King Jim
Member
- Aug 12, 2024
- 6
- 16
BIBLE'S CONSPIRACIES 1.
MAMBO USIYOYAJUA KUHUSU BIBLIA ambayo yatakushangaza hata kama umekuwa Mkristo uliyapata kipaimara na kubatizwa.
Namba 6 itakushangaza!
Tafadhari USISOME kama hukupitia Bible School.
Imeandikwa na King Jim
1. Biblia ndio kitabu kilichokamilika zaidi nilichowahi kusoma na hakijakosewa bali unahitaji uelewa sahihi kufafanua kila kifungu ndani ya Biblia, anayesema Biblia inamapungufu ameshindwa kuitafsiri tu mwenyewe.
1. Biblia sio kitabu pekee Kitakatifu katika ulimwengu huu bali moja tu ya vitabu takatifu hasa baada ya waandishi wa Biblia kusaidiwa kuandika na Roho wa Mungu. Kuna vitabu vingine kama Kitabu cha Uzima na Kitabu cha Hukumu.
Biblia imeandikiwa kizazi cha Adam tu.
2. Adamu sio binadamu wa kwanza kuumbwa na Mungu bali Adam ndiye mtu wa kwanza kuumbwa kwa mfano wa Mungu. Sayansi italidhibitisha hili hasa baada ya kugundua mafuvu yaliyoishi miaka millioni iliyopita ilihali Adam alitokea miaka 6000 tu iliyopita.
3. Mtumishi Ayubu aliishi katika kizazi cha kabla ya Adam. Kitabu chote cha Ayubu kimeongelea mambo ya ajabu ambayo kwa sasa hivi hayapo ambayo yalikuwepo kabla ya Adamu na pia hakuna reference ya utawala na tarehe ya uandishi kama ilivyo kwa vitabu vingine. Mfano kutajwa kwa viumbe kamaLeviathan ambao ni kama ma Dinosaurs 🦕 Job 41:1
4. Shetani ndio alikuwa mwokozi kama Yesu wa kipindi cha kabla ya Adamu ila akawadanganya watu badala ya kuwaonesha upendo wa Mungu kama alivyotumwa ndio akapotea mazima mpaka kuwa Ibilisi. Ref John 16:11
5. Shetani hakutaka kumpindua Mungu kama mlivyojifunza Sunday School. Bali shetani alitupwa chini baada ya kuwadanganya watu kuwa yeye ndo wao Mungu. From Isaiah 14: 14 Ukifikiria vizuri utaona shetani sio mpuuzi kiasi hicho na story yao hai-make sense
6. Yesu ni Mungu na hakuwahi fahamika kabla ya kuzaliwa kwake duniani yaani hakuna malaika aliyemfahamu wala kumuona Yesu kabla hajazaliwa na Mariamu hapa duniani isitoshe hata shetani mwenyewe alikuwa hamjui ndio maana akahitaji uthibitisho kumuuliza "kama kweli wewe ni mwana wa Mungu."
7. Paulo alioa ila aliachika na hakuwa Bachelor kama tunavyodhania kwasababu Paul alihudhulia Sanhedrin ambapo huwezi kuhudhuria kama hujaoa.
8. Dunia yetu hii sio uumbaji pekee wa Mungu na wala sisi pekee sio watu wa Mungu. Imagine the whole Galaxy and focusing only on Earth.
9. Hakuna watakatifu mbinguni wanao ombea watakatifu duniani, wote waliokufa baada ya Yesu wapo peponi na wanasubiri ujio wa Yesu tena rejea mfano wa Lazaro na Tajiri.
10. Kuna mashetani yanatisha sana kuliko hata shetani mwenyewe ila yamefungwa minyororo bali shetani ameachwa anazurula huku na kule.
Refer 2 Peter 2:4
11. Kuna malaika wengi sana walioanguka out of the influence ya shetani na case yao haimuhusu Ibilisi na walizaa na binadamu viumbe wa ajabu ndio sababu ya Mungu kuingamiza dunia ya zamani kwa maji. Mwanzo 6 yote
12. Kizazi chetu ni kiovu lakini sio sababu ya sisi kutoona utendaji mkuu wa Mungu tunayemsoma kwa Biblia kama tunavyoelekezwa kwamba sisi hatuna imani kama waliotangulia japo wengi wanamuamini Yesu na hawajawahi muona sembuse walio mkataa Musa aliyetoka kugawanya bahari!
13. Sadaka zetu huenda ndio zikawa Pocket Money zetu mbinguni kwani Biblia imesema tuweke akiba sehemu isiyo haribika, na sote tunajua akiba ni kwa matumizi ya baadae.
MAMBO USIYOYAJUA KUHUSU BIBLIA ambayo yatakushangaza hata kama umekuwa Mkristo uliyapata kipaimara na kubatizwa.
Namba 6 itakushangaza!
Tafadhari USISOME kama hukupitia Bible School.
Imeandikwa na King Jim
1. Biblia ndio kitabu kilichokamilika zaidi nilichowahi kusoma na hakijakosewa bali unahitaji uelewa sahihi kufafanua kila kifungu ndani ya Biblia, anayesema Biblia inamapungufu ameshindwa kuitafsiri tu mwenyewe.
1. Biblia sio kitabu pekee Kitakatifu katika ulimwengu huu bali moja tu ya vitabu takatifu hasa baada ya waandishi wa Biblia kusaidiwa kuandika na Roho wa Mungu. Kuna vitabu vingine kama Kitabu cha Uzima na Kitabu cha Hukumu.
Biblia imeandikiwa kizazi cha Adam tu.
2. Adamu sio binadamu wa kwanza kuumbwa na Mungu bali Adam ndiye mtu wa kwanza kuumbwa kwa mfano wa Mungu. Sayansi italidhibitisha hili hasa baada ya kugundua mafuvu yaliyoishi miaka millioni iliyopita ilihali Adam alitokea miaka 6000 tu iliyopita.
3. Mtumishi Ayubu aliishi katika kizazi cha kabla ya Adam. Kitabu chote cha Ayubu kimeongelea mambo ya ajabu ambayo kwa sasa hivi hayapo ambayo yalikuwepo kabla ya Adamu na pia hakuna reference ya utawala na tarehe ya uandishi kama ilivyo kwa vitabu vingine. Mfano kutajwa kwa viumbe kamaLeviathan ambao ni kama ma Dinosaurs 🦕 Job 41:1
4. Shetani ndio alikuwa mwokozi kama Yesu wa kipindi cha kabla ya Adamu ila akawadanganya watu badala ya kuwaonesha upendo wa Mungu kama alivyotumwa ndio akapotea mazima mpaka kuwa Ibilisi. Ref John 16:11
5. Shetani hakutaka kumpindua Mungu kama mlivyojifunza Sunday School. Bali shetani alitupwa chini baada ya kuwadanganya watu kuwa yeye ndo wao Mungu. From Isaiah 14: 14 Ukifikiria vizuri utaona shetani sio mpuuzi kiasi hicho na story yao hai-make sense
6. Yesu ni Mungu na hakuwahi fahamika kabla ya kuzaliwa kwake duniani yaani hakuna malaika aliyemfahamu wala kumuona Yesu kabla hajazaliwa na Mariamu hapa duniani isitoshe hata shetani mwenyewe alikuwa hamjui ndio maana akahitaji uthibitisho kumuuliza "kama kweli wewe ni mwana wa Mungu."
7. Paulo alioa ila aliachika na hakuwa Bachelor kama tunavyodhania kwasababu Paul alihudhulia Sanhedrin ambapo huwezi kuhudhuria kama hujaoa.
8. Dunia yetu hii sio uumbaji pekee wa Mungu na wala sisi pekee sio watu wa Mungu. Imagine the whole Galaxy and focusing only on Earth.
9. Hakuna watakatifu mbinguni wanao ombea watakatifu duniani, wote waliokufa baada ya Yesu wapo peponi na wanasubiri ujio wa Yesu tena rejea mfano wa Lazaro na Tajiri.
10. Kuna mashetani yanatisha sana kuliko hata shetani mwenyewe ila yamefungwa minyororo bali shetani ameachwa anazurula huku na kule.
Refer 2 Peter 2:4
11. Kuna malaika wengi sana walioanguka out of the influence ya shetani na case yao haimuhusu Ibilisi na walizaa na binadamu viumbe wa ajabu ndio sababu ya Mungu kuingamiza dunia ya zamani kwa maji. Mwanzo 6 yote
12. Kizazi chetu ni kiovu lakini sio sababu ya sisi kutoona utendaji mkuu wa Mungu tunayemsoma kwa Biblia kama tunavyoelekezwa kwamba sisi hatuna imani kama waliotangulia japo wengi wanamuamini Yesu na hawajawahi muona sembuse walio mkataa Musa aliyetoka kugawanya bahari!
13. Sadaka zetu huenda ndio zikawa Pocket Money zetu mbinguni kwani Biblia imesema tuweke akiba sehemu isiyo haribika, na sote tunajua akiba ni kwa matumizi ya baadae.