Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mleta Mada kwa makusudi anataka kuaminisha watu Ushoga ni suala Biological, hili si kweli 100% Ushoga ni chaguo la mtu binafsi.

Ni sawa na Mimi niwaze nitakapo mfira mleta mada nitasikia ladha gani/fantasy gani.

Pia haya mambo ufanywa kwa Siri, unaweza kuaamua kumfanya mleta mada, kwa sababu amesema na yeye anaweza Kufanya Kuna siku anaweza kuomba na wewe akuingilie na kusababisha reaction.... To prove it mashoga wengi hujuana wao kwa wao
 
Kuna tofauti ya ubongo wa gay na wa straight,,,madaktari wa ubongo wanajua hilo (Neuroscientists) Kwahyo ushoga sio tabia ya nje ni kitu cha ndani kabisa....na wanazaliwa hivyo
This is not true, kwamba Ushoga ni suala la kibaolojia, Ushoga ni chaguo, yaani ni sawa na kusema Wanawake wanaosuguana visimi ni suala la kuzaliwa
 
Yeah at some point its true cas it happens for some gays, but nat all, thats why NGOs is very important for them.
Pole Sana kijana kama kweli una nia ya dhati na hiyo hali huipendi Mungu atakusaidia uache kuacha hiyo Hali ni ww kuichukia maana hayo mambo ni fedheha
 
What do you know about neuroscience? Kama huna fact yoyote ya kisayansi pita hivi...sibishanagi na watu wa la 7 b
Haya someni hii neuroscience
 

Attachments

Hakuna mkubwa, alikua rafiki angu, nilimzidi miezi kadhaa ila nae alikua 14yrs. Ila hajawahi kua gay hata baada ya hapo, ni straight, hakuchukulia serious sana alichukulia kama jokes na aliogopa sana imekuaje, ila nilichukulia serious.
Naomba kuuliza maswali yafuatayo;-
1. Ulitumia njia zipi kumtongoza rafiki yako ambaye kifupi naye alikuwa mtoto mwenzako be mpaka kufanikiwa kulala naye?
2. Hivi nyie ma gey mnapofikia mshindo huwa nanyi mnakojoa huku nanyi mkikojolewa?
3. Umejiandaa vp siku ambayo jamii yako itagundua,tambua kuna siku watajua kwani duniani hakuna siri ya wawili?
 
Dah ila watu wagumu kiais kuelewa, i've said very clear, kua hizo hisia za sexual attraction ninazo tangu nikiwa mdogo sana, ila nimesema tu mala ya kwanza kusex ilikua when i was 14, hapo ndio first time ya kuwa penetrated, na nimeongea hilo ili watu waone kua mtu kua gay sio kwamba huwa anawashwa huko chini kama watu walivyokalili kwamba gays huwashwa sana ndio sababu wanatafuta watu wakuwapenetrate, no sio kweli sababu ingekua kweli basi ningewashwa huko nikiwa mdogo nikatafuta mtu tusex, na kwamba mtu anaweza kua gay kihisia ila asijaribu kusex kabisa, that was my point.
Ok tuassume huwashwi mahala, sasa ni kipi haswa kinachowafanya mruhusu mkuyenge uingie njia ya haja ikiwa umedai kabisa hamuwashwi? Kuna uhusiano gani kati ya kuwa na hisia na wanaume wenzio na kufanya tendo kinyume na maumbile?

Unadai una hisia na wanaume wenzio,na let's say ukimuona HB udapagawa, je hilo linapelekea vipi uone kwamba kitu cha kumpa huyo HB ni njia ya haja?
 
Huyu kiumbe kwanini anavumiliwa hapa? Lengo lake huyu ni kuaminisha jamii kwamba kuna watu wanazaliwa wakiwa wameumbwa mashoga na masagaji.

Huu ni uongo na ufedhuli wa mchana kweupe. Yani wewe ni mtu wa nchi jirani hapo. Umeajiriwa na NGO inayotaka kupata kukubalika hapa Tanzania. Umeleta mada kutengeneza credibility.

Tumeshakujua wewe abominable creature na tunakumaliza juu kwa juu. Huu ushenzi peleka hukohuko.

JF hapa imetumika vibaya sana kutangaza na kuweka hii mada katika kumbukumbu. Maxence Melo

Mwisho wako unakuja.
Itakua na wewe ni shoga,
Mnakuaga na hasira mkiwa bado hamjajikubaliiii

Sasa utammaliza ulimuumba wewe, wewe mbona hujamalizwa na huna mchango wowote sio kwa familia yako wala kwa dunia,

Mtu mzima hovyoooo.
 
Mdau umeandika kwa hisia kweli kweli lakini kiuhalisia ushoga umekuwa janga kwa jamiii yetu hasa kipindi hiki.. Nashauri usiwe mwepesi kuhukumu.

PAMOJA NA YOTE:Ametoa ushauri mzuri pia. Hasa kuwafunza watoto wetu maswala ya utambuzi wa jinsia zao kama njia ya kuwaepusha balaa hilo.
Tusione ufahari tukiona watoto wetu wa kiume wakivaa nguo, viatu za dada zao au kujaribu kuiga haiba za kike.(samaki mkunje angali mbichi)

MY TAKE: Sanaa za kina joti, jaymondi n.k. ambao sanaa yao inahusisha kuvaa uhusika wa kike.. sio wakuwaendekeza kwani wanaweza kuwa kichochezi cha ushoga..
Ushoga na usagaji ni tabia ambayo mtu anajifunza. Huyu mleta mada ameweza kuwateka watu hapa kwa kuanza na kujifanya anatoa suluhisho kwa wazazi lakini ukiendelea kusoma kwenye comment majibu yake ni dhahiri anatafuta kukubalika. Hasa anataka jamii iamini kwamba watu wanazaliwa wakiwa mashoga tayari.

Kuna mahali anasema kuwa hata ukimfundisha mwanao kwamba yeye ni mwanaume lakini bado kama alizaliwa akiwa shoga basi atakuja tu kuwa shoga. Haya ni maandalizi ya kuwafanya watu waone ni jambo la kawaida.

Mkuu ungejua jinsi hawa watu wanavyowekeza pesa nyingi ili wakubalike na kubadili mtazamo wa jamii Wala tisingewavumilia. Umeona jinsi Hollywood ilivyo sasa hivi? Asilimia kubwa ya movie na series zina haya mambo. Vipindi vya tv na hata katuni za watoto ni the same thing. Hawa wanazo ajenda zao na wako serious.

Tuwaepushe watoto wetu kuona huu ujinga lakini pia tuwamalize hawa wanaofanya matangazo.
 
Yani hapa naumiza kichwa na I'd yako ya siku zote tu..🤔
Mungu anusuru vizazi vyangu
Hongera na pole.
Inaumiza jaman🙆‍♀️🙆‍♀️🥲🥲

Tuzidi kuwatolea watoto wetu sadaka juu yao izidi kuwalinda
 
Itakua na wewe ni shoga,
Mnakuaga na hasira mkiwa bado hamjajikubaliiii

Sasa utammaliza ulimuumba wewe, wewe mbona hujamalizwa na huna mchango wowote sio kwa familia yako wala kwa dunia,

Mtu mzima hovyoooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] km mtoa mada naye anajichukia na hajikubali.
Namuonea hurumaa, anaishi maisha ya mateso mnoo.
 
Back
Top Bottom