Dah! haya bwana ila Mendez msimsumbue jamaa najua mshajaa inbox uko maana hii kitu kama ushawahi onja kuacha huwa ngumu sana msimsumbue jamaaDuh, hii yako sitajibu mkuu, niwie radhi.
Huna hata haja ya kusoma!!! we pita vile kama mm ambavyo nasepa haya majitu hutakiwi kusoma hata habari zao ni kinyaa kitupuDuh! Nmewaza pumba nkaandika nkafuta, nkawaza mambo ya muhimu nkaandika nkafuta, wacha niendelee kusoma comment ntafakari cha kusema. Hii ya leo kali
Mkuu kubali kujifunza, haya majitu yanaweza kutokea kwenye familia yako na kumbe ulikua na uwezo wa kutengeneza kabla hali haijawa mbaya. Usitumie lugha ya kuudhi hata kama unakelekwa na jambo fulani.Huna hata haja ya kusoma!!! we pita vile kama mm ambavyo nasepa haya majitu hutakiwi kusoma hata habari zao ni kinyaa kitupu
πππEti nilizaliwa hivyo.
Kwan wewe sperms zako hazifanyi kazi?yes napenda kua na watoto, lazima nije kua nao hata kama ni kwa kutumia surrogate mother.
Ok nitajibu kama ifuatavyo, nimesema hakuma mtu anaefahamu nikimaanisha watu wangu wakaribu, ndugu zangu, rafiki zangu, wafanyakazi wenzangu nk. Pia natake risk sana , sababu hata wagu niliowahi kudate nao hawawezi kuongea sababu wao pia hio ni moja ya privacy zao, hivyo kwa ninavyoamini hadi sasa hakuna mtu wangu wa karibu anaejuax sababu habari ingenifikia.Sijui dhamira yako ni nini ila nimeona contradiction nyingi sana kwenye uzi wako..
+Umesema hakuna mtu anayefahamu kuwa wewe ni gay, lakini mbele umeonesha mahusiano yako na watu tofauti,na wengine umeshaachana nao,unauhakika gani kama siri haijavuja?
-Mwanzoni ulisema huna mpango wa kuoa,lakini huku mwishoni umeonesha shinikizo la mama yako linaweza kukufanya uoe...
-mwanzoni umeonesha "hujawahi" kufurahia kuwa gay,lakini kadri uzi ulivyozidi kwenda,matendo yako yanaonesha mambo ni tofauti..(mfano kupenda mume wa mtu mpaka kumuonea wivu mkewe,nk)
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app