Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

We acha kulazmisha jamii ikuone wa kawaida, nyie ni wa ajabu na mnafurah kuona vitoto vikikua vinakuwa hvyo
 
Naona tu mashoga humu yanakuja kujitetea yako sawa, aya bna
 
Mxiyuuuu ovyoo
 

[emoji23][emoji23][emoji23] Bro mimi ni Mwanamke so ukiniita Dada utapatia zaidi, uamuzi nimeshachukua ninaishi na Mwanamke nishamchumbia na tuna Mtoto tayari,

Ni Happy Family kwa kweli tumebarikiwa Furaha, Amani na Upendo,

Naona unabadili upepo kila muda mwanzo ulikataa kua hakuna wanyama wanaoshiriki same sex naona umeenda kugoogle huko umejionea, sasa unakuja kusema hakuna wanyama wanaoishi pamoja as same sex, lol

Kuhusu Tanzania kuruhusu Ndoa ni suala litachukua muda lakini litatokea na ndio maana tunapigania kuweka mazingira sawa kwa new generation.
 

Mtu akidai haki zake za Msingi ambazo nilishakuorodheshea huko juu kuna tatizo gani??

Unaona ni sawa binaadam mwenzako anaishi kwa mateso kisa tu anachopenda yeye wewe hupendi wakati Dunia hii tumeikuta na tutaiacha? huo ni ubinafsi,

Hakuna sehemu Mashoga wamesema wanataka haki ya kufanyana hadharani sababu wale sio wanyama wana utashi na aibu pia,

Nilishakwambia tena suala la kuzaa lipo, Shoga anazaa, Msagaji anazaa sasa hivi technolojia imekua, watu wanapandikiza, kuna surrogate mothers pia, kwa hiyo kama wewe unaenda kwa Mwanamke ili uzae jua hata shoga akitaka kuzaa atazaa pia kikubwa mbegu na mayai,

Mfano wa wazazi wangu mnapenda sana kuutumia hua mnapenda sana kuutumia najua ni kukosa hoja sasa mnatapa tapa,

Labda nikuulize maswali rahisi, unajua wewe ulitoka wapi na kwanini upo hapa duniani?? ulijua kua wazazi wako wangekua wazazi wako kabla?? kwanini kuna wengine wana viungo vyote kamili na wengine wanazaliwa sio kamili?? kwanini kuna Tasa na Wagumba??

Twende pole pole hapo.
 
Unaturingishia huna marinda aisee 🤔🤔
 
Umetoa elimu bora sana... Tulinde watoto wetu wa kiune kwenye hali hii...

Hupaswi kumcheka jamaa huyu... Kumbuka bado na ww unazaa...
Hizi academy zinalainisha Sana watoto,mwanangu huwa namwita kamanda mwanajeshi nabkumlea kijeshi jeshi ni mpera mpera tu kumuepusha na hisia za kitofauti.
 
Hakuna Wanyama wanaofanya kama mnavyofanya ninyi Mashoga.

Yaani mmezidiwa ustaarabu hata na
Wanyama ambao hawana Busara lakini wameweza kutambua mema na mabaya kuliko ninyi.

Mema na mabaya yanatokana na uamuzi wa Jamii husika. Na sio lazima yawe ni Amri za Mungu, jamii zilizo staarabika zimejitungia kanuni na taratibu zinazo waongoza ktk namna ya kuishi

Kwakuwa mmechaguana watu wenye mihemuko sawa na kuamua kuishi pamoja sio kama Mume na Mke bali kama Marafiki na kuamua kuchezeana sehemu za siri, fanyeni hivyo kwa siri kama wanaovuta madawa ya kulevya.
Mkithubutu kuchezeana hadharani mtaadhibiwa.

Hapo ni kwamba mnachezeana tu sehemu za siri na kwingineko. Hakuna ndoa hapo, ndoa inatokana na fasili ya jamii husika.

Tanzania fasili ya ndoa inashirikisha watu wa jinsia mbili tofauti. Mwanamke na Mwanamme.

Kuhusu kuchezeana hadharani.
Mlivyo na akili ndogo, mkiruhusiwa tu kutambulika na jamii. Basi hapo mnaanza kuchezeana hadharani kwa fujo, Club za Mashoga zinaota kama Uyoga, sherehe za Mashoga kila upande ni full fujo.

Ushahidi upo, Nchi zote zilizoruhusu ushoga, Mashoga full time ni kukumbatiana na kubusiana hadharani.

Kuhusu kuzaa. Mashoga hawana uwezo wa Kuzaa wao kwa wao. Kama wewe Mwanamke huna uwezo wa kumzalisha Mwanamke unayejifanya umeoa.

Halafu bila soni unakuja hapa kuandika umeoa na umezaa na huyo rafiki yako wa Kike. Mke na Mke mnazaa vipi ?
Mtu akitoa kauli kama hiyo anaonekana wazi kuwa ni MWENDAWAZIMU.

Ila mkae mkitambua kuwa, hadi sasa hivi Ushoga umekataliwa ndani ya Jamii yetu.

Hivyo ni tendo haramu.
 
Ndugu mleta mada Bharka wala huna haja ya kuwa na wasiwasi kutokana na vitendo vyako vya Ushoga kwa sababu hivyo ndivyo ulivyo. Binadamu na viumbe wengine wanaendelea kubadilika kutokana na mazingira, hakika mbunifu Mkuu kuliko wote, aketie juu, uwezo wake na utashi mwanadamu hawezi fikia kamwe, ni kituko mwanadamu kuita alichokiona CHEMA haramu.
Ipo hivi hapo zama za kale wanadamu walikuwa wakiishi katika vikundi vya watu wachache wachache na mazingira ya hatari: Simba, Chui, Mamoth, Saber tooth tiger, Manyoka na noma na nusu MWANAMME MWENZIO. Hivyo kutokana na hatari kama wewe kidume uwe kidume kweli, wewe unategemewa kwenywe suala la ulinzi kulinda wanawake.

Sasa mambo sio kama zamani hatari karibia zote mwanadamu kazithibiti kwa teknolojia, sasa mwanadamu anaishi kwa mapatano na ukali kati ya wanaume umepungua mpaka kufika hatua ya wanaume kuwa na mahusiano ya kimapenzi. Mambo ya kukaa kama box la umbo moja sasa hayapo tena, sasa ni kuwa kama maji kuchukua umbo lolote lile. Pia gay ni neno linalojumiisha aina zote za hisia mbali na heterosexual cocastic rudi shule kudai mleta mada sio gay.
 
Uchoko haujawahi kusababishwa na homoni uchoko ni laana ya ukoo ukijiona choko ujue baba ako alifirwa au ndugu yako yoyote anafirwa nawe ukifira choko jiandae mwanao au hata mjukuu wako kuwa choko
 
Uchoko haujawahi kusababishwa na homoni uchoko ni laana ya ukoo ukijiona choko ujue baba ako alifirwa au ndugu yako yoyote anafirwa nawe ukifira choko jiandae mwanao au hata mjukuu wako kuwa choko

Ndio mtazamo wako ulipo ishia njoo na fact kwaio ww unalaana
 
Katika hali ya Ukweli kila Mwanaume anahitaji kuanza maisha na Mwanamke ili kujenga familia.
Pia Kila Mwanamke anahitaji Mwanaume.
Ninaposema Mwanaume au Mwanamke ni wale waliokamilika kiakili na kimaumbile.

Ukitokea tofauti ujue kuna kasoro mahali imetokea ama ya Kimaumbile au ya kiakili (kisaikolojia)

Wanaume au wanawake wengi baada ya kupata musukosuko ya kisaikolojia kama kuachwa na wapenzi wao au kukosa wapenzi au kuumizwa kimapenzi utotoni, kutelekezwa au malezi mabovu, na pia madhara ya kimwli kama athari za ajali, kuzaliwa na mapungufu mengine.
Wamejikuta wanafanya maamuzi tofauti ili kujiriwadha na kuendelea kufurahia maisha.

Moja ya maamuzi ndio kama haya ya Kutafuta wapenzi wa jinsia moja au
hata kutafuta wapenzi wasio Binadamu.

Yako matukio baadhi ya Wanawake wanafunga Ndoa na wanyama na hasa Mbwa.
Yako matukio Wanaume wanafumaniwa wakilawiti wanyama kama Mbuzi na Ng'ombe.

Hayo yote ni matokeo ya frustration zilizo wapata baada ya kupitiwa na dharuba za kimaisha.

Mdada anafunga Ndoa na Mbwa dume na anaishi naye maisha ya Mume na Mke.
Hapo humwambii kitu, anatoa sababu kama zinazotolewa hapa na wahusika wa jinsia moja.

Kama mdau alivyo sema hapo juu, ulimwengu wa kisasa ni Free From Fear.
Watu wanajichagulia kuishi watakavyo. Ilimradi tu wasivunje sheria zilizowekwa ktk jamii zao.

Pamoja na hayo huwezi tu kutembea barabarani ukiwa uchi wa mnyama kwa kusema tu umejisikia kuwa huru kufanya hivyo.

Uhuru unamipaka yake, lazima uende na taratibu na kanuni za jamii husika.

Ndio maana Mashoga wanajisikia Guilty kujionesha mitaani. Na ni kweli ni waharifu kutokana na kanuni zetu za maisha tulizojiwekea.
Na wakikutwa wanaadhibiwa na jamii au mamlaka.

Hivyo ni ruksa kuishi namna utakavyo ila zingatia desturi za jamii yako ambayo imejirisha kiutafiti kuwa Ushoga una madhara kwa jamii na hauna faida.

Ushoga ni Uhalifu kama uhalifu mwingine hivyo ni juu yenu kuamua kuendelea nao mafichoni au kuachana na hayo maisha.
 
Kheeeh! Mbona kama wewe ndie mwenye hasira kuliko hao walengwa??

Sasa uhalifu wa Shoga ni upi au ndio kujitoa ufahamu mtu mzima wewe.
 
Calm Down bro, tatizo unaendeshwa kwa mihemko sana....

Nimekuuliza maswali huko juu hujajibu unabwabwaja kama mtu aliyerukwa na akili,

Jadili kwa upole, umakini na hoja kubwabwaja hakuleti maana,

Nakuongezea na Swali jingine,
Umesema wavuta madawa ya kulevya na wao wajitokeze kudai haki ya kuvuta madawa hadharani,
Je, Elezea Faida na Hasara ya Madawa ya Kulevya,


Umesema Ushoga ni Uhalifu, elezea hasara za Ushoga.
 
Sina hasira hata chembe.

Nasema katika jamii za Kitanzania
Ushoga ni uhalifu kama uhalifu mwingine.

Kama sio, basi tangaza kumwoa huyo mwanamke mwenzako na kaombe ruhusa ya kufunga ndoa kwa Mrajisi wa Wilaya yako halafu tuletee mrejesho hapa.

Utakataliwa, basi tambua kuwa ni uhalifu.

Mimi binafsi siwachukii Mashoga ila Ushoga, kwakuwa ni mapito ya maisha ya mtu na huenda akajirekebisha huko mbeleni na kuwa mtu wa kukubalika.

Ila lazima niseme ukweli kwamba katika Taifa la JMT Ushoga umepigwa marufuku kwakuwa utafiti wa Kisayansi umethibitisha kuwa hauna tija kwa ustawi wa jamii ya Kitanzania.
Na ni uhalifu kama uhalifu mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…