Mambo saba (7) ya kufanya ili kuuzima moto wa mgogoro unaosababishwa na mkataba wa DP world na Tanzania

Mambo saba (7) ya kufanya ili kuuzima moto wa mgogoro unaosababishwa na mkataba wa DP world na Tanzania

Bora kama dp hawajapewa yote lakini na maoni ya wananchi kwenye maneno yanayoleta ukakasi yarekebishe tofauti na hapo hili dubwasha wananchi hatulipendi tena tunaitaka lifutwe kabisa
Kuna mimi na wewe kutowataka DP na kuna serikali kujiridhisha kuwa tunawahitaji, hivyo ni vitu viwili tofauti.
 
Mungu nisaidie...."hili jambo linanipa hasira na uchungu sana,chuki inazidi kukomaa ndani mwangu,siku hadi siku.....
 
Kujiridhisha Kwa mkataba wenye vipengele vyenye utata?acheni kutetea ujinga
Ungeelewa kuwa yenye umuhimu ni hiyo mikataba iliyotoka kuandaliwa kwa kina huko Belgium [project contracts] usingeona kama kinachofanyika ni ujinga.

Mkataba wa IGA hauna uwezo wa kuathiri biashara nzima kwa namna yoyote, HGAs zilizotayarishwa kwa kina ndio kila kitu kwenye hii biashara. Haya ni masuala ambayo kwa nchi nyingine yasingechukua muda mrefu na kujadiliwa kwa mapana mpaka kutishia amani ya nchi iliyojengwa kwa miaka na miaka.
 
Back
Top Bottom