Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Umeona...wanataka kuwabambikia magay kesi tuu lakini ukweli wa wao kutoolewa upo kwao wenyewe na wanavyoendesha maisha yao

Wanatamaa sana hawa yaani mtu unaweza ukachikia mapenzi kwa sababu yao ila wakiumizwa wao utasikia kelele nying
 
Mbona u sound like a Fraud?! [emoji23][emoji23]

Anyways ulicho describe hapo sio Gay person bali ni Bisexual.

Na the way umejiexpress u definitely failed kuconnect spirit yako na hii matter maana nimeshindwa kuestablish connection ya matendo yako, historia yako, hisia zako na uhalisia wa hizi tabia.

Anyways umefanya jambo zuri kujaribu kuvaa uhusika na kujaribu kutengeneza a strong message kuisaidia jamik yetu.

But kwa mtu anaelewa hayo mambo kiundani na vyanzo plus visababishi vyake, u r definitely not a match of reality.
Unaweza kushare pia kwa ufupi watu wajifunze, yote nilioelezea zaidi yanahusu ny personal experience pamoja na huyo friend ambae ni gay pia, kama kuna kitu kingine zaidi please share.
 
Una akili sana. Thank you for the enlightenment. I like p*u*ssy "the cookie" a lot. There is no chance nitakaa willingly nikubali kuingiliwa... ila nikawa nawaza apa kuna magereza maybe some unfortunate day nitatupwa huko... au haya mabazazi yanayofanyia uhuni wa hivyo fellow men martyr
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] za kuambiwa changanya na zako, mwishoe uanze kusumbua watu FB wakukaze we kurupuka tyuuh.
 
yes nina girlfriend , hajui kama niko hivyo, pia relationship yetu imekua complicated, sababu ananipenda sana ila anahisi simpendi , sababu hata kumpigia simu sometimes zinaweza pia hata 3 days asiponianza nimtafuti, hajui wala hajawahi kuhisi.

Yes huwa tunasex sometimes, japo sio mala nyingi, najua pia anachepuka lakini i dont mind at all.
Kijana wangu!
Kama unadinda unakwama wapi?

Maisha ndio haya haya,fanya unaloona ni sahihi kwako ili mradi hakuna unayemkera.
 
Saas were uko kimkati Zaid sna mnk kma una miak 26 na ulisema ukianza hi kazi ukiwa na miaka 14 different Ni miak 8 tu sas mbna inaweEkana ukkacha na hi tabia

Binaf mm niliwai kujatlribiwa na mwinyilist mmoja wa kkkt kunitka mm nikiwa Kam fom two HV ila hakafanikiwa ingwa alikuwa nananisumbua sna na baada nikja kugundua amesha tembea na baadhi wa vijana na mm niliye mkatali alinichukiaga sna
unaatype kutumia nini mzee?

duh aisee[emoji23][emoji23]
 
Bisexual inatumika kwa mwanaume au mwanamke ambaye anajihusisha na both genders yaani yake na opposite.

Gay ni mwanaume ambaye yupo 100% involved na wanaume tu hana mahusiano na wanawake hata kidogo.

Lesbian ni mwanamke ambaye anahusiana na wanawake tu hana feelings kwa wanaume hata kidogo.

Gay ni male, lesbian ni mwanamke.
You're brilliant😁😊🤩. Nimeelewa sana. Thank you. Io bisexual ndo tunaita "PLAYING BOTH TEAM!" Good thing im male and i like only them girls
 
Mtu yeyeto anaezaa hawezi mcheka shoga,kibaka,teja,changu.
Inaumiza sana. Nilimpeleka mother hosp moja hivi karibuni. Bahati mbaya mother akalazwa hapo hosp. Kwa hiyo muda mwingi nilikuwa nashinda maeneo hayo ya hosp. Ile nipo nipo pale nikamuona kijana wa kiume karibia miaka16,17 hivi. Hapo nilipomuona ilikuwa kwa mbali kidogo.

Baadae kidogo nikakaribia yale maeneo walipokuwa. Nikamuona yule kijana kanyanyua ndoo akaenda kuchota maji bomba la mbali kidogo wakati lilikuwepo lingine lilikuwa karibu. Yaani ile jitwisha yake maji kichwani ilinishangaza,kama mwanamke kabisa. Nikaendelea kumuangalia tembea yake kabisa anabetua na mikono. Ikabidi nimsogelee nimsikie. Nikamuuliza kwa nini umeenda kuchota mbali ili-hali maji yapo karibu. Ile ongea yake kama mwanamke kabisa,sauti nyororo mno. Nikamuangalia usoni ni soft kabisa ile kikike kabisa. Ikabidi niwauluze walikuwa jirani nae wakaniambia amezaliwa hivyo ni wa kiume ila ana mambo yote ya kike. Wakaniambia hata shule aliachishwa ksbb hiyo.

Siku hiyo nilishinda vibaya sana. Nilijisikia vibaya mno. Roho iliniuma mno. Nilimuonea huruma sana yule kijana
 
Jaribu embu uone nn kitatokea ukifanya hvyo nataka uone nni hao wanfikiria kuhusu hyo Hali Kam ya kwako huenda ikawa mwisho na wee unampenda sna
Siezi na hawezi kubali, yeye sio verse, ni kama demu wako atake akugonge hata na dildo, si utashtuka na hata kukasirika, pia ni hivyo.
 
Ww nawe unanichekesha sasa dah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] namuambia ukweli, maana km namuona anataka akajaribu kukunjwa 7, afu a prove km atawashwa au laah,
 
Kwa jinsi ulivyojieleza, itakuwa wewe ndiye ulianza. Rafiki yako ameendeleaje. Naye ni gay ukubwani?
Hapana sio gay,.ni straight, wala sikuanza , ni vile nisingependa kuongelea hili hapa sababu hakifundishi chochote kizuri.
 
Back
Top Bottom