Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Hii ni asili ya viumbe hai wote wakiwemo ndege, samaki, wadudu, na viumbe hai wengine.Nakuuliza a very simple question,
wewe ni Mwanaume inakuaje unamtamani Mwanamke??
Nijibu hapo
Ni asili ya kimaumbile.
1. Ndio swali la kujiuliza, iweje wanyama wote wasiwe na hisia kwa wenzao wa jinsia moja isipokuwa Binadamu ?
Au uliwahi kuona Kuku Jogoo anashiriki mapenzi na Jogoo mwenzake hadi kufikia kujitenga na kuku wengine na kuamua kuishi peke yao ?
Hizi homoni za Kupenda kuvutiwa na jinsia yako, kwa nini ziwe kwa viumbe Binadamu tu. ?
Hii inaonesha ni tabia za kujiendekeza tu na sio habari ya Homoni kama wengi wanavyoeleza.
Iweje tunaona Mashoga wa kiume wanaiga tabia za Kike, kama Mavazi, kuongea, kutembea, kuringa nk.
Hapa mashoga wanatuonesha kuwa kuwa mwanamke ni pamoja na kupenda kuliwa nyuma.
Kwanini waige tabia za kike. ?
Hii ni kuwadhalilisha wanawake ambao hawana hisia yoyote na huo mchezo mchafu usiokuwa na tija kwa jamii.