Mambo nayopenda kwa Waislamu japo ni Mkristo

Mambo nayopenda kwa Waislamu japo ni Mkristo

Bro hebu jipe muda wa kupunguza stress kidogo.....stress hazina faida jifunze tu kuzikataa kwa namna yoyote ile.
Hahah

Unajua nakujibu hivyo kwa sababu gani? Sorry lakini kama imekugusa cha msingi kuna ujumbe ndani ya majibu yangu.
 
Hahah

Unajua nakujibu hivyo kwa sababu gani? Sorry lakini kama imekugusa cha msingi kuna ujumbe ndani ya majibu yangu.
Sababu unaijua we uliejibu.....wala hamna kilichonigusa zaidi tu ya kuona umejawa na hasira na stress kwa vitu ambavyo wala havihitaji mihasira na mistress.

Cheers
 
Kuoa na kuacha luhusa iwapo kama mke ulie muoa anatabia mbaya utafanyaje uendelee kuishi na nyoka ndani,lakini hata nyiyi mnahachania mahakamani kilakukicha
Sijakuelewa unataka kusema nini?.
 
Pamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.

1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma

2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia

3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao

4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.

5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini

6: Kuharakisha mazishi.

7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!

8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
Uislam kama ulivyo Ukristo, Uhindu, Ubudha, Uyahudi n.k vyote vina mabaya na mazuri yake.
Katikahjayohayo uyaitayo mazuri ya uislam ukiyachumbua kwa akili huru utaona ni udhaifu tu unaopuliziwa mafuta mazuri na kuvalishwa viungo bandia, pia ndivyo ilivyo kwenye dini nyingine.
Ila ukiona mmoja yupo mbelembele kujinasibu yeye ni mzuri kuliko wengine , basi akili kichwani ni wakati wa kuitumia.
Sikatai, Uislam ni mzuri sana na unajali mno, ndiyo maana umeagiza mtu kama kama atashikwa na hamu ya kimwili, ikatokea akamuingilia mnyama kimwili basi akimchinja mnyama huyo ahakikishe nyama yake haiuzi au hailiwi eneo hilo, anatakiwa akaiuze au akawape watu mbali kabisa. Pia kama mtu ataiingilia maiti ya mwanamke kimwili, uislam unaelekeza mtu huyo anatakiwa kufanya nini baada ya tendo hilo.
Wakristo wana mapungufu mengi ambayo yanatokana na utayari wa wakristo kiimani, hivyo kuna makundi ya watu yanataka kujinufaisha wao binafsi kupitia utayari, upole na Ujinga wa Wakristo.
 
Namba 1 mpaka 3 hapana, ni maisha ya kale na yenye kuminya uhuru wa binadamu.
 
Mi sioni tofauti mana kama ni mkristo unaweza kuowa chap tu bila hata mambo mengi ya masherehe hata kwenye mazishi ukiamua kumzika mtu wako hata leo leo hakuna mtu atakuzuia ilimradi tu mmejirizisha kifo chake hakina utata..swala la sadaka unaweza goma kutoa kama mimi kuhusu kususiwa maiti hiyo ni wewe sasa na kurudi kundini
 
Allah akufanyie wepesi katika shughuli zako zote. Uislamu ni dini ya kweli iliyobakia.
Kama ningeendelea kuwa muumini wa haya madhehebu ya wenzetu, ningebadili dini na kuwa muislamu. Ni dini iko very social na inablend vizuri sana na tamaduni zetu.
 
Contradictions zilizomo kwenye Quran ukiziongelea pia unaweza kuuwawa.

Ukristo unaruhusu Free Speech kuliko Uisilamu.

Tuongeeni ukweli ndugu zangu.
 
Pamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.

1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma

2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia

3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao

4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.

5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini

6: Kuharakisha mazishi.

7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!

8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
Ni vyema ungesilimu. Otherwise wewe ni mnafiki.
 
Wewe sio mkristo ni muislamu sema unatafuta namna ya kuonyesha kua dini yako ni bora kulingana na vipimo vyako
 
Niliuliza hivi; Kwanini mtu akitaka kusilimu lazima apewe jina la kiarabu..
Mfano, Bahati anataka kusilimu, kwanini sasa aitwe Abdul badala ya kubaki na Bahati lake.. Je kuna shida na Majina yasiyo ya kiarabu?

Naomba jibu kama unajua.
Sio lazima kwan humjui ustadh michael msearch YouTube othman michael
 
7. Nilishawahi kukaa na Rais Mwingi kipindi hicho ni Waziri wa Ulinzi pale Msikiti wa Al Maamur Upanga, hakuna madaraja kama pale Azania Front Church marehemu Lowassa alikuwa na seat yake Special
Mmhhhh! Hii ya edo ndio kwanza naisikia kwako, makanisa ya kina rwakatare ndio yana pigo hizo
 
Hilo la kutoruhusu mitume au viongozi wao wa dini wadhalilishwe ni sawa kabisa, kwasababu huwezi kuona comedy au Bongo movie anaigiza kwa kutumia either kanzu au Quran......ila vijinga jinga huko social media vinaigiza na color ya wachungaji na Bible bila shida,hilo jambo binafsi linanikwaza sana
 
Back
Top Bottom