Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Details za kitabu cha Ayubu
en.wikipedia.org
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Bibi apuuzwe ili mjadala uwe kwa hoja na tafakuriMama na baba wa mamake Yesu wapo kwenye biblia?
ThibitishaHiyo Biblia imeandikwa na kuhaririwa Nicea na Mfalme Constantine na genge lake
Umeshindwa kujibu swali. Unasepa kiaina.Huyu Bibi apuuzwe ili mjadala uwe kwa hoja na tafakuri
Majibu yapo na yenye uthibitisho kabisa Ila siwezi kujisumbua maana najua ulisha ipita idharau nafasi ya kufanya reasoning na Sasa ni Kama robot lililokuwa programmed Basi hufanya kile kile tu lilichukua programmed nacho na si zaidi.Umeshindwa kujibu swali. Unasepa kiaina.
Nawahakikishia hakuna anayejiita Mkristo mwenye jibu ya hilo swali. Waombeni Waislam wawasaidie.
Ahsante sana kwa ufafanuzi mzuri sana!Hapana, pocket money ili ununue nini? Akiba ni ya matendo, ukiwa na imani, upendo, uadilifu, ujazo wa roho mtakatifu, maisha yenye ushuhuda hizo ndio akiba otherwise maskini hawataingia mbinguni. Abraham alimtoa Isaka ila tunaambiwa ndio baba wa imani SIO sababu ya kutoa PESA.
Na wanatheolojia wanasema kwa nia ya sadaka ile ndio Mungu akaona asimzuie mwanaye kufa msalabani sababu aliona moyo wa Abraham kutozuia wake.
So to hell with pesa, matendo ndio hazina
Yesu hana mama,ana Baba tu na Baba yake ndiye mnamuita Mungu.Mama na baba wa mamake Yesu wapo kwenye biblia?
ALL SCRIPTURES HAVE BEEN WRITTEN BY HUMANS, THERE IS VERILY NO DEVINE SCRIPTURE.Hiyo Biblia imeandikwa na kuhaririwa Nicea na Mfalme Constantine na genge lake
ni MWANAMKE tu kama weweBikira Mariam ni nani wake?
Sikuuliza kama alikuwa mqanamke au mwanamme, nimeuliza bikira Mariam alikuwa nani kwa Yesu?ni MWANAMKE tu kama wewe
Gal 4:4-5
Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu ALIMTUMA MWANA WE ambaye amezaliwa na MWANAMKE, amezaliwa chini ya sheria, kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisi tupate kupokea hali ya kuwa wana
mbona hiyo verse imekujibu.okay,ngoja nikupe kijiti unachohisi kitakuokoa :' Maryam ni MWANAMKE aliyemzaa Yesu.Sikuuliza kama alikuwa mqanamke au mwanamme, nimeuliza bikira Mariam alikuwa nani kwa Yesu?
Hivi vimo ndani ya Sanduku la Agano ambalo limezungukwa na Makerubi kumi na wawili funguo zake zikitunzwa na Gabriel. Kwa ufafanuzi huo uache kuomba visivyowezekana."Kuna vitabu vingine kama Kitabu cha Uzima na Kitabu cha Hukumu."
Mkuu hivi viwili unavyo ? Naweza kuvipata
Tusiende huko mbona mbali wewe unamjua babu wa babu wa babu wa babu mzaa babu wa babu yake ? Upande wa mama yako au baba yako ? Waweza wataja majina na waliishi wapi kabla ya kuja huyo unayeita mtume mohamed unafahamu kizazi chako.kabla ya mohamed upande wa mama yako na baba yakoMama na baba wa mamake Yesu wapo kwenye biblia?