Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

Kuna mstari mwembaba Sana Kati ya kujishusha na kujidhalilisha

Isome kwa sauti
Kuna mstari mwembamba sana kati ya kuwaonesha watu mstari mwembamba ulio kati ya kujishusha na kujidhalilisha, na kuwapangia watu maisha huku uki wa judge bila hata kuwajua.

Shaggy katika "It Bun Me" alisema "You can't judge a man before you walk in his shoes".

Have some more understanding /mercy and less judgement please.
 
Huo mstari mwembamba kautengeneza yeye.

Mimi nikiongea kwa unyeyekevu kwa bosi wangu kuna mtu atasema najidhalilisha.
 
Kama lipi?

Ujue hayo mambo mawili ni mtambuka, wewe utasema hili mwingine akaona hivi na mwingine akaona vile.
Kwanza watu hatufanani.

Kwa mwanamfalme aliyezaliwa katika kasri la kifalme, inawezekana kumfuata mtu kumsalimia tu ni kujishusha, inatakiwa yeye ndiye afuatwe kusalimiwa, tena kwa kupigiwa magoti.

Wakati kwa mwenzangunamie pangu pakavu tia mchuzi hata nikifuta viatu vya watu kwa mahesabu yangu, naweza kujiona sijajishusha, naishi kwa mkakati wangu tu.

Sasa, inakuwaje mtoto wa mfalme anipangie mimi maisha yangu na kuniambia hapo mbona umejishisha sana unapangusa viatu vya watu vumbi, kwa kuangalia standards zake, wakati mimi maisha yangu si ya mtoto wa mfalme?
 
Hii inanikumbusha 2010 pale Exem Tower na Holiday Inn posta nilipoenda kuomba kazi.

Lete muendelezo mkuuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…