Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Hakuna mwanaume anayezaliwa akiwa Shoga, HAKUNA

Nakubaliana na yeyote kuwa kuna ambaye anaweza kuzaliwa ana tabia za kike, lakin kuwa na tabia za kike ni tofauti na kugongwa Nyuma,

Kuwa mwanamke sio kuliwa tigo, ingekuwa hivyo basi wanawake wote wangeliwa tigo
 

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]duuh dunia ina mambo
Sasa itasimama mpaka afike home amuandae wife mbona mateso......
Afu kunyonyana vinyeo tena dooh hatariii
 
Nimewahi kusikia hii kuna demu ni askari wa ulinzi kwenye makampuni aliniambia alipata mshikaji akajua kapata bwana siku wameenda lodge anashangaa jamaa anamwambia amuweke vidole kwa tigo ili mashine isimame akasema dah sniper njaa zitaniua maana nilisepa.
 
Yaani hapa naumiza kichwa na ID yako ya siku zote tu..[emoji848]
Mungu anusuru vizazi vyangu
Hongera na pole.
Polee ya nin wakati mtu anapata raha kwa hiari yake [emoji22][emoji849][emoji848]
 
Yupo sawa huwa wanasema hakunaga bisexual huwa ni kama hoax

Kuwa bisexual bado upo kwenye denial bisexual ni kama njia to gaytown

So ma bisexual , pansexual hawa jamaa ni walewale wote mashoga tu
 
Kwenye hayo maelezo kuna sehemu nimezungumzia Homoni au umekurupuka usingizi bado network haijakaa sawa? [emoji848]
 
Nakuuliza a very simple question,
wewe ni Mwanaume inakuaje unamtamani Mwanamke??

Nijibu hapo
 
Yaani kukojoa haraka ndio ugay[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

We nae acha zako.

Huyu jamaa yako ana upungufu wa nguvu za kiume na confidence imeshuka sana.

Usikute hayo mahusiano yaliyopita yamemuathiri.

Kama yeye hataki badilika na kuchukua hatua atabaki hivyo hivyo na wewe kwako inakuwa kalaghabao[emoji2]

Unataka handsome mwenge pesa na kazi nzuti ila mzigo hawezi piga .Yule kapuku usiemtaka mnuka mijasho ndio anaesimamia ukucha[emoji1787][emoji2]

Daah wanawake nawaonea huruma yaani lazima mkutane na kasoro mahali.[emoji2]

Anyway mambo yenu nimewaachie wenyewe
 
Hahahahahah nimecheka sana[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787]
 

Haiwezekani Taifa lote kua Mashoga na Wasagaji, hizo Imaginations ni Mfu kabisa,

Kuuliza kama "Tutapata generation safi hapo baadae" tayari imeonesha kiwango chako cha ufahamu kilivyo finyu na kama ulisoma basi wazazi/walezi wako walipoteza pesa zao bure,

Baba yako kua Shoga au Mama yako kua Msagaji unadhani nini kingetokea? kua Dunia ingeacha kujizunguusha kwenye muhimili wake au Jua lingeacha kuchomoza au Maji yangepanda mlima?
Mambo yangeenda kama yalivyopangwa,

Kwa hiyo kama na wewe unajiona unaviashiria hivyo acha kufikiria vitu visivyo na tija, anza kuishi uhalisia wako, wewe ukiwepo au usipokuwepo sio kama Dunia itapotea na shughuli zingine zitasimama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…