, wewe enjoy starehe yako in peace maana hili la lutafuta justification ni kama kuna guilty unaihisi ila unatafuta kampani ili ujione ni kawaida


Kila mtu ana kilevi chake, wewe Chako ni sex na usitafute namna nzuri ya kukipunguzia makali kuwa unahusudu pisi kali. Just say una ulevi wa sex bhasi maana ni haki yako kikatiba cha msingi hubaki
 
Mwanamke asili yake awe mrembo na ni kwa ajili ya furaha ya mumewe mwanamke mrembo nifaraja ya macho,ni starehe kumwangalia.

Na ni kivutio Kwa wanaume wanaomtazama sio tuu mumewe.

Kuwa na Mke asiyetongozwa tafsiri yake ni kuwa umeuziwa Mbuzi kwenye Gunia🏃🏃🏃.
 
Kuna kitu nimegundua, Jamii nyingi duniani ambazo hazijaendelea zina obsession na sex kupitiliza, mfano black race yaani hata awe jamaica au marekani au kariakoo hiyo ni given

Ndio maana hata Trump alisema

"Africans are lazy, good at sex and theft"

Yaani hili unaweza hata kuliona katika nchi ambazo zina watu weupe na weusi kama South Africa na Marekani,

Utaona blacks na sex havitenganishwi hata matusi tu yanaegemea kwenye sexual acts kwa sababu ubongo upo hivyo

Kwa hiyo bro usiseme dunia nzima wanaume wote tupo hivyo, wewe enjoy starehe yako in peace maana hili la lutafuta justification ni kama kuna guilty unaihisi ila unatafuta kampani ili ujione ni kawaida


Kila mtu ana kilevi chake, wewe Chako ni sex na usitafute namna nzuri ya kukipunguzia makali kuwa unahusudu pisi kali. Just say una ulevi wa sex bhasi maana ni haki yako kikatiba cha msingi hubaki

Unataka kusema Wazungu au Wachina au watu weupe kiwango Chao cha tamaa kipo chini?

Kama ndivyo unavyofikiri basi jua upo Wrong,

Tena hakuna jamii zinazoongoza Kwa tamaa ya ngono Kama watu weupe. Waafrika Wakasome,
Ndio maana Wazungu wamefikia hatua ya kuvuka mipaka ya kingono mpaka wameingia kwenye Ushoga na Usagaji.

Kitu usichokijua ni kuwa,
Sex Kwa Wazungu ni gharama kutokana na Aina ya wanawake wao walivyo, kukua Kwa miji na elimu.


Wewe unasema Waafrika wanaongoza Kwa tamaa ya ngono,
I. Waliogundua Sex machine, Dildo en the like ni kina Nani?
2. Waliogundua pornograph films ni kina Nani?
3. Waliorasimisha Umalaya ni kina Nani?
4. Waliorasimisha ushoga na usagaji au wenye kiwango kikubwa cha hayo mambo ni kina Nani?

5. Wanaotengeneza malighafi za ngono Kama vile mafuta n.k. ni kina Nani?

6. Wanaolala na wanyama kiwango kikubwa ni kina Nani?

7. Wenye Watoto au idadi kubwa ya watu ni kina Nani? Maana yote hayo yanahusu ngono, sex.

Ni kasumba mbaya kusema Waafrika wanaongoza Kwa Kupenda ngono na inatokana na uvivu wao. Huo ni uongo.

Kama ulikuwa hujui, orodha ya Races zinazopenda ngono Waafrika ndio tunashika nafasi ya mwisho kabisa.

1. Wahindi
2. Wachina
3. Waarabu
4. Wazungu
5. Waafrika.
 
Naona unatafuta umaskini kwa nguvu,mkuu ni nature yetu wanaume kutamani ila kama bado haujasimama kimaisha,kuwa kama mimi fanya kama huwaoni alafu endelea na harakati.

NB:"SUFFER THE PAIN OF DISCIPLINE OR THE PAIN OF REGRET"
 
Naona unatafuta umaskini kwa nguvu,mkuu ni nature yetu wanaume kutamani ila kama bado haujasimama kimaisha,kuwa kama mimi fanya kama huwaoni alafu endelea na harakati.

NB:"SUFFER THE PAIN OF DISCIPLINE OR THE PAIN OF REGRET"

😂😂

Umasikini ni nature Mkuu!
Tunapambana nao lakini mwisho WA siku wenyewe ndio utakaoshinda.

Tulizaliwa masikini (tukiwa hatuna kitu) na tutaondoka masikini (hatutachukua chochote)

Hasara kubwa ni kutofurahia maisha na nafasi uipatayo.

Hata hivyo naelewa ulichokisema
 
😂😂

Umasikini ni nature Mkuu!
Tunapambana nao lakini mwisho WA siku wenyewe ndio utakaoshinda.

Tulizaliwa masikini (tukiwa hatuna kitu) na tutaondoka masikini (hatutachukua chochote)

Hasara kubwa ni kutofurahia maisha na nafasi uipatayo.

Hata hivyo naelewa ulichokisema
Message copied...hao viumbe by nature ukiwaendekeza ni source ya umaskini japo nakiri mimi mwenyewe ni ngumu sana kuvuka hio mitihani.
 
Message copied...hao viumbe by nature ukiwaendekeza ni source ya umaskini japo nakiri mimi mwenyewe ni ngumu sana kuvuka hio mitihani.

Ni kweli kabisa.
Ni ngumu kuwavuka Kwa sababu nafikiri kunakitu kipo ndani ya miili yetu au Akili zetu kimedizainiwa kuwa connected nao.

Kuwaendekeza ndio hatari zaidi
 
Sheikh usiogope hyo ni sunna.hata Mimi napenda wanawake wazuri tatizo Sasa hivi sina pesa.hata namba naona uvivu kuomba
Mimi ni muumini wa "mapenzi pesa"
 
Sheikh usiogope hyo ni sunna.hata Mimi napenda wanawake wazuri tatizo Sasa hivi sina pesa.hata namba naona uvivu kuomba
Mimi ni muumini wa "mapenzi pesa"

Umesema kweli Sheikhe!
Mapenzi bila pesa wakati mwingine ni kujichoresha tuu
 
Unataka kusema Wazungu au Wachina au watu weupe kiwango Chao cha tamaa kipo chini?

Kama ndivyo unavyofikiri basi jua upo Wrong,

Tena hakuna jamii zinazoongoza Kwa tamaa ya ngono Kama watu weupe. Waafrika Wakasome,
Ndio maana Wazungu wamefikia hatua ya kuvuka mipaka ya kingono mpaka wameingia kwenye Ushoga na Usagaji.

Kitu usichokijua ni kuwa,
Sex Kwa Wazungu ni gharama kutokana na Aina ya wanawake wao walivyo, kukua Kwa miji na elimu.


Wewe unasema Waafrika wanaongoza Kwa tamaa ya ngono,
I. Waliogundua Sex machine, Dildo en the like ni kina Nani?
2. Waliogundua pornograph films ni kina Nani?
3. Waliorasimisha Umalaya ni kina Nani?
4. Waliorasimisha ushoga na usagaji au wenye kiwango kikubwa cha hayo mambo ni kina Nani?

5. Wanaotengeneza malighafi za ngono Kama vile mafuta n.k. ni kina Nani?

6. Wanaolala na wanyama kiwango kikubwa ni kina Nani?

7. Wenye Watoto au idadi kubwa ya watu ni kina Nani? Maana yote hayo yanahusu ngono, sex.

Ni kasumba mbaya kusema Waafrika wanaongoza Kwa Kupenda ngono na inatokana na uvivu wao. Huo ni uongo.

Kama ulikuwa hujui, orodha ya Races zinazopenda ngono Waafrika ndio tunashika nafasi ya mwisho kabisa.

1. Wahindi
2. Wachina
3. Waarabu
4. Wazungu
5. Waafrika.

😁😁 mkuu upo serious na kujitetea, sikumaanisha kukuumiza nilikuwa nataka uwe huru tu pasipo kutafuta justification ya ulevi wako


Kingine brother unategemea capitalist anatengeneza bidhaa kwa matumizi yake kana kwamba tupo kwenye subsistence economy, bepari anaangalia pesa ndio maana anaweza kutengeneza dawa za kujichubua lakini yeye ni mweupe tayari.. Anachojali hesabu

Kingine huku Africa ni unafki tu ndio unaoendelea kwa kuwa tumejikita katika tamaduni na dini lakini leo wakisema tuanze kuishi kama liberals lazma utabaki mdomo wazi..

Watu wanaishi kwa hofu Tu kama drug lords, wana ukwasi mkubwa ila hawaingii forbes kwa sababu pesa zao ni haramu,

ndio sawa na sisi tunaojifanya watakatifu huku nje ila kwenye kuta zetu tuna utajiri wa machafu kuliko hata hao wazungu wanaojianika publicly

By the way nyingi ulizoandika ni fallacies ambazo zipo baseless zaidi ya kukariri hear says tu..

Mimi ni muafrika pure ila sehemu nyingi tu tunazingua na siwezi kujitetea humu, labda huko Quora ukikutana na wazungu ila kwa mwafrika mwenzangu kama wewe, tusidanganyane

Just enjoy having sex randomly, if it makes you happy, hicho ndo kinachojalisha ila usijumuishe kila mtu ili uhisi ulicho nacho kiko sawa na ni kawaida kwa kila mwanaume.. It's not

WRONG is WRONG even if everyone is doing it and RIGHT is RIGHT even if no one is doing it 🙏🙏
 
😁😁 mkuu upo serious na kujitetea, sikumaanisha kukuumiza nilikuwa nataka uwe huru tu pasipo kutafuta justification ya ulevi wako


Kingine brother unategemea capitalist anatengeneza bidhaa kwa matumizi yake kana kwamba tupo kwenye subsistence economy, bepari anaangalia pesa ndio maana anaweza kutengeneza dawa za kujichubua lakini yeye ni mweupe tayari.. Anachojali hesabu

Kingine huku Africa ni unafki tu ndio unaoendelea kwa kuwa tumejikita katika tamaduni na dini lakini leo wakisema tuanze kuishi kama liberals lazma utabaki mdomo wazi..

Watu wanaishi kwa hofu Tu kama drug lords, wana ukwasi mkubwa ila hawaingii forbes kwa sababu pesa zao ni haramu,

ndio sawa na sisi tunaojifanya watakatifu huku nje ila kwenye kuta zetu tuna utajiri wa machafu kuliko hata hao wazungu wanaojianika publicly

By the way nyingi ulizoandika ni fallacies ambazo zipo baseless zaidi ya kukariri hear says tu..

Mimi ni muafrika pure ila sehemu nyingi tu tunazingua na siwezi kujitetea humu, labda huko Quora ukikutana na wazungu ila kwa mwafrika mwenzangu kama wewe, tusidanganyane

Just enjoy having sex randomly, if it makes you happy, hicho ndo kinachojalisha ila usijumuishe kila mtu ili uhisi ulicho nacho kiko sawa na ni kawaida kwa kila mwanaume.. It's not

WRONG is WRONG even if everyone is doing it and RIGHT is RIGHT even if no one is doing it 🙏🙏

😀😀

Wala sijitetei na sitetei tabia au nature ya mwanaume.

Ila nilichokuwa natofautiana na wewe ni kuona Sisi Waafrika tunapenda zaidi ngono kuliko Wazungu Jambo ambalo si kweli.

Mwanaume ni mwanaume bila kujali rangi yake.
Tukija kwenye matokeo Ubaoni, Watu weupe wapo mbele yetu Kwa karibu kila kitu ikiwemo Kupenda Ngono.

Tabia mbaya ni mbaya tuu.
Lakini Kwa mwanaume kuwa na tamaa na wanawake wengi sio tatizo wala sio dhambi kwani ni nature yetu kuwa na Wanawake wengi.
Utamaduni wa kuoa mke mmoja ndio unafiki na kosa Kwa sababu unapingana na Hali halisi ya Sisi wanaume.

Mwanaume kutamani wanawake wengi ndio tupo hivyo, hakuna sababu ya kujizuia. Ni vile tumeamua kuchagua Wrong direction ya kuoa mke mmoja.
 
😂😂😂

Siku ukifika Casino utaelewa Mimi na Wewe Nani anaakili za kitoto.

Ukiwaona wanaokuongoza Kwa kila kitu wamezungukwa na pisikali ndio utaelewa wewe ni mnafiki wa kiwango cha juu.
Ndio maana nikakuambia ngoja chuo kifunguliwe urudi ukasome uondoke hapo nyumban kwa mume wa dada yako... Kwahio casino ndio umeona ni sehem ya kujiona umemaliza maisha kufika huko... Embu maliza balehe kijana mbichi kabisa wew
 
Ndio maana nikakuambia ngoja chuo kifunguliwe urudi ukasome uondoke hapo nyumban kwa mume wa dada yako... Kwahio casino ndio umeona ni sehem ya kujiona umemaliza maisha kufika huko... Embu maliza balehe kijana mbichi kabisa wew

Sawa Profesa
 
Back
Top Bottom