Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kuuvunja ni gharama, na kuendelea ni gharama; ungekuwa wewe ungefanya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazunguka sana kuelezea maovu.Kwanza hakuna mgogoro wowote ila kuna upinzani toka kona mbalimbali, lakini serikali iliisha saini IGA, Bunge limeridhia, Mahakama imebariki, hakuna mgogoro wowote popote!.
kwa vile hakuna mgogoro, hakuhitajiki maridhiano, hizi ni hoja za kisheria inahitajika zishughulikiwe kisheria
hakuhitaji kuundwa tume yoyote, TLS wanatosha
Naunga mkono hoja
Naunga mkono hoja
Naunga mkono hoja
Baada ya Bunge kuridhia hakuna kingine ni tunakwenda kwenye HGA!
Hii ndio HGA yenyewe!
Japo hakuna mgogoro wowote ila naunga mkono hoja
naunga mkono hoja
Naunga mkono hoja
P
La mkataba limeshakwisha. Mwishoni mwa mwezi Oktoba hao DP World wataanza kazi hapo bandarini wanakabidhiwa magati matatu ya kuendesha, atakuja mwekezaji mwingine atapewa magati matatu na serikali itabakia na magati matatu namba sifuri mpaka namba tatu.Mgogoro unaozunguka mkataba kati ya DP World na Serikali ya Tanzania umezua hisia na mijadala katika jamii ya Kitanzania. Hili ni suala linalohitaji kushughulikiwa kwa umakini ili kuepuka athari za kudumu kwa taifa letu.
Kwa kuwa kuna maoni tofauti na hisia kutoka kwa wananchi, serikali, na viongozi wa dini, ni muhimu kuchukua hatua za busara na za kuleta maridhiano.
1. Kwanza serikali iunde Kamati ya Uchunguzi na Tathmini. Serikali inaweza kuunda kamati huru ya wataalamu wa kisheria, kiuchumi, na kijamii kutoka vyuo vikuu na taasisi za kitaifa. Kamati hii itachunguza kwa kina mkataba na kutoa tathmini ya athari zake kwa uchumi, sheria za nchi, na maslahi ya umma.
2. Pili serikali inapaswa kutoa taarifa za wazi kwa umma kuhusu mkataba huo, athari zake, na faida zinazotarajiwa. Majukwaa ya majadiliano yaanzishwe ili kuruhusu wananchi, wanasheria, na wadau wengine kutoa maoni yao kwa uwazi.
3. Mkataba huo unapaswa kuchunguzwa kwa kina ili kubaini ikiwa unakiuka sheria za nchi au haki za wananchi. Kama itathibitika kuwa mkataba unakiuka sheria au haki za msingi, hatua za kisheria zinapaswa kuchukuliwa.
4. Serikali inapaswa kuwa tayari kusikiliza maoni ya wadau wote, ikiwa ni pamoja na wanasheria, wanasiasa, wanaharakati, na viongozi wa dini. Maoni yao yasikilizwe na kuzingatiwa katika mchakato wa kufikia uamuzi.
5. Mchakato wa kufikia uamuzi kuhusu mkataba huo unapaswa kuwa wa uwazi na bila ya ushawishi wa rushwa au maslahi binafsi. Utawala bora unapaswa kuwa kipaumbele ili kuhakikisha maamuzi yanafanywa kwa manufaa ya umma.
6. Serikali inaweza kushirikiana na DP World kwa njia ya diplomasia ili kufikia makubaliano yanayozingatia maslahi ya pande zote. Mazungumzo ya wazi na ya maridhiano yanaweza kusaidia kupata suluhisho lenye tija.
7. Katika kushughulikia mgogoro huu, ni muhimu kuepuka kueneza hisia za kidini. Ni vyema kutenga dini na siasa ili kuepusha mgawanyiko na migogoro isiyokuwa ya lazima.
Kwa kuzingatia maslahi ya umma, heshima kwa sheria, na utawala bora, ni muhimu kufuata njia ya uwazi, ushirikiano, na utatuzi wa amani katika kushughulikia mgogoro huu.
Kwa kufanya hivyo, Tanzania inaweza kupata suluhisho lenye tija ambalo linalenga maendeleo na ustawi wa nchi na wananchi wake.
Sasa haya ndio maneno ya kukaa meza moja ili kuleta maelewanoLa mkataba limeshakwisha. Mwishoni mwa mwezi Oktoba hao DP World wataanza kazi hapo bandarini wanakabidhiwa magati matatu ya kuendesha, atakuja mwekezaji mwingine atapewa magati matatu na serikali itabakia na magati matatu namba sifuri mpaka namba tatu.
Tatizo mazungumzo ya kwanza yalifanyika gizani 😎😎Mazungumzo ya wazi na ya maridhiano yanaweza kusaidia kupata suluhisho lenye tija.
Chadema na TEC watabishaMgogoro unaozunguka mkataba kati ya DP World na Serikali ya Tanzania umezua hisia na mijadala katika jamii ya Kitanzania. Hili ni suala linalohitaji kushughulikiwa kwa umakini ili kuepuka athari za kudumu kwa taifa letu.
Kwa kuwa kuna maoni tofauti na hisia kutoka kwa wananchi, serikali, na viongozi wa dini, ni muhimu kuchukua hatua za busara na za kuleta maridhiano.
1. Kwanza serikali iunde Kamati ya Uchunguzi na Tathmini. Serikali inaweza kuunda kamati huru ya wataalamu wa kisheria, kiuchumi, na kijamii kutoka vyuo vikuu na taasisi za kitaifa. Kamati hii itachunguza kwa kina mkataba na kutoa tathmini ya athari zake kwa uchumi, sheria za nchi, na maslahi ya umma.
2. Pili serikali inapaswa kutoa taarifa za wazi kwa umma kuhusu mkataba huo, athari zake, na faida zinazotarajiwa. Majukwaa ya majadiliano yaanzishwe ili kuruhusu wananchi, wanasheria, na wadau wengine kutoa maoni yao kwa uwazi.
3. Mkataba huo unapaswa kuchunguzwa kwa kina ili kubaini ikiwa unakiuka sheria za nchi au haki za wananchi. Kama itathibitika kuwa mkataba unakiuka sheria au haki za msingi, hatua za kisheria zinapaswa kuchukuliwa.
4. Serikali inapaswa kuwa tayari kusikiliza maoni ya wadau wote, ikiwa ni pamoja na wanasheria, wanasiasa, wanaharakati, na viongozi wa dini. Maoni yao yasikilizwe na kuzingatiwa katika mchakato wa kufikia uamuzi.
5. Mchakato wa kufikia uamuzi kuhusu mkataba huo unapaswa kuwa wa uwazi na bila ya ushawishi wa rushwa au maslahi binafsi. Utawala bora unapaswa kuwa kipaumbele ili kuhakikisha maamuzi yanafanywa kwa manufaa ya umma.
6. Serikali inaweza kushirikiana na DP World kwa njia ya diplomasia ili kufikia makubaliano yanayozingatia maslahi ya pande zote. Mazungumzo ya wazi na ya maridhiano yanaweza kusaidia kupata suluhisho lenye tija.
7. Katika kushughulikia mgogoro huu, ni muhimu kuepuka kueneza hisia za kidini. Ni vyema kutenga dini na siasa ili kuepusha mgawanyiko na migogoro isiyokuwa ya lazima.
Kwa kuzingatia maslahi ya umma, heshima kwa sheria, na utawala bora, ni muhimu kufuata njia ya uwazi, ushirikiano, na utatuzi wa amani katika kushughulikia mgogoro huu.
Kwa kufanya hivyo, Tanzania inaweza kupata suluhisho lenye tija ambalo linalenga maendeleo na ustawi wa nchi na wananchi wake.
Mkataba ivunjwe watafutwe wawekezaji wengine watakaofata process yenye uwazi shida nyingine mchakato wa dpw umefanywa kihuniSasa tufanye nini ili kujinasua na mtego wa huu mgogoro
Bora kama dp hawajapewa yote lakini na maoni ya wananchi kwenye maneno yanayoleta ukakasi yarekebishe tofauti na hapo hili dubwasha wananchi hatulipendi tena tunaitaka lifutwe kabisaLa mkataba limeshakwisha. Mwishoni mwa mwezi Oktoba hao DP World wataanza kazi hapo bandarini wanakabidhiwa magati matatu ya kuendesha, atakuja mwekezaji mwingine atapewa magati matatu na serikali itabakia na magati matatu namba sifuri mpaka namba tatu.
Hatua stahili kwa serikali iliyo madarakani kwa kupora chaguzi za nchi? Hizo hatua lazima huo mkataba wa wizi ungepita maana wote wako hapo kwenye nafasi hizo kwa udhaifu wa katiba hii, hivyo kwa vyovyote lazima wapitishe huo mkataba wa wizi.Mkataba uliishapitia hatua zote stahili. Sasa hivi tunasubiri HGA tu, kazi ianze.
Kwanini usiayaanzishe hayo machafuko? Au unasubiria hawara wa Mamaako au wa mkeo ndio ayaanzishe?Hatua stahili kwa serikali iliyo madarakani kwa kupora chaguzi za nchi? Hizo hatua lazima huo mkataba wa wizi ungepita maana wote wako hapo kwenye nafasi hizo kwa udhaifu wa katiba hii, hivyo kwa vyovyote lazima wapitishe huo mkataba wa wizi.
Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatarejesha heshima ya mifumo ya kiuadilifu.
Nasubiri Hawara wa mkeo aje tulianzishe.Kwanini usiayaanzishe hayo machafuko? Au unasubiria hawara wa Mamaako au wa mkeo ndio ayaanzishe?
OK. Maana yake wewe na uanamme wako ubabe wako unaishia JF tena kwa kutumia pseudo name! Pumbavu!Nasubiri Hawara wa mkeo aje tulianzishe.
Kama Kuna rushwa ijulikane na waliopokea nao wajulikane maana siyo Kwa madudu Yale,wasomi wetu aibu tupu.Umezunguka sana. Mkataba umekiuka sehemu ya katiba automatically ni void contract. Suluhu ni kuachana nao wala sio kuunda tume za kipuuzi.
Shida ni kuwa terms ziko hivyo zilivyo sababu ziliambatanishwa na fungu la maokoto. Alihaidi kwamba ataupitisha bila shida waingize hela tu. Wazee wakaingiza mtonyo chap.
AsanteMwenyewe kasema hakuna mtu wmwenye ubavu wala msuli wa kuiuza Taifa wala kulete fyoko fyoko.
Akamaliza kwa kusema amenyamaza na ataendelea kunyamaza.
PossibleUmezunguka sana. Mkataba umekiuka sehemu ya katiba automatically ni void contract. Suluhu ni kuachana nao wala sio kuunda tume za kipuuzi.
Shida ni kuwa terms ziko hivyo zilivyo sababu ziliambatanishwa na fungu la maokoto. Alihaidi kwamba ataupitisha bila shida waingize hela tu. Wazee wakaingiza mtonyo chap.
Aibu tupuKama Kuna rushwa ijulikane na waliopokea nao wajulikane maana siyo Kwa madudu Yale,wasomi wetu aibu tupu.
Umefanyawa kihuni na kiongozi namba moja anayepaswa kuututetea lakini eti anaambiwa ni mzalendoMkataba ivunjwe watafutwe wawekezaji wengine watakaofata process yenye uwazi shida nyingine mchakato wa dpw umefanywa kihuni
Suluhisho pekee ni kuachana kabisa na mkataba huo na mingine ya aina hiyo.Mgogoro unaozunguka mkataba kati ya DP World na Serikali ya Tanzania umezua hisia na mijadala katika jamii ya Kitanzania. Hili ni suala linalohitaji kushughulikiwa kwa umakini ili kuepuka athari za kudumu kwa taifa letu.
Kwa kuwa kuna maoni tofauti na hisia kutoka kwa wananchi, serikali, na viongozi wa dini, ni muhimu kuchukua hatua za busara na za kuleta maridhiano.
1. Kwanza serikali iunde Kamati ya Uchunguzi na Tathmini. Serikali inaweza kuunda kamati huru ya wataalamu wa kisheria, kiuchumi, na kijamii kutoka vyuo vikuu na taasisi za kitaifa. Kamati hii itachunguza kwa kina mkataba na kutoa tathmini ya athari zake kwa uchumi, sheria za nchi, na maslahi ya umma.
2. Pili serikali inapaswa kutoa taarifa za wazi kwa umma kuhusu mkataba huo, athari zake, na faida zinazotarajiwa. Majukwaa ya majadiliano yaanzishwe ili kuruhusu wananchi, wanasheria, na wadau wengine kutoa maoni yao kwa uwazi.
3. Mkataba huo unapaswa kuchunguzwa kwa kina ili kubaini ikiwa unakiuka sheria za nchi au haki za wananchi. Kama itathibitika kuwa mkataba unakiuka sheria au haki za msingi, hatua za kisheria zinapaswa kuchukuliwa.
4. Serikali inapaswa kuwa tayari kusikiliza maoni ya wadau wote, ikiwa ni pamoja na wanasheria, wanasiasa, wanaharakati, na viongozi wa dini. Maoni yao yasikilizwe na kuzingatiwa katika mchakato wa kufikia uamuzi.
5. Mchakato wa kufikia uamuzi kuhusu mkataba huo unapaswa kuwa wa uwazi na bila ya ushawishi wa rushwa au maslahi binafsi. Utawala bora unapaswa kuwa kipaumbele ili kuhakikisha maamuzi yanafanywa kwa manufaa ya umma.
6. Serikali inaweza kushirikiana na DP World kwa njia ya diplomasia ili kufikia makubaliano yanayozingatia maslahi ya pande zote. Mazungumzo ya wazi na ya maridhiano yanaweza kusaidia kupata suluhisho lenye tija.
7. Katika kushughulikia mgogoro huu, ni muhimu kuepuka kueneza hisia za kidini. Ni vyema kutenga dini na siasa ili kuepusha mgawanyiko na migogoro isiyokuwa ya lazima.
Kwa kuzingatia maslahi ya umma, heshima kwa sheria, na utawala bora, ni muhimu kufuata njia ya uwazi, ushirikiano, na utatuzi wa amani katika kushughulikia mgogoro huu.
Kwa kufanya hivyo, Tanzania inaweza kupata suluhisho lenye tija ambalo linalenga maendeleo na ustawi wa nchi na wananchi wake.