Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Sasa haina budi kuwakubali maana ni wengi mno ndio maana hatupati waume jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Dina mbna wanaume wako wengi tyuuh. Si ndo hawa wanaokemea na kupinga hili suala, km hapa jukwaan.
 
Kwakuwa umesema ni mkristo basi mimi nikukumbushe kuwa hauwi mkristo kwasababu ulizaliwa familia ya kikristo wala kwasababu unaenda kanisani au unahudhuria mikutano.

Nimependa kwamba unaukubali udhaifu ambayo ni hatua ya mwanzo ya kupona.

Sasa basi ili uwe mkristo inakupasa umpokee Bwana Yesu Kristo moyoni mwako kwa kutubu dhambi zako. Ila hili jambo kwa aina ya maisha unayoishi unahitajika msaada wa kiroho kutoka kwa mtumishi wa Mungu.

Ningependa nikuunganishe na mchungaji mmoja ambaye hafahamiki sana hapa dar ingawa ndiye hasa mlezi wa kiroho wa wachingaji wengi sana wakubwa unaowasikia hapa Tanzania.

Amini jambo moja. Mimi kabla ya kuokoka nilikuwa na mambo mengi sana yasiyompendeza Mungu na sikujua nitayaachaje. Lakini nilipotoa maisha yangu kwa Yesu alinibadilisha na kuua ile kiu ya vile vitu viovu.

Kama utapenda msaada wa kuongea na huyu mchungaji niambie nikupatie namba yake uwasiliane naye straight. Ni mtumishi mmoja mnyenyekevu sana sana na amekuwa msaada kwa watumishi wengi wa Mungu hasa wanapokuwa kwenye changamoto au wanapoanguka dhambini. Nikuhakikishie itakuwa siri kati ya wewe na yeye.

Pole sana na Mungu akurehemu.
Fanya hvyo aise nilitaka na mm nimshauti amuone mchungji wetu kkkt kimara pale bwan mastai ahataacha hyo tabia kwa kulipia fidia kwa damu ya yesu ..inasikitisha snan
 
Kwa Nini itokee tu kwa binadamu hata mfano kwa ng'ombe sijawahi ona hiyo Hali.
Pole kwanza ndugu kwa Hali iyo.hii ishu sio kuwa homone imbalance. Huwezi pewa prostrogane za kutosha zikazidi estrogen ikaondoa hiyo shida uliyosema kuwa mtt akiwa mdogo anapenda Mambo ya jinsia tofauti na ya kwake.
Unamkuta kavaa sidiria hata ya make na huku ni me.
Ila mie nakumbuka tuko wadogo Sana mie nilikuwa nafaki sidira ya maza halafu mdogo wangu wa bamdogo yeye ni kyupi ya mazayake.
Ahsante kwa unapojibu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] nyie mie ntakufa kwa kuchekaa khaaah.
 
Huo ni ubinafsi, unajuaje mtoto wako atapenda kuwa na mzazi ambaye ni gay, au una mpango wa kuendelea kufake maisha yako yote?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] dada una nn leo?
 
BARKA

sawa nimekuelewa
Elezea changamoto za magay ?
Nasikia mnataka kumuua Makonda ni kweli 😂
Duh hahaha hilo la mkuu mstaafu sijajua mkuu, changamoto nayokutana nayo personally ni kuishi fake life tu la ustraight , ni kazi sana, muda wote lazima niwe makini, fikilia uko na frieds ambao wote ni straight na wanaweza kuja ghetto wakabaki vifua wazi, unajua boys tena mkiqa wenyewe mnabaki na bukta tu vifua wazi ndani, ni changamoto. Kuhusu wengine sijajua wanakutana na nini.
 
sijahatibikiwa nikiwa 14 yrs, ila nilipofikisha 14 yrs ndio nilifanya physical sex kwa mala ya kwanza,

Hapa naomba nishauri wazazi, tafadhari sana , watoto wakifika umli wa kubarehe muwe makini sana , usipochukua tahadhari basi unaweza kuta watoto wamefanya mwmbo ya ajabu ambayo yatawa affect kiasi, sababu hapa mtoto anakua anaendeshwa na balehe zaidi kuliko uhalisia. Mala ya kwanza kusex ni sababu nililala room moja na rafiki angu wa utotoni, sijui ilikuaje ila tukajikuta tu imetokea, nakumbuka ilikua ndio mala yetu ya kwanza kupata mshindo (kama sio sahihi kiswahili jirekebishe)
Mkuu nyoosha maelezo,
Mara ya Kwanza kukalia dudu,
Ilikuwaje?

Hapo sijaelewa vzr

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Duh hahaha hilo la mkuu mstaafu sijajua mkuu, changamoto nayokutana nayo personally ni kuishi fake life tu la ustraight , ni kazi sana, muda wote lazima niwe makini, fikilia uko na frieds ambao wote ni straight na wanaweza kuja ghetto wakabaki vifua wazi, unajua boys tena mkiqa wenyewe mnabaki na bukta tu vifua wazi ndani, ni changamoto. Kuhusu wengine sijajua wanakutana na nini.
Nimekupata
Wale vijana wa Arusha ilikuwaje ?
 
Hakuna mkubwa, alikua rafiki angu, nilimzidi miezi kadhaa ila nae alikua 14yrs. Ila hajawahi kua gay hata baada ya hapo, ni straight, hakuchukulia serious sana alichukulia kama jokes na aliogopa sana imekuaje, ila nilichukulia serious.
Yaani alikupasua matako au mlifanya zamu kwa zamu?
Funguka mkuu,,

Ushanitengua udhu astaghfirulaah.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Duh hahaha hilo la mkuu mstaafu sijajua mkuu, changamoto nayokutana nayo personally ni kuishi fake life tu la ustraight , ni kazi sana, muda wote lazima niwe makini, fikilia uko na frieds ambao wote ni straight na wanaweza kuja ghetto wakabaki vifua wazi, unajua boys tena mkiqa wenyewe mnabaki na bukta tu vifua wazi ndani, ni changamoto. Kuhusu wengine sijajua wanakutana na nini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom