Uko wapi huo Uzi maana Mimi ni muhanga piaaUpo uzi mkubwa kwa waliowahi kua na pesa nzuri tu na kisha kufirisika.
Nakushauri kuupitia
Pombe, pombe, pombe, pombe, pombepombe sijaiyona hapo
Unatushauri nini sisi ambao tulikua na viasi vingi vya pesa na hakuna tulicho fanya baada ya mzigo kukata sasa akili ndio zinarudi full majuto
Ukweli mtupu. Andiko linafurahisha na kuelimishazaidi.
Hujakamatika vzuri ndo mana unazungumzia mambo ya utu. Nishawahi kukabwa na maisha ikabidi niwe nabeba taka kwny mgahawa fulan hv na kwenda kuztupa kwny dampo la manispaa!!Usifanye shughuli inayoshusha utu wako! Yaani udhalilike Ilimradi tu upate hela..
Hio mbna fresh tu, Hapo utu wako umedhalilishwaje ndugu?Hujakamatika vzuri ndo mana unazungumzia mambo ya utu. Nishawahi kukabwa na maisha ikabidi niwe nabeba taka kwny mgahawa fulan hv na kwenda kuztupa kwny dampo la manispaa!!
Shda ikikukaba vzuri utu utauweka pembeni!!