Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mungu ingilia kati.

Yani hapo ulipo unagawa?

Dunia imeenda mbali Sana.

Mkuu Yani tuko wote hapa siku zote tunajua we Mwanaume kumbe jike dime? Si ungetuambia mapema??
Hapa mkuu, lugha uliotumia sio sahihi, sigawi (kama unamaanisha kutembea na watu ovyo), pia sijaandika hii thread ili watu wajue kuhusu mimi, ila wapate kujua inavokua na kuweza kuwaprotect watu wao wa karibu. Asante.
 
Umetoa elimu bora sana... Tulinde watoto wetu wa kiune kwenye hali hii...

Hupaswi kumcheka jamaa huyu... Kumbuka bado na ww unazaa...
Kabisa, watu wananyooshea watu vidole ila hawajua ukubwa wa tatizo ulivyo, kwa jamii zetu ni bora watu wasijue kama uko hivyo kuliko wakijua. Hata sasa naheshimika na nina marafiki wengi sababu hakuna anaefahamu, ila siku wakijua 95% watanitenga, kabisa, hata kama kuna ambao nao in private wa mambo ya ajabu ila sababu nitajulikana kwanza basi watajitenga, hivyo wazazi wajitahidi kulinda watoto wao wasije patwa na hayo.
 
Sio muandishi mzuri , hivyo itakua bora zaidi ukiniuliza sehemu yenye contradiction nipate kukuelezea kiufasaha. Karibu
 
Aiseee kwa hiyo mzee baba/mama una pumuliwa kisogoni kweli dunia ina kwenda Kasi..
 
Sasa mtu kama wew bado una ndoto za kuendelea kuishi dunian? Na bado unapambania future yako ili iweje?

Hapo chagua moja, ufe ili usiendelee kuharibu na wengine ama uache iyo tabia by any means.

Shoga hapendeki na kila mtu asiyesapoti uo upuuz, shoga hapendeki na kila aina ya imani/dini, hayo mambo ya homon kama umezaliwa nayo usije msingizia Mungu kuwa bahat mbaya.

Watu kama ninyi iltakiwa mpatikane mtengwe chumba kimoja na madem mwaka mzima, na usipo badirika basi, shaba za kichwa zitakuhusu.

Chukia hiyo hali, ole wako nisimjue mzaz wako, nitamshurutisha tukufumue, hakuna kufuga watu wa aina yako.

Huu ndyo ukweli mchungu
 
Nitakuwa tahira na mjinga , kukukashifu kwa haya zaidi ya kukupa pole kwa hayo na kukushukuru maana ni elimu murua ni vipi watoto waepushwe, Insha'Allah naamini iko siku utapona, very sorry keep in denaching.
 
Dah pole sana mzee so far uko na dem na unamgonga kma kawa au vp
 
Uzi wa usio ridhiki afu uzi mrefuu sana.

Kama ushoga issue ya kuzaliwa nao basi ingekuwa ni KILEMA basi hata biblia ingewatambua kuwa ni watu wenye mahitaji maalum.
Maana kuzaliwa bila kutaka ni ukilema.

Kwa kuwa imelaaniwa basi kusema ni kujikuta tu ni kutafuta sympathy tu ili mkubalike na kupenyeza kwenye mind za watu.

Hauna lolote.
 
Maswali yangu:
.Ushawahi kwenda nyumba yeyote ya Ibada?
.Ulishawahi Kusikia Kizazi cha Nabii Luti huko Nyuma kiliwahi kuangamizwa kwa kupelekeana Moto kama wewe? We unasemaje kuhusu hili.
Swali zuri sana, mimi ni mkristo, nasali KKKT, ila pia napenda kuhudhulia ibada hata makanisa mengine sometimes kama Pentekoste na TAG, pia hua nahudhulia mikutano yote ya mwakasege, sababu napenda kusikikiza neno la Mungu, na pia sababu nimezaliwa kwenye familia ya watu wanaosali.

Nafahamu maandiko yes, na sitaki kusema nachukuliaje ila nachomuomba Mungu siku zote ni kama hii ni dhambi kuu, basi naomba anibadilishe kwa wakati wake, sababu mimi siwezi, kutokana na maandiko yes najiona mwenye dhambi, lakini siwezi acha kumuomba Mungu kwa sababu ya weakness ambayo kama binadamu siwezi kuichange, humuuliza Mungu, mbona nisipende women kama wengine, mbona hisia zangu ziwe tofauti, shida ni nini, naamini yeye anajua zaidi. Hivyo ndivyo navyoweza kusema. Gays wanasali pia, yes , hata huyo rafiki angu mmoja ambae pia ni gay, ni muslim na anasali, anafunga na anaishi kama muslim wengine japo yupo hivyo.
 
Umesema vyema na asante kwa ushauri kaka.

Swali langu dogo, umesema una girlfriend wa kuzugia, huyu dada anajua status yako? Huwa kuna muda mnaweza fanya nae sex?
yes nina girlfriend , hajui kama niko hivyo, pia relationship yetu imekua complicated, sababu ananipenda sana ila anahisi simpendi , sababu hata kumpigia simu sometimes zinaweza pia hata 3 days asiponianza nimtafuti, hajui wala hajawahi kuhisi.

Yes huwa tunasex sometimes, japo sio mala nyingi, najua pia anachepuka lakini i dont mind at all.
 
Pole sana mkuu, watu wanapenda kujudge kwa kuangalia kwa macho ,.pia watu wanaweza fikilia kua ni kujiendekeza ama ni kujitakia, lakini deep down hizo kitu ni real, watu tuko tofauti kabisa.
 
"The other gender" huwa mko na audacity sana, hili jambo lipo lakini sivyo kama mnavyojaribu kulielezea, ninyi mko wengi ila wanaume ambao bado ni straight nao ni wengi sana sio kama mnavyojaribu kumanipulate, we sometimes wonder what is your agenda!

Na fantasy zenu sasa mie hoi, ohh tunalala na watu wenye hela, sijui wanasiasa sijui wenye power na blah blah ila wengi tukiangalia maisha yenu tunaishia kujiuliza mbona hayareflect mnachosema. Haya ndugu kila la heri. I'm not judging you tho...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…