Mambo muhimu ya kufanya pindi tu unapopokea taarifa za msiba wa mzazi wako au ndugu yako wa karibu

Mambo muhimu ya kufanya pindi tu unapopokea taarifa za msiba wa mzazi wako au ndugu yako wa karibu

We umeongelea mambo ya kiroho. Yapo ya kimwili au kidunia. Ukifiwa usipipoteze mwelekeo.
Kwanza funga milango watu wakusanyike nje au kibarazani.

Pili usilielie, angalia nyendo za ndugu zako maana wengine wanatumika kipindi cha msiba kufanya hujuma kwenye familia.

Tatu kama eneo lako kuna utaratibu wa kuendesha misiba na jumuia, ukoo, vyama vya kuzikana n.k waachie wafanye majukumu yao.

Nne hakikisha wasichana na aki na mama wa ndani wanakuwa sehemu moja usiku na mchana ili wasifanye uchafu kipindi cha msiba.
Vizuri umeliona hilo.

Ukipata msimamizi mzuri hamna kitu kinapotea na wafiwa wata kula kuoga na kupata huduma zote vizuri
 
Mimi namshukuru Mungu wazazi wangu wote wapo hai mpaka leo.Namshukuru Sana kwa Hili🙏

Ahsante Sana mkuu kwa ushauri mzuri.
 
Mimi namshukuru Mungu wazazi wangu wote wapo hai mpaka leo.Namshukuru Sana kwa Hili🙏

Ahsante Sana mkuu kwa ushauri mzuri.
Hakika unatakiwa uendelee kumshukuru Mungu kwa kila dakika ya maisha yako kwa ajili ya uhai wa wazazi wako.
Pia unatakiwa uwatunze, uwajali na kuwathamini sana wakiwa hai, maana mmoja wapo au wote wakiondoka kabla yako, ndo utapoona umuhimu wao bila kujali ni wazee sana au wa kiasi.
 
Poleni wote mliofiwa na wapendwa wenu, Mungu aendelee kuwafariji.Msiba hauna formula jamani.
 
Back
Top Bottom