Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Kwa Umri wake ni kuiga,
Atakua amezungukwa na Wadada wa kileo na ukute mtoto wa kiume yupo peke yake kwa hiyo akiona dada zake wanachofanya na yeye anawaiga na shule amekua na marafiki wa kike sababu ndio kampani aliyoizoea tangu nyumbani kwa maana hiyo ana jifeel comfortable akizungukwa na wa kike kuliko wa kiume,

Hapo waanze tu kumuonesha kwa upole kua yeye ni wa kiume akipaka lipstick wamfute wamshikishe fimbo wamwambie apigane kung fu ili kuilinda familia yake, wamuoneshe yeye ni protector wa familia anatakiwa kua strong, n.k

Kuna ndugu yangu nilienda kumtembelea kwake mwaka jana nikamkuta na kilio cha binti yake wa miaka 10 anataka kua mkaka, hataki nguo za kike, anacheza michezo ya kupigana, mpira, hadi kuongea anaongea kibabe, nikamwambia anipe nikakae nae likizo ya mwezi mmoja, bahati nzuri hakubisha,

Siku namrudisha mama ake alilia kumuona mwanae amevaa nguo za kike na amesuka nywele nzuri na vishanga juu,

Mazingira wakati mwengine humshape mtoto kutoka A kwenda B and Vice Versa.
Kabisaaa maelezo mazuri na yamenyooka mnoo, apite asome hapaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini una washambulia wahanga na sio wanaowafanyia???

Itakua na wewe ni mmoja wao wa wanaofira ndio maana unaweka hasira kwa hao wahanga ili kuziba dhambi yako uifanyayo,

Acheni uharibifu kwa Watoto mnawatesa leo mnasema wanajiendekeza!!!

Aibu yako.
We punguani kweli!

Mimi nifire mtu ili iwe nini kwa mfano????

Kama umezoea kufirana utajua mwenyewe hilo halinihisu

Usinihusishe na tabia yako ya kishenzi ahenzi umesikia we chizi. Nitolee mikosi yako hapa nyau we!

Aibu iwe juu yako wewe mwenyewe
 
We punguani kweli!

Mimi nifire mtu ili iwe nini kwa mfano????

Kama umezoea kufirana utajua mwenyewe hilo halinihisu

Nitolee mikosi yako hapa nyau we!
Kisu kimegonga kwenye mfupa,

Hiyo ni saikolojia nyepesi sana, huwezi ukakaza misuli ya shingo kuwatukana na kuwalaani mashoga huku ukificha kuwazungumzia wanao waharibu hao mashoga kama wewe sio mmoja wao,

Wafiraji hua hamjifichi acheni huo ujinga mnatia kinyaa na unafki wenu
 
Kisu kimegonga kwenye mfupa,

Hiyo ni saikolojia nyepesi sana, huwezi ukakaza misuli ya shingo kuwatukana na kuwalaani mashoga huku ukificha kuwazungumzia wanao waharibu hao mashoga kama wewe sio mmoja wao,

Wafiraji hua hamjifichi acheni huo ujinga mnatia kinyaa na unafki wenu
Wewe fila au ufilwe ni juu yako wewe mwenyewe.

Kujikuta mjuajiiii kumbe hauna lolote. Wewe ndio inaonekana mharibifu namba moja wa watoto ndio maana unaomba hadi watoto wa watu ukae nao kwa kichaka Cha kujiona unajua saana

Hicho kisu kilichokugonga kwenye mfupa pole yako.

Kama unadhani kuharibu watoto wa wenzio ni jambo jema sana kwako nakupa pole.

Nakupuuza tu hujui chochote unahangaika tu
 
Mbato in regular base.

Huwezi kuwa shoga kama humbito regularly.

Hao Wanawake watakuvutia Nini!?

Acheni ufala kamatieni minyambizi muimbato hata hizo testosterone zitakuwa zinatengenezwa vizuri.

Anza kumbato Sasa ushoga ukupite kando.

Vaa kondomu Ukimwi unaua.
 
I mean nina wadogo wa kiume wawili, mmoja Yuko poa tu, Ila mwingine hayuko vizuri ndo Ana hiyo shida, kwa hiyo huyu ambaye Yuko vizuri Ana act kiume ndo mbabe, anamwambia mwenzie usikae na Mimi unaact kidada.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Wewe fila au ufilwe ni juu yako wewe mwenyewe.

Kujikuta mjuajiiii kumbe hauna lolote. Wewe ndio inaonekana mharibifu namba moja wa watoto ndio maana unaomba hadi watoto wa watu ukae nao kwa kichaka Cha kujiona unajua saana

Hicho kisu kilichokugonga kwenye mfupa pole yako.

Kama unadhani kuharibu watoto wa wenzio ni jambo jema sana kwako nakupa pole.

Nakupuuza tu hujui chochote unahangaika tu
Mimi ni mrekebishaji baada ya nyie wabakaji na wafiraji kuharibu,

Ni mpumbavu pekee anayeweza kufungua bakuli lake na kulaumu muhanga,

Yaani wewe Mtoto wako amebakwa unaanza kumsema kwanini amebakwa kwanini analia,

Ungekua una akili ungeanza kukemea hao wafiraji wenzio waache kuharibu watoto ila kwa kua unatetea ujinga wako hilo umelificha na kuanza kutukana wanaoharibiwa,

Siwezi kuacha kuwashambulia nyie wanafki waharibifu, unadhani kuna mzazi anapenda mwanae awe shoga? Punguwani weee
 
Mimi ni mrekebishaji baada ya nyie wabakaji na wafiraji kuharibu,

Ni mpumbavu pekee anayeweza kufungua bakuli lake na kulaumu muhanga,

Yaani wewe Mtoto wako amebakwa unaanza kumsema kwanini amebakwa kwanini analia,

Ungekua una akili ungeanza kukemea hao wafiraji wenzio waache kuharibu watoto ila kwa kua unatetea ujinga wako hilo umelificha na kuanza kutukana wanaoharibiwa,

Siwezi kuacha kuwashambulia nyie wanafki waharibifu, unadhani kuna mzazi anapenda mwanae awe shoga? Punguwani weee
Unayoyafanya wewe unafikiri kila mtu anayafanya?

Punguza kihere here na kidomo domo chako.

Una kila dalili ya kuharibu watoto wa watu kwa kisingizio cha kujifanya unawarekebisha.

Nishakwambia kama unafila au unafilwa pole yako hayo hayanihusu.

Kwanza ni mkosi Mkubwa mno wewe ku- quote kwenye comment yangu
 
Unayoyafanya wewe unafikiri kila mtu anayafanya?

Punguza kihere here na kidomo domo chako.

Una kila dalili ya kuharibu watoto wa watu kwa kisingizio cha kujifanya unawarekebisha.

Nishakwambia kama unafila au unafilwa pole yako hayo hayanihusu.

Kwanza ni mkosi Mkubwa mno wewe ku- quote kwenye comment yangu
Ungekua mtakatifu ungekuwepo kwenye huu uzi?

Kila nyuzi za ushoga hukosekani baradhuli mkubwa wee,

Jifarague hapa uwezavyo lakini ukienda chooni kunya tafakari na hilo la kuharibu vijana wadogo wake kwa waume, kichwa kama njegere kavu,
 
Ungekua mtakatifu ungekuwepo kwenye huu uzi?

Kila nyuzi za ushoga hukosekani baradhuli mkubwa wee,

Jifarague hapa uwezavyo lakini ukienda chooni kunya tafakari na hilo la kuharibu vijana wadogo wake kwa waume, kichwa kama njegere kavu,

Nyooooo
Sikuwa najua wewe ni mtu wa aina gani. Nikufuatilia na nimekujua kwa kina kupitia nyuzi zilizopita, kumbe na wewe ni walewale, endelea na uchafu wako hukohuko
 
Pole kwa kazi nzito uliyojipatia,
Uende kwa Mangi sasa akakupe walau Maziwa fresh usafishe roho yako hiyo chafu
Uache tabia yako chafu na kiherehere ukiona comment unajipendekeza ku- quote, acha kujipendekeza
 
Nijipendekeze kwa kipi ulichonacho wewe hayawani mtoka pabaya usotaka kuambiwa kweli, uso umekusawajika kama chapati ya mama ntilie halafu unajishongondoa nini wewe
Jilaumu wewe mwenyewe kwa ujinga wako na upumbavu wako wa kujiweka kwenye vitendo vya kijinga unavyovifanya halafu unataka uchekewe filauni Mkubwa we!

Unajishaua shaua hapa unajistukia ovyooooooooo. Kujikuta umepatia kweli choko mmoja wewe. Kama unawashwa washwa wafuate hao machoko wenzio ,punga Mkubwa

Peleka upuuzi wako huko huko kwa ndungumbilo wenzio. Unajiona una akili kweli kushadadia ushetani wako, uharo mtupu huna jipya kazania sana ufilauni wako huo na kidomo domo chako fwaaaaaah!
 
Back
Top Bottom