Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mleta Mada kwa makusudi anataka kuaminisha watu Ushoga ni suala Biological, hili si kweli 100% Ushoga ni chaguo la mtu binafsi.

Ni sawa na Mimi niwaze nitakapo mfira mleta mada nitasikia ladha gani/fantasy gani.

Pia haya mambo ufanywa kwa Siri, unaweza kuaamua kumfanya mleta mada, kwa sababu amesema na yeye anaweza Kufanya Kuna siku anaweza kuomba na wewe akuingilie na kusababisha reaction.... To prove it mashoga wengi hujuana wao kwa wao
 
Kuna tofauti ya ubongo wa gay na wa straight,,,madaktari wa ubongo wanajua hilo (Neuroscientists) Kwahyo ushoga sio tabia ya nje ni kitu cha ndani kabisa....na wanazaliwa hivyo
This is not true, kwamba Ushoga ni suala la kibaolojia, Ushoga ni chaguo, yaani ni sawa na kusema Wanawake wanaosuguana visimi ni suala la kuzaliwa
 
Yeah at some point its true cas it happens for some gays, but nat all, thats why NGOs is very important for them.
Pole Sana kijana kama kweli una nia ya dhati na hiyo hali huipendi Mungu atakusaidia uache kuacha hiyo Hali ni ww kuichukia maana hayo mambo ni fedheha
 
What do you know about neuroscience? Kama huna fact yoyote ya kisayansi pita hivi...sibishanagi na watu wa la 7 b
Haya someni hii neuroscience
 

Attachments

Hakuna mkubwa, alikua rafiki angu, nilimzidi miezi kadhaa ila nae alikua 14yrs. Ila hajawahi kua gay hata baada ya hapo, ni straight, hakuchukulia serious sana alichukulia kama jokes na aliogopa sana imekuaje, ila nilichukulia serious.
Naomba kuuliza maswali yafuatayo;-
1. Ulitumia njia zipi kumtongoza rafiki yako ambaye kifupi naye alikuwa mtoto mwenzako be mpaka kufanikiwa kulala naye?
2. Hivi nyie ma gey mnapofikia mshindo huwa nanyi mnakojoa huku nanyi mkikojolewa?
3. Umejiandaa vp siku ambayo jamii yako itagundua,tambua kuna siku watajua kwani duniani hakuna siri ya wawili?
 
Ok tuassume huwashwi mahala, sasa ni kipi haswa kinachowafanya mruhusu mkuyenge uingie njia ya haja ikiwa umedai kabisa hamuwashwi? Kuna uhusiano gani kati ya kuwa na hisia na wanaume wenzio na kufanya tendo kinyume na maumbile?

Unadai una hisia na wanaume wenzio,na let's say ukimuona HB udapagawa, je hilo linapelekea vipi uone kwamba kitu cha kumpa huyo HB ni njia ya haja?
 
Itakua na wewe ni shoga,
Mnakuaga na hasira mkiwa bado hamjajikubaliiii

Sasa utammaliza ulimuumba wewe, wewe mbona hujamalizwa na huna mchango wowote sio kwa familia yako wala kwa dunia,

Mtu mzima hovyoooo.
 
Ushoga na usagaji ni tabia ambayo mtu anajifunza. Huyu mleta mada ameweza kuwateka watu hapa kwa kuanza na kujifanya anatoa suluhisho kwa wazazi lakini ukiendelea kusoma kwenye comment majibu yake ni dhahiri anatafuta kukubalika. Hasa anataka jamii iamini kwamba watu wanazaliwa wakiwa mashoga tayari.

Kuna mahali anasema kuwa hata ukimfundisha mwanao kwamba yeye ni mwanaume lakini bado kama alizaliwa akiwa shoga basi atakuja tu kuwa shoga. Haya ni maandalizi ya kuwafanya watu waone ni jambo la kawaida.

Mkuu ungejua jinsi hawa watu wanavyowekeza pesa nyingi ili wakubalike na kubadili mtazamo wa jamii Wala tisingewavumilia. Umeona jinsi Hollywood ilivyo sasa hivi? Asilimia kubwa ya movie na series zina haya mambo. Vipindi vya tv na hata katuni za watoto ni the same thing. Hawa wanazo ajenda zao na wako serious.

Tuwaepushe watoto wetu kuona huu ujinga lakini pia tuwamalize hawa wanaofanya matangazo.
 
haya mambo mi hata siyaelewagi

yaani ulipata mshindo baada ya kukuingilia au na wewe ulimgeuza??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23] khaaaaah
 
Yani hapa naumiza kichwa na I'd yako ya siku zote tu..🤔
Mungu anusuru vizazi vyangu
Hongera na pole.
Inaumiza jaman🙆‍♀️🙆‍♀️🥲🥲

Tuzidi kuwatolea watoto wetu sadaka juu yao izidi kuwalinda
 
Itakua na wewe ni shoga,
Mnakuaga na hasira mkiwa bado hamjajikubaliiii

Sasa utammaliza ulimuumba wewe, wewe mbona hujamalizwa na huna mchango wowote sio kwa familia yako wala kwa dunia,

Mtu mzima hovyoooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] km mtoa mada naye anajichukia na hajikubali.
Namuonea hurumaa, anaishi maisha ya mateso mnoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…