Mambo muhimu ya kuzingatia wakati kuchagua kampuni utakayonunua hisa zake katika soko la hisa D.S.E

coming back
 
Soko la hisa lolote hapa tanzania ni utapeli kwa watu wanyonge ....hisa ni njia mojawapo kubwa sana ya kufanya biashara kupata mtaji wala siyo kunufaisha wana hisa wa chini ...biashara ya hisa kwa tz ni sawasawa na BIASHARA YA MAKANISA KATI YA MITUME =KAMPUNI AU SHIRIKA NA WANAHISA WA KAWAIDA =NA WAUMINI (kondoo) ni kama utapeli wa makanisa ya kina MWAMPOSA ....GAMANYWA ...ZUMARIDI NK ...NI UHUNI.

MASIKINI KUTOKA KWENDA KUNUNUA HISA NI SANA NAMPUMBAVU KWENDA KUPIGIA KURA CCM TENA CHINI YA SAMIA.
 
so
Bakhresa naye kuwa mmojawapo wa wanahisa ni upumbavu...?
 
so
Bakhresa naye kuwa mmojawapo wa wanahisa ni upumbavu...?
Wewe kijambio soma nilicho andika sipendagi kubishana na wapumbavu baresa anasimama upande wa kina mitume feki kina mwamposa ..kakobe nk hao ndiyo wanyonyaji wenyewe ....kwenye soko la hisa kuna mabwana na watumwa. Soko.la hisa lipo kama mzani wa dukani una pande mbili kwa hapa tanzania wanufaika ni wale mabwanyenye wanatumia mbinu kujinufaisha....kutokana na makosa ya kimfumo wa biashara ya hisa tz
 
"soko la hisa lolote" kwani kuna masoko mangapi ya Hisa hapa Tanzania,tuorodheshee kwanza....

Je,kuna nchi ambayo biashara ya hisa haipi kampuni mtaji....?

0.3% ya wa-TZ ndiyo wapo kwenye Hisa,,,,,majority Holders wa Hisa ni foreigners including QATAR FOUNDATION....Sasa je,QATAR FOUNDATION ni wehu kuwekeza BONGO?
 
Kuweka matusi ndi dhihirisho la ujinga wako,,,,,,Sasa kama hauwezi kubishana,then why unaandika,,,,si heri ukaa kimya...
Tutajie hayo makosa ya kimfumo wa biashara ya Hisa hapa Tanzania....Japo matano tu....
siyo kuwa bingwa wa kuropoka,weka hoja hapo...
 
Kumbe wewe ni mpumbavu ..masoko ya hisa yapo mengi tanzania tumia akili ...pia kuhusu kuipa kampuni mtaji nani kapinga ....au ujui tofauti ya soko la hisa kuipa kampuni mtaji tu na sikuwanufaisha wanahisa ...masoko ya hisa tanzania kazi yake ni si kuwanufaisha wanahisa isipokuwa wale wenye hisa za level ya juu ya maamuzi..
 
Sibishanagi na wapumbavu kwa sababu mimi nina akili nyingi kukuzidi mbali sana ...mimi ninatoa elimu kamili na timamu kazi yako ni kutii tu au kuuliza maswali kama aujaelewa kima wewe ...mwizi wa ccm .....hata sadaka ni mtaji wa kanisa ila wanao nufaika nao ni wale wakuu wa kanisa stupid..kuhusu masoko kila kampuni inayo uza hisa hilo ni soko moja la hisa....hivyo idadi yote ya wanao uza hisa ndiyo idadi ya masoko
 
Ndugu uliye mwelevu,tafadhali
  • Nijuze mie mpumbavu hiyo idadi ya masoko ya hisa hapa Tanzania.
  • Niorodheshee hayo masoko.
Tuanzie hapo kwanza.........siyo kuropoka tu.

Zaidi ya 85% ya wanahisa ni wa nje ya nchi....Na ndiyo fedha dhao zinaendesha makampuni hayo.....
Sasa onesha hao wanahisa wa chini wana faidisha vipi au wanahisa wa juu,,,,,
malizia hapo......
 
Ndugu uliye mwelevu,tafadhali
  • Nijuze mie mpumbavu hiyo idadi ya masoko ya hisa hapa Tanzania.
  • Niorodheshee hayo masoko.
Tuanzie hapo kwanza.........siyo kuropoka tu.
Wacha nikujibu sawa sawa na upumbavu wako ujawai kusikia mtu ana sema KANISA LA MUNGU kumaanisha wakristo wote na mtu ana sema MAKANISA YA MUNGU pia kumaanisha makanisa yote tumia akili wewe zuzu wa ccm ....
Mtu anaweza kusema soko la uchumi wa tanzania ila ndani yake kuna masoko mengi
 
Wacha nikujibu sawa sawa na upumbavu wako ujawai kusikia mtu ana sema KANISA LA MUNGU kumaanisha wakristo wote zna mtu ana sema MAKANISA YA MUNGU pia kumaanisha makanisa yote tumia akili wewe zuzu wa ccm ....
Usizunguke,,,,jibu maswali kama ulivyo ulizwa,,,,siyo kuleta hoja ya Kanisa hapa.....
  • Taja hiyo idadi ya masoko ya hisa Tanzania
  • Orodhesha hayo masoko
wala usifanye mambo kuwa mengi....
Kama haujui vitu,usiwe mwepesi wa kuropoka,kaa chini na ujifunze,mana hadisasa unajiabisha mwenyewe tu hapo.
 
oya mwerevu umekimbia......... πŸ˜€ πŸ˜€ 😡
 
Wakuu greater than na Lwiva hamtutendei haki wanajukwaa.

Ni dhahiri wote kuna kitu mnajua kuhusu hisa, lkn badala ya kubishana kwa hoja nyie mmechagua matusi.

Mnatunyima nafasi ya kujifunza sisi tusiojua a,b,c,d za hisa.
 
Wakuu greater than na Lwiva hamtutendei haki wanajukwaa.

Ni dhahiri wote kuna kitu mnajua kuhusu hisa, lkn badala ya kubishana kwa hoja nyie mmechagua matusi.

Mnatunyima nafasi ya kujifunza sisi tusiojua a,b,c,d za hisa.
Hapo hakuna cha kujifunza panastaili matusi ni utapeli wa serikali ya ccm nikama utapeli wa makanisani tu ...jichunge usije kuingia kwenye huo mtego huyo jamaa ni dalali wa masoko ya hisa awezi kukuambia ukweli hata siku moja....hili mambo ya hisa yakunufaishe ni lazima na wewe uwe sehemu ya hao wahuni...nikama hile michezo ya desi.
 
Mimi ni Dalali wa nini.... πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hii ndiyo unaambiwa ukiona elimu Gharama ,jaribu ujinga....

Bro,mi nipo kwenye Tasnia ya uhandi majengo....Natumia mda wangu wa bure kuelekezana na watu juu ya mambo muhimu kuliko kuongelea mpira na hizo conspiracy theory zako.
 
Wakuu greater than na Lwiva hamtutendei haki wanajukwaa.

Ni dhahiri wote kuna kitu mnajua kuhusu hisa, lkn badala ya kubishana kwa hoja nyie mmechagua matusi.

Mnatunyima nafasi ya kujifunza sisi tusiojua a,b,c,d za hisa.




Pitia baadhi ya Nyuzi nilizoandika juu ya Soko la Hisa na mitaji.
 
mwenye kuelewa hizi hesabu naomba anisaidie... Ukiwa una 50mil na uka nunua hisa za 9%, hapo kwa monthly unapata how much?
 
Mkuu Asante kwa bandiko zuri ila file halifunguki linahitaji password
Nime-upload file la Excel ambalo lina taarifa mbalimbali za fedha za makampuni yaliyo orodheshwa DSE kutoka mwaka 2019 hadi 2023...
password : JAMII
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…