We umeongelea mambo ya kiroho. Yapo ya kimwili au kidunia. Ukifiwa usipipoteze mwelekeo.
Kwanza funga milango watu wakusanyike nje au kibarazani.
Pili usilielie, angalia nyendo za ndugu zako maana wengine wanatumika kipindi cha msiba kufanya hujuma kwenye familia.
Tatu kama eneo lako kuna utaratibu wa kuendesha misiba na jumuia, ukoo, vyama vya kuzikana n.k waachie wafanye majukumu yao.
Nne hakikisha wasichana na aki na mama wa ndani wanakuwa sehemu moja usiku na mchana ili wasifanye uchafu kipindi cha msiba.