Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Labda nikuulize;

Unapofilwa unaona unafanya jambo sahihi?

Unajiskiaje wazazi wako wanaponyoshewa vidole kuwa wana mtoto anafilwa?

Jamii inayokuzunguka wanakusapoti kwa huo uchafu unaoufanya?

Kama kweli unajutia ni rahisi sana kuacha, unaamua wewe mwenyewe kuacha.

Kwanza kufilwa sio uanaume , uanaume ni kubeba majukumu ya kujijenga kifamilia na kijamii.

Kujiendekeza tu ptuuuuuuh!
 
Habarini za humu wadau,mimi ni kijana wa miaka 26,mkazi wa jijini dar es salaam.Ninakitu nimeobserve katika maisha yangu amabcho kinanipa huzuni kabisa na sina amani kwa kweli.Nina pesa na nina kazi ila hali yangu ya kimahusiano siielewi kabisa.

Ninaomba ushauri au msaada ili kuninusuru kabisa katika hili janga zito maana ni aibu na pia si sawa kabisa najihisi ni mkosefu sana.

Kiufupi nimekuwa ninavutiwa sana na vijana wakiume tofauti na wakike kiasi kwamba ninaweza nikawa nina demu mkali lakini akipita boy mwenye sura nzuri au smart lazima nimuangalie na pia sipo kama vijana wengine kuvutiwa na makalio makubwa au mguu wa demu mimi ninapenda tu sana sura.

Nimefikia humu kuandika hivi kwa sababu nimeona ni too much na hali inazidi just imagine juzi nilikuwa kiwanja flani kula bata ikatokea kumnotice kijana flani nilifanya hadi juhudi za kuchukua namba yake which is very very wrong.

Tafadhali mnsaidie nisije nikaingia kwenye ushoga au tabia mbaya ambazo sio nzuri,sina wa kumueleza hii kitu hata rafiki zangu wakaribu naona kama nazingua.
Watakuja inbox Kwa Maelekezo zaidi
 
Umeshaanza kutumika au ndiyo uko kwenye mchakato? Idadi ya wanaume inapungua kwa kasi ya ajabu sana
 
Habarini za humu wadau,mimi ni kijana wa miaka 26,mkazi wa jijini dar es salaam.Ninakitu nimeobserve katika maisha yangu amabcho kinanipa huzuni kabisa na sina amani kwa kweli.Nina pesa na nina kazi ila hali yangu ya kimahusiano siielewi kabisa.

Ninaomba ushauri au msaada ili kuninusuru kabisa katika hili janga zito maana ni aibu na pia si sawa kabisa najihisi ni mkosefu sana.

Kiufupi nimekuwa ninavutiwa sana na vijana wakiume tofauti na wakike kiasi kwamba ninaweza nikawa nina demu mkali lakini akipita boy mwenye sura nzuri au smart lazima nimuangalie na pia sipo kama vijana wengine kuvutiwa na makalio makubwa au mguu wa demu mimi ninapenda tu sana sura.

Nimefikia humu kuandika hivi kwa sababu nimeona ni too much na hali inazidi just imagine juzi nilikuwa kiwanja flani kula bata ikatokea kumnotice kijana flani nilifanya hadi juhudi za kuchukua namba yake which is very very wrong.

Tafadhali mnsaidie nisije nikaingia kwenye ushoga au tabia mbaya ambazo sio nzuri,sina wa kumueleza hii kitu hata rafiki zangu wakaribu naona kama nazingua.
Zidisha maombi huyo ni pepo mbaya sn
 
Kifo ndo solution kwa hili jambo, tena inabidi iwe mapema zaidi ili dunia iwe sehemu salama bila uwepo wenu machoko.
Ujamuelewa rudia kusoma post.
Nilichomuelewa roho ya ushoga inapiga hodi kwake anataka msaada wa jinsi ya kuifukuza.
 
Wachek wataalamu wa elimu za kiroho pia watu wa ushauri au wabobezi kwenye tiba za magonjwa ya kiroho. Ushoga ni roho chafu kama zilivyo za ulevi, uzinzi, umalaya, wizi, hasira,uteja nk vyote hivi vinatibika.
 
Kama unapiga punyeto na kuangalia porn website acha.
Tumia nusu siku kusoma kitabu kimoja cha biblia , anzia agano jipya

Hii kitu hali nilishapataga ila sijawahi kuwa shoga , nilikuwa najilinganisha na wanaume wengine na kujiona niko weak but vitu hivyo hapo juu ndivyo vimenitengeneza
 
Nimepitia uzi wako wa 2020
Umeshauriwa na wenye busara wa humu mpaka leo hii bado basi awamu hii ni halali watu wakuseme uamuzi ni wako kuacha au kuendelea kuwaingilia wanaume wenzio
 
 
Kujiendekeza tu. Mwanaume kumtamani mwanaume mwenzio hiyo ni dalili ya ushoga.

Wengi mnaathiriwa na ulaji mbovu matokeo yake mnashindwa kuwatomba vilivyo wanawake hali inayopelekea kusingizia kuwa mna hormone imbalance kati ya za kike na kiume.

Kwa jamii yetu ya Kitanzania hakuna wakati ambao ushoga na usagaji vitakuja kukubaliwa.

Hakuna jambo linaumiza nafsi kama kuwa na mtoto halafu akawa shoga au msagaji ni very painful na utatamani usingekuwa naye.

Badilisha style yako ya ulaji. Acha Kula chipsi na bites kama vile biscuits. Kula sana vyakula vya kuupa mwili wako nguvu kama mbogamboga na ugali kwa wingi.

Acha kujilegeza legeza kama mwanamke. Mwanaume unatakiwa kuwa mkomavu kwa kila kitu.

Lakini kuna wengine mmeamua kuwa hivyo kwa lengo la kukwepa majukumu hasa ya kifamilia. Kama hauna kasoro oa mwanamke uzae naye watoto utunze familia yako.
Kuna mtu leo kasema kuwa chips zina calories kuzdi ugali..
 
Habarini za humu wadau,mimi ni kijana wa miaka 26, mkazi wa jijini Dar es Salaam. Nina kitu nimeobserve katika maisha yangu ambacho kinanipa huzuni kabisa na sina amani kwa kweli. Nina pesa na nina kazi ila hali yangu ya kimahusiano siielewi kabisa.

Ninaomba ushauri au msaada ili kuninusuru kabisa katika hili janga zito maana ni aibu na pia si sawa kabisa najihisi ni mkosefu sana.

Kiufupi nimekuwa ninavutiwa sana na vijana wa kiume tofauti na wa kike kiasi kwamba ninaweza nikawa nina demu mkali lakini akipita boy mwenye sura nzuri au smart lazima nimuangalie na pia sipo kama vijana wengine kuvutiwa na makalio makubwa au mguu wa demu mimi ninapenda tu sana sura.

Nimefikia humu kuandika hivi kwa sababu nimeona ni too much na hali inazidi just imagine juzi nilikuwa kiwanja fulani kula bata ikatokea kumnotice kijana flani nilifanya hadi juhudi za kuchukua namba yake which is very very wrong.

Tafadhali mnsaidie nisije nikaingia kwenye ushoga au tabia mbaya ambazo sio nzuri, sina wa kumueleza hii kitu hata rafiki zangu wakaribu naona kama nazingua.
Huyu jamaa alileta mada yake Mwaka 2020 July 20 kuhusu kusaidiwa,kwa kuwa yeye ni mtombaji au TOP wa vijana wa kiume.Watu walimpa comment nzuri sana.Nashangaa bado anarudi na issue ile ile.Zile comment zilikuwa bora sana na Kama kweli alisoma angejiokoa kutoka kwenye hiyo issue.Je hakusoma.
 
Back
Top Bottom