Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Bora tu ufake familia zetu kuelewesha kazi mno haya mambo maana ni kinyume ,
Unaambiwa uende kwa wachungaji hao hao wachungaji balaaa,kashfa za kanisa la Roma kule Italy ndio usiseme
A fake ataweza bas? Anajidanganya huyu, nashindwa kufunguka mengi hapa, couz kasema anajichukia na anachukia hali hiyo,

Na siku ikija julikana ndo ataijua dunia vizuri, kwa sasa aendelee kusubirisha in4.

Kuna wenzie wawili walijiua baada ya mke wa m1 kuwakuta wapo chumba cha watoto wanainamishana.

Tena hawa wanaojifanya kufake ndo wanaishia kufa kwa stress, upweke na majichukizo yao.
 
Absolutely Mkuu, umamaliza point zote hata ambazo nilikua sjui niandike vipi, shukrani, nwenye masikio na asikie na mwenyw macho aone na aelewe.
 
Mmm... Nani huyu! Yule mwenye jina la antibiotics maarufu?
 
Mbona u sound like a Fraud?! [emoji23][emoji23]

Anyways ulicho describe hapo sio Gay person bali ni Bisexual.

Na the way umejiexpress u definitely failed kuconnect spirit yako na hii matter maana nimeshindwa kuestablish connection ya matendo yako, historia yako, hisia zako na uhalisia wa hizi tabia.

Anyways umefanya jambo zuri kujaribu kuvaa uhusika na kujaribu kutengeneza a strong message kuisaidia jamik yetu.

But kwa mtu anaelewa hayo mambo kiundani na vyanzo plus visababishi vyake, u r definitely not a match of reality.
 
Duh some tena maelezo mkuu, nilisex kwa mala ya kwanza nilipokua 14yrs, ila hisia ninazo since nikiwa 5 years uko.
 
Bora useme wee, nilitaka niandike waraka hapa, ila tatizo mie kitunguu nanuka, moderators hawakawii kufuta au kunipiga pin.

Huyu ni bisexual sio Gay. Ndo maan hata mie pia sijataka kujisumbua kudadavua.
 
Doh, sijawahi kumtaka mkuu.
Jaribu embu uone nn kitatokea ukifanya hvyo nataka uone nni hao wanfikiria kuhusu hyo Hali Kam ya kwako huenda ikawa mwisho na wee unampenda sna
 
Kwa jinsi ulivyojieleza, itakuwa wewe ndiye ulianza. Rafiki yako ameendeleaje. Naye ni gay ukubwani?
sijui ilikuaje ila tukajikuta tu imetokea, nakumbuka ilikua ndio mala yetu ya kwanza kupata mshindo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…