Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Hapo miti iko wapi sasa??? Au we ndo umewaza huo mtiNdo unachowaza hicho kupigana miti tu au Sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo miti iko wapi sasa??? Au we ndo umewaza huo mtiNdo unachowaza hicho kupigana miti tu au Sio
Anachotaka hata kama yeye ni malaya muendelee kuishi tu inshort ndoa impe security.Kipi bora kumuacha ambaye unaona kabisa hamuwezani au kuendelea kuishi naye na baadae kuja kumuua kutokana na stress na kero zake na kuishia gerezani.........???
Kuoa na kuacha luhusa iwapo kama mke ulie muoa anatabia mbaya utafanyaje uendelee kuishi na nyoka ndani,lakini hata nyiyi mnahachania mahakamani kilakukichaHebu tutulie na mjadala hapo kwenye kuoa na kuacha.
[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581]Naunga mkono hoja tajwa ila nawaasa waache tabia ya kufanya matendo mema kwa mwezi mmoja wa ramadhan. Iwe ndio utaratibu wa kila siku wa maisha vinginevyo ni kujidanganya na ni unafiki wa viwango.
Kama sio business kwanini Allah anaomba mikopo kwa waislam na wampe Mohammad na Mohammad harudishii waumini anakula zote and Allah anasema watapata riba Mara dufu peponi na wazidi kutoa mkopo kwa wingi wakitoa pesa atawasamehe madhambi hahahaIslam is true religion the rest the human made bussiness.
Mi nilioa nikiwa na 26yrs wife 24yrs niko nae mpaka leo tunaleana.Ningekuwa Mwislamu ningekuwa nimeishaoa mimi. Yaani ningeoa binti anayevaa ushungi siku zote, lile joto na ngozi nyororo hatari tupu.
Halafu binti asingekuwa ananiropokea wala kunijibu hovyo sababu dini inawakataza mara kwa mara. Tena ningeoa yule ameshika dini haswa yani nafanya mambo yangu kwa amani.
Ila nisingeoa mke mwingine. Kwa vile sio Mwislamu nasubiri mpaka nifike angalau 30 uko ndio nioe.
Jina sio lazima aweza kusalia na jina lake la hasili tu maadamu liwe na maana nzuli mfano maganga mabeleNiliuliza hivi; Kwanini mtu akitaka kusilimu lazima apewe jina la kiarabu..
Mfano, Bahati anataka kusilimu, kwanini sasa aitwe Abdul badala ya kubaki na Bahati lake.. Je kuna shida na Majina yasiyo ya kiarabu?
Naomba jibu kama unajua.
Bro hebu jipe muda wa kupunguza stress kidogo.....stress hazina faida jifunze tu kuzikataa kwa namna yoyote ile.Anachotaka hata kama yeye ni malaya muendelee kuishi tu inshort ndoa impe security.
ishu ya jina ni tamaduni tu kama vile kuvaa kanzu ni utamaduni sio lazima cha msingi nguo ikustiri.Je inawezekana mtu akasilimu na akabaki na jina lake la kiafrika kama vile Matinde, au lazima apewe list ya majina ya kiarabu achague analolipenda?
Kuna tofauti kati uisilamu na waumini wasio waadilifu na MUNGU siku zote anaangalia nia/intension hivyo kama wanafanya kwa nia ya kuchezea wanawake hawata epuka adhabu ya ALLAH.Kuna wengine wanatumia loopehole hiyo kufanya uhuni unaoa kila siku kama manara au kitenge sidhani kama dini ndio ilifundisha vile
Hairuhusiwi...Umeniacha haunitaki.....miezi mitatu niondoke, ila hizi wiki mbili naenda enda sokoni nakutana na mtu kanielewa nammie naona namuelewa, nakuaga sasa hairuhusiwi???
Haijuzu, kabisa! Na hakuna khitlafu kwa wanazuoni wote, tokea waliotangulia hadi waliofuatia kuwa ni haramu kufanya tendo la ndoa na mke mmoja vile mwengine anangalia, au kufanya nao wote wawili chumba kimoja, au kulala nao wawili wote.Ingekubalika... Ningemtaftia mme wangu mke mwingine
Haikubaliki kweli? Imeandikwa??
Aliyepangiwa ni muisilamu sio wewe we fanya unachoona sawa kaka eisten.Sijaona hoja yako, mimi siyo tajiri ila kwny msiba wangu nauwezo wa kuchinja ng'ombe sita watu wakae wiki nzima wale wafurahi.
Kwa nini wewe unipangie nizikwe haraka?
Kwa nini unataka na mimi nimuige huyo tajiri aliyezikwa kimasikini?
Pesa nimetafuta mimi kwa shida, kwa nini nikifa mali nilizonazo zisitumike watu wale waenjoi?
Ninabana matumizi kwny msiba wangu ili mali zibaki wachukue akina nani? Nao si watafute zao?
Oooh basi tena....ahsante broHaijuzu, kabisa! Na hakuna khitlafu kwa wanazuoni wote, tokea waliotangulia hadi waliofuatia kuwa ni haramu kufanya tendo la ndoa na mke mmoja vile mwengine anangalia, au kufanya nao wote wawili chumba kimoja, au kulala nao wawili wote.
View attachment 2940721
Imepokewa kutoka kwa Abu Sai'd Al-Khudriyy akisema:-
Amesema Mtume "Asiangalie mwanamume utupu wa mwanamume mwenziwe, wala asiangalie mwanamke utupu wa mwanamke mwenziwe!
Wala asimuingize mwanamume kwenye nguo moja mwanamume mwengine!
Wala asimuingize mwanamke kwenye nguo moja mwanamke mwengine...Ameipokea Muslim. (Yaani wasivae wala kujifunika wanaume wawili au wanawake wawili nguo moja- wakiwa uchi.)
Imam An-Nawawy akifafanua Hadithi hii amesema:
"Hii ni dalili kuwa ni haramu kwa mwanamume kuangalia utupu wa mwanamume, na manamke
kuanglia utupu wa mwanamke (mwenziwe) Na hakuna khitlafu katika suala hili."
View attachment 2940723
🤣🤣Bro hebu jipe muda wa kupunguza stress kidogo.....stress hazina faida jifunze tu kuzikataa kwa namna yoyote ile.
Mbona unaniita Bro wakati nataka kuongeza Mke Jamani 🤣🤣Oooh basi tena....ahsante bro
Mwisilamu kapangiwa na nani?Aliyepangiwa ni muisilamu sio wewe we fanya unachoona sawa kaka eisten.
Hapana sitaki....ingekua tumeruhusiwa kulala wote sawa, hiyo ya kulala roho juu nawaza sahivi huko mme anapiga viuno mie siweziii hapana. Siwezi kabisaMbona unaniita Bro wakati nataka kuongeza Mke Jamani 🤣🤣
Unaweza kubaki na jina lako.Niliuliza hivi; Kwanini mtu akitaka kusilimu lazima apewe jina la kiarabu..
Mfano, Bahati anataka kusilimu, kwanini sasa aitwe Abdul badala ya kubaki na Bahati lake.. Je kuna shida na Majina yasiyo ya kiarabu?
Naomba jibu kama unajua.
Bhasi nitaweka wote pamojaHapana sitaki....ingekua tumeruhusiwa kulala wote sawa, hiyo ya kulala roho juu nawaza sahivi huko mme anapiga viuno mie siweziii hapana. Siwezi kabisa