Mambo mengine kuyasema huenda ikaonekana ni aibu. Nina tabia ya kupenda Kila mwanamke Mzuri

Kuna mbuzi moja humu ishanismbia eti unapenda sana wanawake. Kwake hio anaona ni kashfa!
 
Ningeomba hizo sentensi uzibadili kutoka kwenye wingi kwenda kwenye umoja.. Nikusaidie kidogo πŸ˜‚

"Tabia mbaya ni mbaya tu lakini kwa mimi kuwa na wanawake wengi sioni tatizo au dhambi kwani ni nature yangu kuwa na wanawake wengi

Utamaduni wa kuoa mwanamke mmoja ndio unafki na kosa kwa sababu unapingana na uhalisia wangu "...

Unajihisije kaka ukiongea hivyo πŸ˜‚πŸ˜‚, najua lazma ujihisi kinamna flani ila ukiuweka wingi unapata nafuu maana msiba wa wengi ni sherehe ila mimi nakuambia huo ni msiba wako, usituunganishe wote dunia nzima ili ujihisi vizuri 😁😁

Kingine wewe unachotaka ni kuishi kama mnyama usie na utashi unaokupa kustaarabika kwa kutenda kila kitu kwa kiasi

Hata ungeruhusiwa ndoa kumi bado wangezaliwa wapya na mwili wako bado ungewaka tamaa kuiendea zinaa.. Kiufupi uzinzi ni kifungo chako, ni tamaa yako kwa hiyo usitafute njia za kujihisi ni sawa

Mungu alikupa utashi ili uwe na kiasi, ukikosa hicho usitake maneno yake yabadilike ili yaendane na uhalisia wako

By the way ushaambiwa kama jicho lako likikuingiza dhambini ni kheri ulikate kuliko mwili mzima kuingia motoni.. Sasa utajua ni nini cha kudeal nacho..

Sipo perfect na yawezekana nina mazito kuliko yako na ninahangaika nayo ila nikuwish All the best, katika mahangaiko yakoπŸ˜πŸ™πŸ™
 
Narudia tena na hapa mkeo anasomaga hizi mambo zako?
 
Bado una akili za kitoto kwahio ni sawa tu endelea... Ukimaliza balehe utaona vitu vya kawaida tu... By the way shule na vyuo vifunguliwe vijana mmejazana kwenye nyumba za waume wa dada zenu hamna kazi zaidi ya kuperuzi mitandao...
Unaweza kuta ww ndo huna lolote zaid ya kujipandisha tu, acha kuchukulia poa watu usiowafahamu ila humu kuna watu wanajionaga wamemaliza kila kitu kumbe hawana lolote wanajifichia tu kwenye ID fake
 
Usipende kukaa Vivihivi!
Usipende kukaa bila kazi, bila changamoto, jipe shughuli Mafuta ya Mwili yayeyuke. Ukikaa vivihivi unatengeneza Bomu katika familia yako.
Kabisa mkuu, hata mimi nilijifanyia tafiti mimi mwenyew nikajua kua nikikaa idle nawaza ngono ngono ngono tofauti kabisa nikiwa na ishu zinazonikeep busy nafocus sana kwenye mahusiano ya mtu BE kuliko kua tombtomb.
 
Kabisa mkuu, hata mimi nilijifanyia tafiti mimi mwenyew nikajua kua nikikaa idle nawaza ngono ngono ngono tofauti kabisa nikiwa na ishu zinazonikeep busy nafocus sana kwenye mahusiano ya mtu BE kuliko kua tombtomb.


πŸƒπŸƒπŸƒ
Kuna watu watakuambia wewe mtotoπŸ˜€
 
Unaweza kuta ww ndo huna lolote zaid ya kujipandisha tu, acha kuchukulia poa watu usiowafahamu ila humu kuna watu wanajionaga wamemaliza kila kitu kumbe hawana lolote wanajifichia tu kwenye ID fake


πŸ˜€πŸ˜€
Asikupe shida, sio mbaya mtu akijitutumua kwenye Fake IDπŸ˜‚
 
Mwanaume yeyote asiye na hizo character ulizonazo,ana matatizo
 
Unaweza kuta ww ndo huna lolote zaid ya kujipandisha tu, acha kuchukulia poa watu usiowafahamu ila humu kuna watu wanajionaga wamemaliza kila kitu kumbe hawana lolote wanajifichia tu kwenye ID fake
sawa mke wangu mtam nimekuelewa, naona umemsaidia bwana wako kunijibu... Karibu tena bwabwa jaymoul
 
Muda utaongea kwa sasa niseme piga kazi mwisho waja! Unafikiri walioleta ndoa walikosea eee?
 
Umetisha kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…