Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
๐๐๐JamaniHahah nimekumbuka nilitoka dom mpka Moro nimelala yule baba ikabidi anaiulize Dada unaumwa malaria?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐JamaniHahah nimekumbuka nilitoka dom mpka Moro nimelala yule baba ikabidi anaiulize Dada unaumwa malaria?
Wewe ni mimi kabisa, tena nikab sipandishi๐๐๐Mm nakuwa silali nasikia kilakitu navaa ushungi hivo nachofanya nausogeza usoni ๐๐
We ringa tu, Shauri yako - itatokeza utando kama wa buibui, Ni PM haraka, nikusaidie. ๐๐Huo mda huupati Yan nalala nikiamka kuchimba dawa Nachukua chakula nikimaliza kula nalala Tena Tena usiombe nikae dirishan nakuwekea mgongo kabisa napandisha najifanya usingiz umekolea ๐๐๐
Kuna mmoja uvumilivu ukamshinda akauliza dada unaumwa nikamwambia Jana nilikesha najiandaa safar Ilikuwa ghafla ๐๐hivo nimechoka
We noma aisee๐๐Huo mda huupati Yan nalala nikiamka kuchimba dawa Nachukua chakula nikimaliza kula nalala Tena Tena usiombe nikae dirishan nakuwekea mgongo kabisa napandisha najifanya usingiz umekolea ๐๐๐
Kuna mmoja uvumilivu ukamshinda akauliza dada unaumwa nikamwambia Jana nilikesha najiandaa safar Ilikuwa ghafla ๐๐hivo nimechoka
Nilishindwa hata kuelewa hyo malaria kaitolea wapi hahahahaha๐๐๐Jamani
Hatar๐๐Wewe ni mimi kabisa, tena nikab sipandishi
Kuna boya mwingine nimesafiri nae tanakaribia kuingia mwanza ananiambia nichukue room moja na yeye huku njia nzima sijaongea nae chochote zaidi ya za asubuhi mda nimapanda gari, nikawa najiuliza hivi huyu mzima kweliHatar๐๐
Oyaah, Oyaah ungeliwa ๐๐!!Kuna boya mwingine nimesafiri nae tanakaribia kuingia mwanza ananiambia nichukue room moja na yeye huku njia nzima sijaongea nae chochote zaidi ya za asubuhi mda nimapanda gari, nikawa najiuliza hivi huyu mzima kweli
Huyo kweli boya ๐๐ yan salamu tu anataka mchukue room,je ungepiga nae story si angesema mkodi nyumba kabisaKuna boya mwingine nimesafiri nae tanakaribia kuingia mwanza ananiambia nichukue room moja na yeye huku njia nzima sijaongea nae chochote zaidi ya za asubuhi mda nimapanda gari, nikawa najiuliza hivi huyu mzima kweli
Kipindi hicho ndo mapenzi na mchumba wangu yapo juu ambae ndie mume kwa sasa, Yan mwanaume yeyote hata akiniambia mambo naona anataka kuharibu mahusiano yangu afu huyu analeta habari za kuchukua room moja na yeye, hivi unajua first love inavokuaOyaah, Oyaah ungeliwa man ๐๐!!
Hapo nampenda mchumb wangu mpk basi sitaki hata kuambiwa mambo na mwanaume yeyote Yan mapenz mapenziHuyo kweli boya ๐๐ yan salamu tu anataka mchukue room,je ungepiga nae story si angesema mkodi nyumba kabisa
Mabaharia wa kimaskhara njoeni muone tunavyopigwa za uso hukuKuna boya mwingine nimesafiri nae tanakaribia kuingia mwanza ananiambia nichukue room moja na yeye huku njia nzima sijaongea nae chochote zaidi ya za asubuhi mda nimapanda gari, nikawa najiuliza hivi huyu mzima kweli
Sorry nilikuita man kumbe she!!Kipindi hicho ndo mapenzi na mchumba wangu yapo juu ambae ndie mume kwa sasa, Yan mwanaume yeyote hata akiniambia mambo naona anataka kuharibu mahusiano yangu afu huyu analeta habari za kuchukua room moja na yeye, hivi unajua first love inavokua
Wewe unamkimbia mtumishi wa Mungu, bro una mashetani ๐น๐น๐นMwezi wa saba nlienda Moshi safari ya usiku chuma BM nlikaaa na mzee swala 5++ yule mzee sijui Ile ni kama anatafuna vitunguu Swaum karafuu na manini sijui Yale hata sikufika mbali nliongea na konda akafanya maarifa
Sema kukaa na hawa wadada 35-50 awe bonge kidogo Dar Arusha utaona kama Machinga to ferryWewe unamkimbia mtumishi wa Mungu, bro una mashetani ๐น๐น๐น