Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

[emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji23][emoji3]
C ndo unapenda kusikia hivyo, mie nakufurahisha tyuuh.
Hapana aisee hayo maswali ya ndani uliulizwa na mtu mwingine sio mimi 😂
 
Dawa ya moto ni moto mkuu,
Anakiri hilo swala hawezi kuliacha..

Na kila nikitafakari sion linatuathiri vipi sisi wasoma nyuzi..
Sina budi kumpa go ahead, a-enjoy tu mana maisha ni hayahaya
Mtoa mada kuna malezi ya kisaikolojia yalimuathiri hapo nyuma eidha kwa kujua ama kutokujua.

Kuna mambo mengi sana ya msingi yanachangia hii hali.

Huwenda alikaa sana na wanawake mpaka akawa anameza zile mindset zao.

Na hii sana kwa watoto waliokulia mazingira ya kibosi wqnalelewa na housegirl ama wadada watoto hawa wanashinda muda mrefu na wanawake jambo ambalo ni hatari sana na ndio maana wahanga wakubwa wa ushoga ni watoto walootoka familia za hali zinazojiweza.

Ninachoamini mtoa mada hajazaliwa shoga kabisa kwa sababu kasema yeye ni mwanaume kamili ukimtazama.

Kwa sababu wanawake wana level kubwa ya oestrogen na progesteron homoni ambazo zinahusika na mambo yote yahusuyo sifa za kike..

Sasa mtoa mada kama anaonekana yuko kiume maana yake anatomy yake iko sawa kwamba aliumbwa tayari mwanaume akiwa kamili.

Laiti kama angesema ana sauti kama ya kike,amelegea,anatembea kama mwqnamke n.k hapo tungesema huwenda kweli ingawa hiyo hali sio udhuru wa mtu kuwa shoga kwa sababu wapo waliokuwa hivyo na bado sio mashoga.

Ishu kubwa ni saikolojia uliyokulia nayo ikoje,umekulia mazingira gani,uliona vitu gani wakati wa ukuaji wako.

Miaka 14 ni mingi sana kwa sababu mtoto anaanza kujifunza mambo pale anapoanza kuona kwa ufasaha tu(kuanzia miezi 3-5) mpaka kufikia kuongea lugha kwa ufasaha (6-7years).

Saaa miaka 14 ana implement kile kilichokuepo katika akili yake.

Matendo tunayotaka kuyafanya yanachochewa na mawazo ambayo yamehifadhiwa kwenye bongo zetu.

Na mawazo yaliyohifadhiwa kwenye bongo zetu tumeyapata eidha kwa kusikiliza kitu ama kuona ama kutenda.

Jnachokisikiliza kinaweza kuja kuwa tabia unayoifanya baadae.

Unachokifanya kinaweza kuwa tabia utakaylifanya baadae.

Unachokiona kinaweza kuwa tabia unayoifanya sana baadae.
 
Watoto wengi huwa wanajaribiana wao kwa wao. Na wanapokua uacha km huyo mwenzio. Wewe ukaamua kuendelea. Na ukapata mshindo kabisa kupitia hiyo njia japokuwa ilikuwa mara ya kwanza!
Hapana sio gay,.ni straight, wala sikuanza , ni vile nisingependa kuongelea hili hapa sababu hakifundishi chochote kizuri.
 
Chief, malezi yako ya utotoni yalikuwaje ? Hapa naona unapingana na uhalisia wazi wazi.

Hayo yote yanawezekana, ndiyo maana unamkuta leo mtu yuko hivi kesho yuko hivi. Mathalani mimi siwezi kuswitch kuwa hivyo sababu najua jambo hilo ni baya, kiimani na kiakili pia.

Ila wazembe wapo wanafanya hivyo kwa aidha kuiga, kushawishiwa na mfumo wa maisha wanayo ishi.

Hiyo ni tabia sababu jambo hilo liko ndani ya uwezo wako, kwa maana asili yako si hiyo. Hakuna Baolojia ya kuzembea namba hiyo.
Mkuu mboba nimeelezea japo kwa ufupi maisha ya utotoni, nimekua kama watoto wengine, nimecheza michezo yote ya kiume, na nineishi familia wanayomjua Mungu, wala hakukua na gape la kusema ndio limeniharibu.

Hakuna kitu kama kujiendekeza, natamani ningekua najiendekeza pengine ningejibadilisha, ila automatically tu navutiwa na men kuliko women. Hapo kujiendekeza kuko wapi, yani ikitokea wewe handsome uko mbele yangu na demu mkali yuko mbele yangu trust me feelings za.mwili zitakua kwako sio kwa huyo demu, tell me how can i change that.
 
Mkuu mboba nimeelezea japo kwa ufupi maisha ya utotoni, nimekua kama watoto wengine, nimecheza michezo yote ya kiume, na nineishi familia wanayomjua Mungu, wala hakukua na gape la kusema ndio limeniharibu.

Hakuna kitu kama kujiendekeza, natamani ningekua najiendekeza pengine ningejibadilisha, ila automatically tu navutiwa na men kuliko women. Hapo kujiendekeza kuko wapi, yani ikitokea wewe handsome uko mbele yangu na demu mkali yuko mbele yangu trust me feelings za.mwili zitakua kwako sio kwa huyo demu, tell me how can i change that.
Lile tukio la siku ya kwanza na mwenzako ndiyo sababu. Kuna maswali nimekuuliza kuhusu tukio hilo, naomba unijibu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] raha yaan nanga itoke na tope, wee vipi?
Akati mende wengine wanalamba na kunyonya samadi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo lazima Bangi na Mirungi na Pombe aina pa pingu vichanganywe uvute hadi ulewe ndio unapata hizo stimu.
Unafurahiaje Kufika Kileleni kwa kuharisha Mavi.
Na huyo Mwanamume basha anafurahiaje kukoga Mavi.

Hiyo ni Abnomality.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawee ukachomekea nn? Yaan nyie watu Ushoga mnaupenda ila tyuuh nafsi zenu zinawasuta lol.
Aisee mimi usinihusishe wala sikua na maana yoyote ya kuibua hisia im just playing around tu kwenye uzi kushangaa 😂

Hayo ya faragha tuachane nayo niambie tu fidodido ni nani 😂😂
 
Mtoa mada kuna malezi ya kisaikolojia yalimuathiri hapo nyuma eidha kwa kujua ama kutokujua.

Kuna mambo mengi sana ya msingi yanachangia hii hali.

Huwenda alikaa sana na wanawake mpaka akawa anameza zile mindset zao.

Na hii sana kwa watoto waliokulia mazingira ya kibosi wqnalelewa na housegirl ama wadada watoto hawa wanashinda muda mrefu na wanawake jambo ambalo ni hatari sana na ndio maana wahanga wakubwa wa ushoga ni watoto walootoka familia za hali zinazojiweza.

Ninachoamini mtoa mada hajazaliwa shoga kabisa kwa sababu kasema yeye ni mwanaume kamili ukimtazama.

Kwa sababu wanawake wana level kubwa ya oestrogen na progesteron homoni ambazo zinahusika na mambo yote yahusuyo sifa za kike..

Sasa mtoa mada kama anaonekana yuko kiume maana yake anatomy yake iko sawa kwamba aliumbwa tayari mwanaume akiwa kamili.

Laiti kama angesema ana sauti kama ya kike,amelegea,anatembea kama mwqnamke n.k hapo tungesema huwenda kweli ingawa hiyo hali sio udhuru wa mtu kuwa shoga kwa sababu wapo waliokuwa hivyo na bado sio mashoga.

Ishu kubwa ni saikolojia uliyokulia nayo ikoje,umekulia mazingira gani,uliona vitu gani wakati wa ukuaji wako.

Miaka 14 ni mingi sana kwa sababu mtoto anaanza kujifunza mambo pale anapoanza kuona kwa ufasaha tu(kuanzia miezi 3-5) mpaka kufikia kuongea lugha kwa ufasaha (6-7years).

Saaa miaka 14 ana implement kile kilichokuepo katika akili yake.

Matendo tunayotaka kuyafanya yanachochewa na mawazo ambayo yamehifadhiwa kwenye bongo zetu.

Na mawazo yaliyohifadhiwa kwenye bongo zetu tumeyapata eidha kwa kusikiliza kitu ama kuona ama kutenda.

Jnachokisikiliza kinaweza kuja kuwa tabia unayoifanya baadae.

Unachokifanya kinaweza kuwa tabia utakaylifanya baadae.

Unachokiona kinaweza kuwa tabia unayoifanya sana baadae.
Umefafanua vyema mnooo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawee ukachomekea nn? Yaan nyie watu Ushoga mnaupenda ila tyuuh nafsi zenu zinawasuta lol.

Mstili basi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ujue ajatumia privacy account
 
Aisee mimi usinihusishe wala sikua na maana yoyote ya kuibua hisia im just playing around tu kwenye uzi kushangaa [emoji23]

Hayo ya faragha tuachane nayo niambie tu fidodido ni nani [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeanza kupanick, relaaaax bhana.
Wala sijawa huko, mbna mie niko peace sana, leo tunamsoma jamaa anayejikataa huku hawezi kujinasua.

[emoji482][emoji482]
 
Kwanza pole chief

Nimesoma yote uoiyoandika mkuu lakn hili.andiko naliona limekaa KIMKAKATI SANA namaanisha hizi NGO'S zinazosapoti haya mambo zmekutumia Kama njia ya kufikisha ujumbe ili ziendelee kupiga propaganda za kuwepo nchini na kutumia fursa hyo kuwarubuni vijana

Upande wa pili nikusifu kwakueleza mbinu kwa SS wazaz nn chakufanya kwa watoto wetu wa kiume ili wasije tumbukia katka UCHURO HUU

LAKINI BADO NAFSI INANIAMBIA HUU N MKAKATI

kadiri tunavyoupa muda na nafasi kuuelezea USHOGA ndvyo tunavyozid kuzalisha MASHOGA ZAIDI
Dah nimecheka sana uliposema mkakati NGOs zinanitumia, hahaha, hapana mkuu, ila uhalisia hizo NGOs waziruhusu tu kuokoa hata straight people amini kwamba mkuu. Mzunguko unaweza kukurudia hadi wewe ndugu yangu. Ni vyema hizo NGOs zikawepo waweze kucontrol hawa gays kiasi kwa kuwapa vifaa vya kuwakinga na maambukizi kama PEP, anal condoms nk. sababu hata hizi condom za.kawaida wanazotumia zimetengenezwa kwa ajili ya ku favour uke sio anal, hivyo ndio dababu wanapata ma warts na kansa huko nyuma ila za anal zipo specific for anal, hata girfriend wako usimuingilie nyuma na hizi normal condoms tafadhari.
 
Hapo lazima Bangi na Mirungi na Pombe aina pa pingu vichanganywe uvute hadi ulewe ndio unapata hizo stimu.
Unafurahiaje Kufika Kileleni kwa kuharisha Mavi.
Na huyo Mwanamume basha anafurahiaje kukoga Mavi.

Hiyo ni Abnomality.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko wee unachukulia serious? Mwenzio niko ktk jokes mood khaaah
 
Back
Top Bottom