Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

Dr KJ hakuomba tobo? Maana umemshobokea hadi aibu
 
Mkuu Tai Dume, kwa kweli uzi wako una somo zuri sana kuhusu skills na experience unazo pata kazini ukiwa mtu wa kujituma.
Tungependa kujua kidogo ni misaada ya namna gani hasa mlikua mnatoa kwa hao wastahiki.
Pia nimeona kua kwenye hizi NGO pia sehemu kubwa ya pesa zinakwenda kwenye gharama za idara na kidogo zinawafikia walengwa.
Kutafuta success stories ni moja ya njia ya secure kazi za hao watumishi wa NGOs wakiwa local au wakitoka huko ugenini wote wako desperate kuhakikisha wafadhili wana endelea kuto pesa.
 
inaonyesha umepiga sana Hela Mkuu...haijatosha kujiajiri
 
TAI DUME itifaki izingatiwe mkuu.
 
Dah, Big hakumsikiliza Big mwenzie kwenye 10 crack commandments;

never let no one know, how much dough you hold.
 

Thank you chifu. Hii ngoja nikimbizane nayo sasa hivi
 
Mkuu Percival asante kwa kuona kuna kitu unaweza kuokota kwennye huu uzi.

Nikirudi kwenye maswali yako,
1. Hilo shirika halitoi misaada bali linatoa fedha kama ruzuku kwa NGOs nyingine baada ya kuleta proposals za kutekeleza miradi (projects) mbalimbali hususani za kusimamia utekelezaji wa sera na sekta mbali mbali kwenye level ya halmashauri, mfano Afya, maji, elimu nk. Lakini pia kuna miradi ya kudai au kusimamia upatikanaji wa haki za makundi mbali mbali kama wanawake, watoto, walemavu, wazee, vijana nk.

2. Mgawanyo wa fedha zilizokuwa zinaigia pale ofsini ulikuwa ni 30% kwa ajili ya uendeshaji wa ofisi kama vile mishahara, ununuzi wa assests za ofisi n.k.

3. Kwenye kutekeleza miradi kama niliyoitaja hapo juu success stories na case studies for best practices ni muhimu sana. Ni moja ya uthibitisho kwamba fedha zilizopelekewa kwa wadau zimetumika kadili ilivyopangwa na zimeleta matokeo chanya. Kumbuka shirika likipewa fedha za ruzuku hawazirudishi fedha kwa riba au zinapokelewa tu kama msaada, bali wanatakiwa kulipa matokeo chanya.

Nafikiri nimekujibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…