Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Tabia yeyeto mtu yeyeto anaweza akaiacha kama atapata ushauri. Nilikuwa na tabia ya kucheck porno, kujichua. Nilipojifunza kuhusu roho na kujua nini kinakuwepo wakati wa kujichua niliacha. So KILA kitu kinawezekana panapo uamuzi
 
Yes, kwa sababu nimekua hivyo tangu najijua, hisia zangu ziko hivo, hata nikijaribu kuziswitch haiwezekani, labda nipretend (kitu ambacho ndio nafanya), ni kama wewe nikwambie saa hii uswitch feelings zako badala ya kupenda madem upende sqme gender, hutaweza , vivo hivyo kwangu na kwa mwingine pia, sababu hii sio tabia ila ni biological situation au fault kwa wale wanaoamini ni matatizo ya kibaiolojia.
Kwa Nini itokee tu kwa binadamu hata mfano kwa ng'ombe sijawahi ona hiyo Hali.
Pole kwanza ndugu kwa Hali iyo.hii ishu sio kuwa homone imbalance. Huwezi pewa prostrogane za kutosha zikazidi estrogen ikaondoa hiyo shida uliyosema kuwa mtt akiwa mdogo anapenda Mambo ya jinsia tofauti na ya kwake.
Unamkuta kavaa sidiria hata ya make na huku ni me.
Ila mie nakumbuka tuko wadogo Sana mie nilikuwa nafaki sidira ya maza halafu mdogo wangu wa bamdogo yeye ni kyupi ya mazayake.
Ahsante kwa unapojibu
 
"The other gender" huwa mko na audacity sana, hili jambo lipo lakini sivyo kama mnavyojaribu kulielezea, ninyi mko wengi ila wanaume ambao bado ni straight nao ni wengi sana sio kama mnavyojaribu kumanipulate, we sometimes wonder what is your agenda!

Na fantasy zenu sasa mie hoi, ohh tunalala na watu wenye hela, sijui wanasiasa sijui wenye power na blah blah ila wengi tukiangalia maisha yenu tunaishia kujiuliza mbona hayareflect mnachosema. Haya ndugu kila la heri. I'm not judging you tho...
Sijajua kuhusu agenda mkuu, pia sijasema kwamba basi gays wamekua wengi na straight wamepungua, hapana, ila nilichoeleza ni kwamba, watu hawa pia (gays) wameongezeka sana na wengi hawajionyeshi , hivyo nia yangu ni kujaribu kufahamisha tu watu wajue reality ya jambo husika ili wajue kudeal nalo, sababu ukijua jambo vizuri ni rahisi pia kulikabili kuliko ukiwa hujia inakuaje.

Kuhusu fantasy, sijajua mkuu, siwezi ongelea story ama maisha ya watu wwngine ila ukweli ni kuwa, wanasiasa pia ni watu, hao wenye hela pia ni watu, na hata wasiokua na hela pia ni watu, hivyo kama jambo hili la gays linawapata watu basi jua pia wapo watu wenye hela , wanasiasa, waheshimiwa, watu wa dini na hata wasio na dini ambao ni gays na wanadate hao hao ambao hawana kitu, ni kama ukahaba, kahaba hata atembee na mtu mwenye pesa, kama anahaja ya kumtumia tu hawezi mpa maisha mazuri zaidi ya kumpa pesa ya ukahaba, ndivyo ilivyo huko pia.

Kwa upande wangu i have my own life, with everything i needed to have. hivyo sidate na mtu sababu nataka maisha mazuri hapana, nadate na mtu sababu ya hisia nilizonazo na wala sizilazimishi.

Pia tusipende sana kuongelea mambo ya gays kutembea na watu hao maarufu na faida gani wanapata, sababu vijana wenye tamaa watajiingiza kwenye hayo mambo wakiamini watafaidika kumbe sio.

Ndege wafananao huruka pamoja, gaya wanakutana zaidi mitandaoni, hivyo yes hata hao wanaasiasa whatever wako huko online dating za gays, ila hitaweza kujua hadi mkutane sababu hua ni anonymous.

I hope umeelewa japo kiasi, mimi hia ai mzuri sana kuelezea.
 
Mdogo wangu nikajua ni wewe umekuja na ID mpya ujue! [emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] aaaah wapi hapana.

Comment yako nimecheka kwa nguvu, kuwa gays wanajishaua kudate na wenye pesa, ila maisha ya uhalisia wao ni hoe hae?

Nimesoma wee nilipofika hapo aliposema kuwa anachukia na kujuchukia kua gay, afu eti anajificha na anajua watu hawajui, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dunia ina siri hii jaman?

Ila duuh waume za watu, hivi hawaogopi kurogwa? Tena na mke mwenza anakua karibu nae, hadi ndoa anahudhuria kabisaa, na anakazwaa ya mwisho ili waagane rasmi. Hahahah
 
Hili swala ni kweli unavyosema wanaume wengi wao tz ni magay wanafanya kwa kujificha sana ,wanaogopa jamii zetu ila siku yakiruhusiwa tutabaki midomo wazi hakuna watu watachomwa moto kama wabongo maana gizan wanavifanya mno ,bora wazungu wenyewe kama nyeusi nyeusi tu kama nyeupe nyeupe tu ,
Umetoa ushauri mzuri

Nauliza swali ukiwa na demu mnafanyaje mapenzi?hisia unapataje nisimulie hapo
Huwa natumia pills pia, japo hajui, hutumia pills za kuboost, hivyo hua nakua na hisia sana.nikiwa nae, tena nakua very strong na naweza sex hadi akachoka mie bado. Ila pills sio nzuri kiafya na sizipendi, thats why huwa aitaki kukutana nae mala kwa mala angalau nisimeze sana hayo ma pills.
 
Kwakuwa umesema ni mkristo basi mimi nikukumbushe kuwa hauwi mkristo kwasababu ulizaliwa familia ya kikristo wala kwasababu unaenda kanisani au unahudhuria mikutano.

Nimependa kwamba unaukubali udhaifu ambayo ni hatua ya mwanzo ya kupona.

Sasa basi ili uwe mkristo inakupasa umpokee Bwana Yesu Kristo moyoni mwako kwa kutubu dhambi zako. Ila hili jambo kwa aina ya maisha unayoishi unahitajika msaada wa kiroho kutoka kwa mtumishi wa Mungu.

Ningependa nikuunganishe na mchungaji mmoja ambaye hafahamiki sana hapa dar ingawa ndiye hasa mlezi wa kiroho wa wachingaji wengi sana wakubwa unaowasikia hapa Tanzania.

Amini jambo moja. Mimi kabla ya kuokoka nilikuwa na mambo mengi sana yasiyompendeza Mungu na sikujua nitayaachaje. Lakini nilipotoa maisha yangu kwa Yesu alinibadilisha na kuua ile kiu ya vile vitu viovu.

Kama utapenda msaada wa kuongea na huyu mchungaji niambie nikupatie namba yake uwasiliane naye straight. Ni mtumishi mmoja mnyenyekevu sana sana na amekuwa msaada kwa watumishi wengi wa Mungu hasa wanapokuwa kwenye changamoto au wanapoanguka dhambini. Nikuhakikishie itakuwa siri kati ya wewe na yeye.

Pole sana na Mungu akurehemu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
 
BARKA
Huwa natumia pills pia, japo hajui, hutumia pills za kuboost, hivyo hua nakua na hisia sana.nikiwa nae, tena nakua very strong na naweza sex hadi akachoka mie bado. Ila pills sio nzuri kiafya na sizipendi, thats why huwa aitaki kukutana nae mala kwa mala angalau nisimeze sana hayo ma pills.
sawa nimekuelewa
Elezea changamoto za magay ?
Nasikia mnataka kumuua Makonda ni kweli 😂
 
Back
Top Bottom