Mambo usiyoyajua kuhusu Biblia

Mambo usiyoyajua kuhusu Biblia

Bibilia Ina mapungufu Kuna vitabu muandishi wake hajulikani kikiwepo kitabu Cha Yohana

Na ndio kitabu chenye mandiko mengi yanayosema Yesu Mungu

Yani mnaamini Maneno ambayo hata aliyeyandika hamumjui

We may never know for certain who wrote the Gospel of John, any more than we can know who wrote the books of Matthew, Mark and Luke. We do know that John is a gospel apart, however. Early Matthew, Mark and Luke are so alike in their telling that they are called the Synoptic Gospels, meaning “seen together”—the parallels are clear when they are looked at side by side. Matthew and Luke follow the version of events in Mark, which is thought by scholars to be the earliest and most historically accurate Gospel. John, however, does not include the same incidents or chronology found in the other three Gospels, and the fact that it is so different has spurred a debate over whether John’s Gospel is historical or not, something that has been noted in Gospel of John commentary for hundreds—even thousands—of years.

Several hypotheses have attempted to explain why so much of Jesus’ life not portrayed in the Synoptics is present in John and vice versa. One hypothesis claims that John recorded many of the events that occur

Source website ya Cambridge university

Kama wewe unamjua aliyeandika kitabu Cha Yohana mtaje Ili Dunia ikupe zawadi maana Hadi Leo bado anatafutwa
 
Umeshindwa kujibu swali. Unasepa kiaina.

Nawahakikishia hakuna anayejiita Mkristo mwenye jibu ya hilo swali. Waombeni Waislam wawasaidie.
Majibu yapo na yenye uthibitisho kabisa Ila siwezi kujisumbua maana najua ulisha ipita idharau nafasi ya kufanya reasoning na Sasa ni Kama robot lililokuwa programmed Basi hufanya kile kile tu lilichukua programmed nacho na si zaidi.
 
Hapana, pocket money ili ununue nini? Akiba ni ya matendo, ukiwa na imani, upendo, uadilifu, ujazo wa roho mtakatifu, maisha yenye ushuhuda hizo ndio akiba otherwise maskini hawataingia mbinguni. Abraham alimtoa Isaka ila tunaambiwa ndio baba wa imani SIO sababu ya kutoa PESA.

Na wanatheolojia wanasema kwa nia ya sadaka ile ndio Mungu akaona asimzuie mwanaye kufa msalabani sababu aliona moyo wa Abraham kutozuia wake.

So to hell with pesa, matendo ndio hazina
Ahsante sana kwa ufafanuzi mzuri sana!
 
Content kubwa ipo hoja ya mwisho hapo.👈
Namimi nakwambia nimjinga pekeake atakae acha kukazania kuhusu kujaza kikapu cha sadaka👈
Wanasemaga kile kikapu unacho shiliki kukijaza pesa nimfano wakikapu chako mbinguni.
Ila mimi kama mchunguji nakazia kwamba jaza kikapu zakwako utazikuta
mbinguni👈
 
Hiyo Biblia imeandikwa na kuhaririwa Nicea na Mfalme Constantine na genge lake
ALL SCRIPTURES HAVE BEEN WRITTEN BY HUMANS, THERE IS VERILY NO DEVINE SCRIPTURE.

The following are the most prominent companions of the Prophet Muhammad who indubitably wrote the Quran:

Ali ibn Abī Ṭālib (the cousin of the Noble Prophet and his son-in-law)
Ubay ibn Ka‘b
Zayd ibn Thābit.
 
Bikira Mariam ni nani wake?
ni MWANAMKE tu kama wewe

Gal 4:4-5

Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu ALIMTUMA MWANA WE ambaye amezaliwa na MWANAMKE, amezaliwa chini ya sheria, kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisi tupate kupokea hali ya kuwa wana
 
ni MWANAMKE tu kama wewe

Gal 4:4-5

Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu ALIMTUMA MWANA WE ambaye amezaliwa na MWANAMKE, amezaliwa chini ya sheria, kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisi tupate kupokea hali ya kuwa wana
Sikuuliza kama alikuwa mqanamke au mwanamme, nimeuliza bikira Mariam alikuwa nani kwa Yesu?
 
"Kuna vitabu vingine kama Kitabu cha Uzima na Kitabu cha Hukumu."

Mkuu hivi viwili unavyo ? Naweza kuvipata
Hivi vimo ndani ya Sanduku la Agano ambalo limezungukwa na Makerubi kumi na wawili funguo zake zikitunzwa na Gabriel. Kwa ufafanuzi huo uache kuomba visivyowezekana.
 
Ayubu alikuwa kabla ya ibrahim na sio kabla ya adam.
Kuhusu kuongelea mambo kabla ya adamu io job 41
Hata paulo na yohana pia wameongelea mambo kabla ya uumbaji kuanza
Shetani hajawahi kuwa masihi
Masihi haasi, alikuwa malaika wa sifa. Mkuu wa sifa mbele za Mungu.
Huwezi kuchanganya sayansi na neno la Mungu. Hususan kwenye uumbaji.
Wanasayansi mwakani wanaweza kuja na vifaa vingine vikasema binadamu wa kwanza aliishi miaka 9000 iliopota.
Sayansi sio yakini

Hakuna mashetani kuna shetani,mwenye maumbo tofauti tofauti.
Ni mmoja usichanganyikiwe na maumbo yake. Alafu usisome biblia ya kiswahili tu.

Peponi hakupo tenaaa
Yesu alipofuguka alienda kuwatoa watakatifu uko peponi yaani paradise
Na roho zao zikawatokea wapendwa wao duniani kabla ya kupaa kwa Bwana yesu.

Yesu kristo ndie Mungu mkuu,na ndio mwilo wa mungu alionao
Na ndio mwili aliowatokea wale wa kwenye tundu la simba na mahali pengi.
Shetani anamfahamu haswa Yesu,ila hakuamini kama angekuja katika mwili duni kama ule wa kibinadamu.

Hakuna malaika aliewahi kuanguka kabla ya shetanj,wote walioanguka walishawishiwa na mkuu wa ushawishi yaani shetani.
Na ilo la malaika kuanguka na kuwashawishi wana wa Mungu ni wakati adamu mwenyewe alishakuwepo.

Na ujue wana wa Mungu sio malaika.
Na hata sasa malaika waliopptea wanawashawishi wana wa Mungu na kuzaa nao, usifikiri walikuwa aliens.
Malaila walioanguka ni mapepo na yanaishi ndani ya watu hata sasa.

Ntaendelea kukujibu tena
 
Mama na baba wa mamake Yesu wapo kwenye biblia?
Tusiende huko mbona mbali wewe unamjua babu wa babu wa babu wa babu mzaa babu wa babu yake ? Upande wa mama yako au baba yako ? Waweza wataja majina na waliishi wapi kabla ya kuja huyo unayeita mtume mohamed unafahamu kizazi chako.kabla ya mohamed upande wa mama yako na baba yako

Umekalia kumjua mohamed na kizazi chake wewe chako unakijua mwisho wapi? Kutwa kuimba kaswida za mohamed na uzao wake na historia yake kizazi chako chenyewe hukijui kwa undani kuwa kabla ya mohamed kiliishi wapi majina yao waliitwa nani unaishia kukariri majina ya baba zake mohamed na mama zake na nyumba ndogo za baba yake na babu zake

Kichwani zimo wewe?
 
Back
Top Bottom