Lukaku marata
JF-Expert Member
- Dec 4, 2019
- 449
- 752
dogo kupitia huu uzi wako una kili kabisa kua wewe ni shoga
Je, nifanye nini?
Habari za humu wanaForum, Kwanza kabisa nitoe pole kwa watanzania wote katika msiba huu mzito wa rais wetu mstaafu Benjamin WIlliama Mkapa. Niende moja kwa moja katika suala langu labda nitapata mawazo ya kunisaidia katika muktadha mzima wa maisha yangu kwani ninaamini humu kuna watu mbali...www.jamiiforums.com
nyie mbinguni mtakua kuni kabisa
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Unaona ... Me nilivyosoma andiko lake sikuhisi nasoma mtu anayeumia hisia, ni mtu almost yuko proud, kumbe top mzoefu huyu anajifanya kaomba namba hajui ya nn, unaowataka utapata fungua pm
Unatamani kifira? Ptuuuuuuuuu!....Kazi unayo aseeee
Hilooo acha kutafuta choko wenzio I'm a woman, a clean one me I almost got married to a choko bwana so this is personal, nashangaa wanawake wanaotetea chokos waliooa, usithubutu kuoa no woman wants to marry a gay man pls.Mbona unahasira sana Wewe utakuwa mmoja wao tena unafanya kwa siri,hakuna sehemu katika nyuzi zangu kuna dalili yoyote ya mimi kuwa proud.every time I hate it
Hilooo acha kutafuta choko wenzio I'm a woman, a clean one me I almost got married to a choko bwana so this is personal, nashangaa wanawake wanaotetea chokos waliooa, usithubutu kuoa no woman wants to marry a gay man pls.
Sehemu nyingi tu kwenye andiko lako zinaonyesha pride, yani ni unajitangaza in short huna remorse yoyote hatudanganyiki watakufwata huko pm lakini
Hauna ubora wowote, stay away from womenSo if you are a woman…Omba sana kwa Mungu upate mwanaume ambaye hayupo hivyo narudi tena omba sana kwa Mungu.Na kingine usimalize maneno hujui utafikia wapi,unajua kuwa kuna watu wameolewa na wake za watu,bora mimi kuliko hao ambao ni vyakula vya watu na wapo kwenye familia na watoto wamezaa kabisa
Hauna ubora wowote, stay away from women
Bwahahahahaha 😆😆Si ndo nakuambia sali sana,hata huyu unaechat nae ndo anaweza kuwa future husband wako
Sio sawa piaKama unatamani wakumege sawa tu ila ww usitamani uwamege
Mtu akishakuwa mchafu ndo aachwe ?Nilianza kuamini kweli unahitaji msaada lakini baada ya wakulungwa kuleta Uzi wako mwingine inaonekana sio Msafi kama unavyosema
Kwanza haukuwa mkweli katika Uzi wako umeonyesha kana kwamba kuna hisia unazipata lakini hajielewi hivi kumbe ulishatoa Uzi ukikiri kufanya hayo mambo daah nimesikitika Sana.
Broo Mche Mwenyezi Mungu na ogopa siku ambayo utakuja kukutana naye.
Ni hayo Tu.
Ndo maana nikakwambia Mche Mwenyezi MunguM
Mtu akishakuwa mchafu ndo aachwe ?
Mtafute jamaa anaitwa Dokta Mathew yupo insta na Tweeter atakusaidia Hilo tatizo linatibika.
Atubariki sote inshallah.Thank you,Mungu akubariki
Dah! Kweli dunia sijaimaliza walahiSina hizo hisia za kutiwa.
Daaaaaah! Kumbe tunapoteza muda kwa kuhangaika na punga!Kuna uzi wake mmoja anasema alishaanza hiyo michezo, ndio mana nasoma tu comments sina hata la kumshauri.
Sent using Jamii Forums mobile app