Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
Ipo Facebook, na kuna mmoja jina limetoka ni maarufu sana umejaa madem wanajiuza wanajifanya wa chuo ni bure unless ukitaka premium package. Lakini sasa hii ninayoongelea hapa mtu analipia kwa kila msg anayotuma.
Mkuu swali lake lilikuwa hili "Kwani kuna mtandao mtu anachat free of charge!??" ndiyo maana nikamjibu vileMkuu, hii feature ya Online dating ya Fb ipogo wapi au inakuwaje kuwaje ?? Nataka nijionee huenda nikamkuta Mama watoto wangu huko [emoji23][emoji23][emoji23] (Kidding )
Tusaidiane kushangaa, mzee mwenzangu.Dada mtanzania katumia million 15 Ku chat??
Chief mimi napenda sana kufanya freelencing kama part time job ila sijui pakuanzia.Mkuu swali lake lilikuwa hili "Kwani kuna mtandao mtu anachat free of charge!??" ndiyo maana nikamjibu vile
Mkuu kuna threads nyingi za Citizen B anaongelea njia mbalimbali za freelancing unaweza kuzipata kule jukwaa la Biashara.Chief mimi napenda sana kufanya freelencing kama part time job ila sijui pakuanzia.
Unaweza kunipa abc za nini nifanye kuanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwakweli .
No differenceAtleast online games hata nikijua nacheza na system sina noma sasa mtu anachat na mtu akijua labda kuna mahusiano yatatokea kumbe jamaa yuko kazini 😂 😂 😂
Mkuu huu ugonjwa wa wanawake kuolewa na wazungu wanao wengi sana. Wengine hawasemi live ila wanao na uliletwa na kizazi cha akina Mange
Mkuu si game tu unashindana tu sidhani kama mtu anaweza care kama anashindana na mtu au anashindana na machine. Assume unacheza basket na machine, utamaindi kama ni machine au mtu? Maana no feelings baada ya kumaliza game imepita hiyo.No difference
Sidhani kama umenielewa. Can you access FB bila bando, bila internet?Ipo Facebook, na kuna mmoja jina limetoka ni maarufu sana umejaa madem wanajiuza wanajifanya wa chuo ni bure unless ukitaka premium package. Lakini sasa hii ninayoongelea hapa mtu analipia kwa kila msg anayotuma.
Mkuu swali lake lilikuwa hili "Kwani kuna mtandao mtu anachat free of charge!??" ndiyo maana nikamjibu vile
AiseeLakini inatokeaje unakosa mwanaume wa kuwa naye kwa hizi platforms za kikwetu kama JF na Insta na mengineyo hadi uanze kulipia duuh ??
Daah maajabu haishi kila kukicha. Mie mwanzo nilikuwa addicted na live webcams ambazo wanakuwa wanakuchatisha mwanzo alfu kuna kuwa live webcam sex video chats daah baadae wanakuambia ujiunge uanze kulipia na hapo ndio ulikuwa mwisho wa mimi kuwa pale nahamia kwingine. Daaah ugeni wa internet ulinitesa bila kujua aseee. Hapo ilikuwa first year nimetoka Jeshi, nikitumia wifi ya hostel [emoji23][emoji23][emoji23] na baada ya msuli wa usiku na panda na laptop yangu kitandani juu.
Daaah magonjwa ya akili yapo mengine sio lazima uokote makopo au uonekane violent with no reason.
Mkuu basi tuseme hakuna kitu kisicholipiwa kama ndiyo mtazamo wako wa mambo. Kumbuka anayekula hiyo pesa ya bundle ni network supplier wako FB hali chochote kutoka kwenye hilo bundle ulilolipia. Hapa mimi ninazungumzia mtu kulipia direct kutumia huduma ya kuchat.Aidha ni kama umenielewa. Can you access FB bila bando, bila internet?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilishawablock baadhi ya marafiki,ohhh nitafutie mume wa kizungu pumbafuuuu,si uende wanakoishi.
Mkuu mimi kusema kweli mambo ya kuchat FB siyajui muda sana nilishaacha, mimi kilichonifanya nibaki fb ni facebook advertsSawa lakini kuna kipindi fulani hivi, Fb walileta hiyo update ila mie kwenye app yangu sionagi au inakuwwa inapatikana kwa baadhi maeneo tu hasa ya wenye ukwasi
Inategemea na mtu; pia Inategemea na mtazamo. Mtu mwingine anaweza kuona vyema akabadilishana mawazo na mtu mwingine, na siyo kuspend tym na lifeless programs. Pili, kimtazamo, hizo games ni preprogrammed applications ambazo kimsingi ni inventions za akili ya mwanadamu, mawazo ya mwanadamu. In short, ni mwendo wa kizunguka duara ama kukwepa mvua na kukimbilia baharini. Utasema maji ya bahari yana joto lakini mvua huwa na dhoruba, fine. Nimekuelewa!!! I think kote kuwili hakufai kabisa.Mkuu si game tu unashindana tu sidhani kama mtu anaweza care kama anashindana na mtu au anashindana na machine. Assume unacheza basket na machine, utamaindi kama ni machine au mtu? Maana no feelings baada ya kumaliza game imepita hiyo.
Kama unataka kubadilishana mawazo si unakuja kwenye forums kama Quora, na kadhalika hata jf. Ukiamua kucheza games basi umefuata entertainment. Umeamua kuingia kwenye virtual world uondokane na uhalisia. Whether unacheza na programmed system au hapana haina maana sana.Inategemea na mtu; pia Inategemea na mtazamo. Mtu mwingine anaweza kuona vyema akabadilishana mawazo na mtu mwingine, na siyo kuspend tym na lifeless programs. Pili, kimtazamo, hizo games ni preprogrammed applications ambazo kimsingi ni inventions za akili ya mwanadamu, mawazo ya mwanadamu. In short, ni mwendo wa kizunguka duara ama kukwepa mvua na kukimbilia baharini.
Mkuu mimi kusema kweli mambo ya kuchat FB siyajui muda sana nilishaacha, mimi kilichonifanya nibaki fb ni facebook adverts
Unachukua your best skills and other skills that you can learn then unaziuza kwenye platforms ambazo zina client ambao wana demand ya hizo skills. Inabidi uwe reliable, uwe mwaminifu maana mtu anaweza kukutumia pesa yuko Ulaya uko Tanzania na hakujui, usije ingia nayo mitini kisa hana jinsi ya kukupata. Pia uwe efficient katika kazi uliyopatana na mtu.Ahaaa.! Basi sawa mkuu. Hivi inakuwaje kuwaje kuwa freelancer mkuu.