Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
-
- #61
Ukifiwa unasahau hayo mambo yote.
👆Wapo ambao wanakumbuka mkuu, inategemea mtu na mtu.
Msiba unauma, lkn ni jambo ambalo huwa haliepukiki na kila mmoja wetu anakubaliana na jambo hilo. Hakuna mtu asiekubali kuwa kuna kufa au kufiwa.
Karibu na ubarikiwe sana ndugu yangu 🙏Ahsante kwa miongozo...
SahihiMkuu ndomaana nikasema kama kuna mtu mungine ambae atakuwa na ya kuongezea mengine basi aandike hapa chini kwenye comment.
Shukran mkuu 🙏Sahihi
Pa1 snAMEN...
Vizuri umeliona hilo.We umeongelea mambo ya kiroho. Yapo ya kimwili au kidunia. Ukifiwa usipipoteze mwelekeo.
Kwanza funga milango watu wakusanyike nje au kibarazani.
Pili usilielie, angalia nyendo za ndugu zako maana wengine wanatumika kipindi cha msiba kufanya hujuma kwenye familia.
Tatu kama eneo lako kuna utaratibu wa kuendesha misiba na jumuia, ukoo, vyama vya kuzikana n.k waachie wafanye majukumu yao.
Nne hakikisha wasichana na aki na mama wa ndani wanakuwa sehemu moja usiku na mchana ili wasifanye uchafu kipindi cha msiba.
Huu ujinga wa kuharibu thread za watu ukemewe vikali!chadema wanakazi ya kulaumu hadi marehemu
HahahaHuu ujinga wa kuharibu thread za watu ukemewe vikali!
Hakika unatakiwa uendelee kumshukuru Mungu kwa kila dakika ya maisha yako kwa ajili ya uhai wa wazazi wako.Mimi namshukuru Mungu wazazi wangu wote wapo hai mpaka leo.Namshukuru Sana kwa Hili🙏
Ahsante Sana mkuu kwa ushauri mzuri.
Ameen mkuu, msiba ni tukio kubwa ambalo lipo nje ya uwezo wa binadamu.Poleni wote mliofiwa na wapendwa wenu, Mungu aendelee kuwafariji.Msiba hauna formula jamani.