Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

dogo kupitia huu uzi wako una kili kabisa kua wewe ni shoga



nyie mbinguni mtakua kuni kabisa

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app

Sawa….sikatai naweza vipi kuacha
 
Unaona ... Me nilivyosoma andiko lake sikuhisi nasoma mtu anayeumia hisia, ni mtu almost yuko proud, kumbe top mzoefu huyu anajifanya kaomba namba hajui ya nn, unaowataka utapata fungua pm

Mbona unahasira sana Wewe utakuwa mmoja wao tena unafanya kwa siri,hakuna sehemu katika nyuzi zangu kuna dalili yoyote ya mimi kuwa proud.every time I hate it
 
Mbona unahasira sana Wewe utakuwa mmoja wao tena unafanya kwa siri,hakuna sehemu katika nyuzi zangu kuna dalili yoyote ya mimi kuwa proud.every time I hate it
Hilooo acha kutafuta choko wenzio I'm a woman, a clean one me I almost got married to a choko bwana so this is personal, nashangaa wanawake wanaotetea chokos waliooa, usithubutu kuoa no woman wants to marry a gay man pls.
Sehemu nyingi tu kwenye andiko lako zinaonyesha pride, yani ni unajitangaza in short huna remorse yoyote hatudanganyiki watakufwata huko pm lakini
 
Hilooo acha kutafuta choko wenzio I'm a woman, a clean one me I almost got married to a choko bwana so this is personal, nashangaa wanawake wanaotetea chokos waliooa, usithubutu kuoa no woman wants to marry a gay man pls.
Sehemu nyingi tu kwenye andiko lako zinaonyesha pride, yani ni unajitangaza in short huna remorse yoyote hatudanganyiki watakufwata huko pm lakini

So if you are a woman…Omba sana kwa Mungu upate mwanaume ambaye hayupo hivyo narudi tena omba sana kwa Mungu.Na kingine usimalize maneno hujui utafikia wapi,unajua kuwa kuna watu wameolewa na wake za watu,bora mimi kuliko hao ambao ni vyakula vya watu na wapo kwenye familia na watoto wamezaa kabisa
 
So if you are a woman…Omba sana kwa Mungu upate mwanaume ambaye hayupo hivyo narudi tena omba sana kwa Mungu.Na kingine usimalize maneno hujui utafikia wapi,unajua kuwa kuna watu wameolewa na wake za watu,bora mimi kuliko hao ambao ni vyakula vya watu na wapo kwenye familia na watoto wamezaa kabisa
Hauna ubora wowote, stay away from women
 
Nilianza kuamini kweli unahitaji msaada lakini baada ya wakulungwa kuleta Uzi wako mwingine inaonekana sio Msafi kama unavyosema

Kwanza haukuwa mkweli katika Uzi wako umeonyesha kana kwamba kuna hisia unazipata lakini hujielewi hivi kumbe ulishatoa Uzi ukikiri kufanya hayo mambo daah nimesikitika Sana.

Broo Mche Mwenyezi Mungu na ogopa siku ambayo utakuja kukutana naye.

Ni hayo Tu.
 
M
Nilianza kuamini kweli unahitaji msaada lakini baada ya wakulungwa kuleta Uzi wako mwingine inaonekana sio Msafi kama unavyosema

Kwanza haukuwa mkweli katika Uzi wako umeonyesha kana kwamba kuna hisia unazipata lakini hajielewi hivi kumbe ulishatoa Uzi ukikiri kufanya hayo mambo daah nimesikitika Sana.

Broo Mche Mwenyezi Mungu na ogopa siku ambayo utakuja kukutana naye.

Ni hayo Tu.
Mtu akishakuwa mchafu ndo aachwe ?
 
Back
Top Bottom