Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Pole mkuu,naelewa situation uliyonayo! Hatuwezi kukataa ukweli kwamba dunia imebadilika na lazima tukubali kwamba nyie "machoko" mpo..si umesikia kule kilimanjaro yule meya aliyetimuliwa kisa kahudhuria party ya gays..who knowa may be na yeye ni mwanachama?
 
Hatari sana
IMG-20220412-WA0004.jpg
 
Yani hapa naumiza kichwa na I'd yako ya siku zote tu..🤔
Mungu anusuru vizazi vyangu
Hongera na pole.
Shukrani miu, haha hutaweza kujua kirahisi sababu nimejitahisi kubadilisha muandiko, ile ingine hua natumia zaidi kingereza.
 
Huna hata haja ya kusoma!!! we pita vile kama mm ambavyo nasepa haya majitu hutakiwi kusoma hata habari zao ni kinyaa kitupu
Mkuu kubali kujifunza, haya majitu yanaweza kutokea kwenye familia yako na kumbe ulikua na uwezo wa kutengeneza kabla hali haijawa mbaya. Usitumie lugha ya kuudhi hata kama unakelekwa na jambo fulani.
 
Hili swala ni kweli unavyosema wanaume wengi wao tz ni magay wanafanya kwa kujificha sana ,wanaogopa jamii zetu ila siku yakiruhusiwa tutabaki midomo wazi hakuna watu watachomwa moto kama wabongo maana gizan wanavifanya mno ,bora wazungu wenyewe kama nyeusi nyeusi tu kama nyeupe nyeupe tu ,
Umetoa ushauri mzuri

Nauliza swali ukiwa na demu mnafanyaje mapenzi?hisia unapataje nisimulie hapo
 
Sijui dhamira yako ni nini ila nimeona contradiction nyingi sana kwenye uzi wako..
+Umesema hakuna mtu anayefahamu kuwa wewe ni gay, lakini mbele umeonesha mahusiano yako na watu tofauti,na wengine umeshaachana nao,unauhakika gani kama siri haijavuja?
-Mwanzoni ulisema huna mpango wa kuoa,lakini huku mwishoni umeonesha shinikizo la mama yako linaweza kukufanya uoe...
-mwanzoni umeonesha "hujawahi" kufurahia kuwa gay,lakini kadri uzi ulivyozidi kwenda,matendo yako yanaonesha mambo ni tofauti..(mfano kupenda mume wa mtu mpaka kumuonea wivu mkewe,nk)

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Ok nitajibu kama ifuatavyo, nimesema hakuma mtu anaefahamu nikimaanisha watu wangu wakaribu, ndugu zangu, rafiki zangu, wafanyakazi wenzangu nk. Pia natake risk sana , sababu hata wagu niliowahi kudate nao hawawezi kuongea sababu wao pia hio ni moja ya privacy zao, hivyo kwa ninavyoamini hadi sasa hakuna mtu wangu wa karibu anaejuax sababu habari ingenifikia.

Pili, sina.mpango wa kuoa ndio, ilala mama angu.namuogopa sana, anachukia sana mambo ya gays, na aliwahi kusema sikua kigundua mtoto ake au mtu ndani ya nyumba yake ni gay, atamtwanga risasi au hata kumuekea sumu afe. Alishawahi kumpiga hata karibu amuue gay aliewahi jaribu kumuapproach cousin yangu tuliekua tunaishi nae, hivyo sitataka ajue, huwa namwambia tu sitaki kuoa , sijajua kama hua anazingatia au la.

Pia kuandika hayo mambo sio kwamba nafurahia , ila nimeandika.mambo.mengi in reality ili imake sense watu wajue naongelea kitu gani, thats all, ila kua gay ni changamoto sana, siwezi taka hata ntu awe.
 
Back
Top Bottom