Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Kabisa, watu wananyooshea watu vidole ila hawajua ukubwa wa tatizo ulivyo, kwa jamii zetu ni bora watu wasijue kama uko hivyo kuliko wakijua. Hata sasa naheshimika na nina marafiki wengi sababu hakuna anaefahamu, ila siku wakijua 95% watanitenga, kabisa, hata kama kuna ambao nao in private wa mambo ya ajabu ila sababu nitajulikana kwanza basi watajitenga, hivyo wazazi wajitahidi kulinda watoto wao wasije patwa na hayo.
Mimi nakushaur kama unaweza kuacha huo mchezo.. Acha tu mzee.. Ila kama unaona huwez kbsa jilinde na anza kutoa elimu kwa ndugu mbali mbali ila fanya kila njia usigundulike..

Binafs siwez kukuhukumu wala kutoa maneno machafu juu yako... Ila napenda ulinde vzazi vingine na tatizo hlo
 
Sasa mtu kama wew bado una ndoto za kuendelea kuishi dunian? Na bado unapambania future yako ili iweje?

Hapo chagua moja, ufe ili usiendelee kuharibu na wengine ama uache iyo tabia by any means.

Shoga hapendeki na kila mtu asiyesapoti uo upuuz, shoga hapendeki na kila aina ya imani/dini, hayo mambo ya homon kama umezaliwa nayo usije msingizia Mungu kuwa bahat mbaya.

Watu kama ninyi iltakiwa mpatikane mtengwe chumba kimoja na madem mwaka mzima, na usipo badirika basi, shaba za kichwa zitakuhusu.

Chukia hiyo hali, ole wako nisimjue mzaz wako, nitamshurutisha tukufumue, hakuna kufuga watu wa aina yako.

Huu ndyo ukweli mchungu
Ni maoni yako mkuu, ila hapa sijaandika ili kuonesha kufurahishwa, nimeandika ili ujifunze kitu ueze kujua jinsi ya kudeal na familia yako, usimalize maneno mkuu, huezi jua kile kilichojificha kwa watoto wako au hata ndugu zako, au watu unaowaheshimu. Soma kisha tafakari wala usioneshe chuki kiasi hiki.
 
Nitakuwa tahira na mjinga , kukukashifu kwa haya zaidi ya kukupa pole kwa hayo na kukushukuru maana ni elimu murua ni vipi watoto waepushwe, Insha'Allah naamini iko siku utapona, very sorry keep in denaching.
Shukrani mkuu, gays wengi hasa wasiojinesha hawapendi hii hali ila hawana cha kufanya, ndio unakuta wengine wakijulikana wanajiua kama wale vijana na Arusha, sababu ni siri yao na imetoka , wanapoteza vingi na kuamua kujiua, mimi pia nawaza siku ikajulikana sjui itakuaje, ila Mungu asaidie nisije kujiua tu, hiyo roho ya kujiua iniepike, ila sitaweza kuhandle hiyo situation.
 
Ok nitajibu kama ifuatavyo, nimesema hakuma mtu anaefahamu nikimaanisha watu wangu wakaribu, ndugu zangu, rafiki zangu, wafanyakazi wenzangu nk. Pia natake risk sana , sababu hata wagu niliowahi kudate nao hawawezi kuongea sababu wao pia hio ni moja ya privacy zao, hivyo kwa ninavyoamini hadi sasa hakuna mtu wangu wa karibu anaejuax sababu habari ingenifikia.

Pili, sina.mpango wa kuoa ndio, ilala mama angu.namuogopa sana, anachukia sana mambo ya gays, na aliwahi kusema sikua kigundua mtoto ake au mtu ndani ya nyumba yake ni gay, atamtwanga risasi au hata kumuekea sumu afe. Alishawahi kumpiga hata karibu amuue gay aliewahi jaribu kumuapproach cousin yangu tuliekua tunaishi nae, hivyo sitataka ajue, huwa namwambia tu sitaki kuoa , sijajua kama hua anazingatia au la.

Pia kuandika hayo mambo sio kwamba nafurahia , ila nimeandika.mambo.mengi in reality ili imake sense watu wajue naongelea kitu gani, thats all, ila kua gay ni changamoto sana, siwezi taka hata ntu awe.
Ugumu unatoka wapi kuacha kama haupendi?
 
Dah.pole sana ila now days naskia kuna dawa ya kutibu hizo hisia zinaitwa homofil kama skosei ni za uturuki.
Mkuu, nitafatilia hili, ila amini kwamba , huu sio ugonjwa , kwamba utameza dawa utapona, hata wanaosema wamepona nakuhakikishia in private wako vile vile, ni kumuomba mungu tu na kujaribu psychologist ,nadhani imekaa ki psychological zaidi. Shukrani mkuu , nitafatilia pia kuhusu hilo.
 
Uzi wa usio ridhiki afu uzi mrefuu sana.

Kama ushoga issue ya kuzaliwa nao basi ingekuwa ni KILEMA basi hata biblia ingewatambua kuwa ni watu wenye mahitaji maalum.
Maana kuzaliwa bila kutaka ni ukilema.

Kwa kuwa imelaaniwa basi kusema ni kujikuta tu ni kutafuta sympathy tu ili mkubalike na kupenyeza kwenye mind za watu.

Hauna lolote.
Sijajua kuhusu hilo mkuu, akili za Mungu hazichunguziki, labda ana sababu kuacha watu kama mimi watokee, labda anajua aliposena hivyo alimaanisha nini, nachoelewa Mungu ni mkuu sana, na anafanya mambo in very unique way, kama kweli tumelaaniwa basi sina jinsi zaidi ya kumuomba yeye aniokoe ili pia niuone ufalme wake siku moja.

Pia sijakuja kutafuta sympathy hapa, kama umesoma kwa mlengo wa kushoto wala hutaelewa utaishia kukasirika kwa jambo ambali ungelisoma kwa mlengo wa kulia ungepata jambo la kujifunza.
 
Wazazi wawe makini na shule za boarding ni za kuziogopa sana huku ndipo chimbuko la tabia izi mtoto anarudi likizo mwezi tu baada hapo shule kinachoendelea ujui lesbians na gays huko ndipo wanapojifunzia nishawahi ona

 
Yes, kwa sababu nimekua hivyo tangu najijua, hisia zangu ziko hivo, hata nikijaribu kuziswitch haiwezekani, labda nipretend (kitu ambacho ndio nafanya), ni kama wewe nikwambie saa hii uswitch feelings zako badala ya kupenda madem upende sqme gender, hutaweza , vivo hivyo kwangu na kwa mwingine pia, sababu hii sio tabia ila ni biological situation au fault kwa wale wanaoamini ni matatizo ya kibaiolojia.

Utakuwa ulisoma pale Mashujaa Primary school miaka ile na ukaminywa na yule geiji wa muziki, ndiyo masalia yale yamekuwa sasa mashoga!
 
Kuna wale shemales haja zao kutimiza ni lzm wawe gay?
 
Ugumu unatoka wapi kuacha kama haupendi?
Swali zuri mkuu, ni vigumu kwa sababu hisia ziko hivyo, ni kama wewe ulivyo straight , yani automatically tu ukifkilia kuhusu sex , basi unafikilia kuhus kusex na mwanamke, itakua vigumi sana kufikilia kusex na same gender sababu wewe ni straight, yani ndivyo ulivyo, ukiona msichana anaekuvutia hata asiekuvutia utamtamani kimapenzi, lakini hiyo hali haiwezi kutokea pale ukiwa na mwanaume mwenzako, basi iko the same pia. Niambie, unaweza badilisha hicho kitu ukaacha kupenda wasichana upende same gendee kwa kutumia akili yako? yani uanze badala ya kuerect ukiona demu, eti uerect ukiona samw gender? yani uuswitch mwili ufunction opposite. Ndivyo ilivyo pia kwangu, hata nikijaribu vipi najikuta tu sina hisia na mwanamke, naweza kupretend tu, hilo naweza, nikiwa na washkaji hata demu akipita naweza peretend nimemtamani.
 
Back
Top Bottom