Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mi naumiza kichwa kumjua huyo mwanasiasa na msanii
Nimesoma comments huko juu inavyosemekana mwanasiasa ni bwana waziri mdogo mwenye upara
Na msanii ni yule mtoto wa fela aliehit Sana kipindi fulani
 

Imagine una kijana wako wa kiume anajihusisha na vitendo hivi ila kwa siri,wewe hujui na unakua huna shaka kisa ana videmu viwili vitatu kumbe vile videmu ni kwa ajili ya kufunika kombe mwanaharamu apite…Sasa kupitia huu uzi mtoa mada amebainisha shoga anaweza kuwa na demu au hata mke so kuna kitu watu wanajifunza kuliko kukaa kimya na ujinga wetu
 
Hapa ni kumtafuta dem wa huyu mtoa mada ili tumle kimasihara, maana naona anakosa ukuni waziwazi.
 
Nimesoma comments huko juu inavyosemekana mwanasiasa ni bwana waziri mdogo mwenye upara
Na msanii ni yule mtoto wa fela aliehit Sana kipindi fulani
👏👏👏Ngoja nipekue pekue
 
Jamaa kafunguka ukweli mwingi tu
Mambo aliyoyagusia yote ni dhahiri yapo ,na mwanaume akishaanza kula ile kitu ni ngumu kuacha ,shoga akilewa anaushawishi mkubwa mno yani seduce yake ni zaid ya mwanamke

Yupo rafiki yangu nimekuwa nae nimecheza nae hizi tabia ni tangu utoto nafikiri kuna hormone zilimzidia

Alilewa siku moja alinishawishi ilikuwa kidogo tu nimle bahati sikuwa pombe nilikuwa timamu nikamescape

Mwingine aliniita kwake kijanja ila huyu alikuwa na HIV,sikumla alinipa offer y kitu nikitakacho,

Fb sasa ndo zaidi ya kumi ila hakuna hata mmoja niliemfokea wote niliwasikiliza nikawaescape kijanja mno

Hadi wazee kabisa wapo ni gay
Mwanume utumie uanaume wako ipasavyo ukikaa tu mwili utakupeleka unavyotaka na inakuwa ngumu kuucontrol when it too late
 
This thread seems planned to me. It’s clearly a set up by some pro-gay NGO to win hearts and minds. I could see a sudden surge of aggresive pro gay posts from multiple individuals seemingly from no where; their main goal being to shut down peeps having opposite but valid arguments and concerns against the proliferation of homosexual behavior in society.
 
Uhalisia upo ivo ila mtoa mada unabidi ufanye jitihada za kuacha sasa kama ni porno video za gays zinakuhamasisha uache kuangalia na vile unasema una vijisent vya kununulia na mabando ya kutosha basi ukiwasha vpn unatataka ufukue fukue huko mpaka upate hisia za kufanya tendo hilo..tafta muda wa kuenjoi zaidi na demu wako unavoleta mikausho ndo hiyo hali inakuzidia ya kujiona unajiweza kumbe unapojiona unajiona ndo unaharibu zaidi,, kuna wakat inabidi upate tiba ya hisia kwa hisia sas hapo ni wewe kufosi ila ukikomaa kusema ni hisia zinakujia hapo utakua unafel kwanini zisikujie hisia za kujiua kwamba unywe sumu ufe au ujikate kichwa cha uume wako ila zinakuja hisia za kuingiliwa kimwili kinyume na maumbile jambi la kwanza hapo unatakiwa ujue unapambana na pepo wale waliofanya sodoma na gomora zikawashwa moto hivo unapopambana na hio hali muombe Mungu sana sana akusaidie kushinda hilo pepo tumia njia mbali mbali kuacha tumia chumvi ya mawe inuizie nia yako ogea kwa siku 21 mfulilizo bila kukosa pia katika hili nenda kwa mwanasaikolojia mwambie ukweli atakusaidia then zingatia ibada kama ni juma mosi ama jumapili naamini utakaa sawa..
 
Ulishawaj kuwa shoga?? Yeye ametoa ushuhuda wake nadhani ungemuonea huruma kuliko kumpinga, kama alivyosema angetamani kuwa binadamu wa kawaida lkn imeshindikana, tumwombee
 
Ulishawaj kuwa shoga?? Yeye ametoa ushuhuda wake nadhani ungemuonea huruma kuliko kumpinga, kama alivyosema angetamani kuwa binadamu wa kawaida lkn imeshindikana, tumwombee
Soma uelewe vizuri ndugu.
Yasiyo wezekana kwa wanadamu kwa Mungu yanawezekana.Kama mateja wameacha uteja,kwann ushoga ushindikane.Hakuna tabia inayoshindikana
 
Kuna waliwahi kuingilia wakiwa wadogo sana kiasi cha kutokukumbuka. Nakumbuka mtoto mdogo wa miaka mitatu alikuwa anamshikashika baba au mtu mwanaume sehemu ya kiume, hiyoo ni dalili ya mtoto kuingiliwa. Inawezekana huyo aliwahi kuingiliwa bila yeye kukumbuka. Imethibitisha kwamba gay anayegay kwa kudra za Mungu. Kama livyosema malezi na kuwalinda watoto vizuri kunachangia sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…