Mambo ya ajabu yamelighubika taifa letu. Umeme unakatika ovyo huku Waziri mwenye dhamana anadai kuna Megawatts 14000 za ziada

Mambo ya ajabu yamelighubika taifa letu. Umeme unakatika ovyo huku Waziri mwenye dhamana anadai kuna Megawatts 14000 za ziada

Hiyo ya Lowassa kuwa aliongeza kura kila siku huwa napinga hapa maana ni uongo, aidha wa viongozi wa CDM kuficha kosa lao la kumpokea Lowassa. Ama ni upotoshaji wa wanaccm kutaka kuhadaa umma kuwa Cdm haikuwa na nguvu, bali ilitegemea nguvu ya Lowassa. Huwa ninawauliza wanaosema Lowassa alileta kura 6m+ na viti vingi vya ubunge na udiwani akiwa na miezi miwili, je alileta viti vingapi vya ubunge na udiwani akiwa na miaka miwili? Huwa nikifika hapo wote wanakaa kimya.

Narudia tena watu ni waoga hilo wala halina mjadala. Vitisho huwa tunaviona na sio jambo la siri. Watu kujaa kwenye mikutano ya CCM sio kwenda kusikiliza sera, bali wengi hufuata burudani, na shamrashamra zinazokuwepo kwenye mikutano ya CCM. Kama watu sio waoga, tusingeona wafanyakazi kutopandishiwa mishahara zaidi ya miaka 5, na kuishia kulalamika. Au huu mgao wa umeme na maji na watu wakawa wanalalamika tu. Labda kama una tafsiri tofauti ya uoga.

Hiyo watu kuwa waliogopa vitisho vya vyombo vya dola wala halina mjadala, labda kama utakwazika huu kuwa ndio ukweli. Tunakumbuka vitisho na magari ya vyombo vya usalama yalivyozunguka baada ya Mange kimambi na Tundu Lisu kutangaza maandamano. Labda kama tusingeona vyombo vya dola kisha watu wasiandamane ungekuwa na hoja.
Hao watu unaosema waoga hivi walionesha kweli dalili za kukusudia kutaka kuandamana? Wakati polisi wanatoa mikwara humu mitandaoni watu wanasema lazima kieleweki wanaonesha hawaogopi chochote ila huko mtaani hakukuwa na dalili za watu kutaka kuandamana na ndio maana siku ya tukio watu waliamka na wakiendelea na shughuli zao huku mitandaoni(mliojifanya hamuogopi vitisho vya polisi) ndio mlikuwa mnasikilizia muone hayo maandamano wengi mkiwa nje ya nchi na wengine sio wale wa kuingia road. Hivi kweli utasema hapo tatizo ni uoga?

Nchi hii haina upinzani serious na ina wananchi wajinga, hata hao wanaoshabikia hiyo cdm wala hata sio sera ndio walizovutiwa nazo ni muendelezo wa ujinga tu ndio maana Mbowe anafanya huo ujinga na bado watu huwaambii kitu wao wanaona Mbowe kuendelea kuwepo pale ni kuwakomoa ccm.
 
Hao watu unaosema waoga hivi walionesha kweli dalili za kukusudia kutaka kuandamana? Wakati polisi wanatoa mikwara humu mitandaoni watu wanasema lazima kieleweki wanaonesha hawaogopi chochote ila huko mtaani hakukuwa na dalili za watu kutaka kuandamana na ndio maana siku ya tukio watu waliamka na wakiendelea na shughuli zao huku mitandaoni(mliojifanya hamuogopi vitisho vya polisi) ndio mlikuwa mnasikilizia muone hayo maandamano wengi mkiwa nje ya nchi na wengine sio wale wa kuingia road. Hivi kweli utasema hapo tatizo ni uoga?

Nchi hii haina upinzani serious na ina wananchi wajinga, hata hao wanaoshabikia hiyo cdm wala hata sio sera ndio walizovutiwa nazo ni muendelezo wa ujinga tu ndio maana Mbowe anafanya huo ujinga na bado watu huwaambii kitu wao wanaona Mbowe kuendelea kuwepo pale ni kuwakomoa ccm.

Kwa taarifa yako mabadiliko sio lazima yaletwe na wasomi, au watu waelewa sana, bali ni jambo automatic toka kizazi kimoja hadi kingine. Unadhani hatukuona dhamira ya watu kuandamana, au kwakuwa wewe ulikuwa mitandaoni unasubiri kuona watu wakiandamana, na hukuona basi ni dalili kuwa watu hawakuwa tayari?

Kama watu sio waoga, mbona wafanyakazi hawajapandishiwa mishahara na wala hujaona migomo? Mbona huduma ya umeme inasumbua na watu wanashindwa kuzalisha, na huoni mtu akijigusa huko mtaani zaidi ya malalamiko huku mitandaoni?

Ukiona watu kama akina Mbowe wanafanya hayo na bado wanaungwa mkono, ujue watu wameichoka ccm, ila uoga ndio kikwazo.
 
Kwa taarifa yako mabadiliko sio lazima yaletwe na wasomi, au watu waelewa sana, bali ni jambo automatic toka kizazi kimoja hadi kingine. Unadhani hatukuona dhamira ya watu kuandamana, au kwakuwa wewe ulikuwa mitandaoni unasubiri kuona watu wakiandamana, na hukuona basi ni dalili kuwa watu hawakuwa tayari?

Kama watu sio waoga, mbona wafanyakazi hawajapandishiwa mishahara na wala hujaona migomo? Mbona huduma ya umeme inasumbua na watu wanashindwa kuzalisha, na huoni mtu akijigusa huko mtaani zaidi ya malalamiko huku mitandaoni?

Ukiona watu kama akina Mbowe wanafanya hayo na bado wanaungwa mkono, ujue watu wameichoka ccm, ila uoga ndio kikwazo.
Ni dhamira ipi ambayo watu walionesha ya kutaka kuandamana huko mtaani? Kwa sababu huku mitandaoni nakubali kweli dhamira mliionesha na kwenda mbali zaidi hamkuogopa hata mikwara ya polisi ila huku mitaani kwenye uhalisia hali haikuwa kama ilivyokuwa ya mitandaoni, sasa ajabu mnakuja na kisingizio cha uoga sijui mikwara ya polisi sijui magari yamefanyaje. Mimi naamini kabisa dhamira iliyokuwepo mitandaoni ndio ingekuwepo na huku mitaani basi pengine tungekuwa tumebadili historia damu ingemwagika.

Ujinga wa watanzania ni mtaji kwa vyama vya siasa ccm na cdm.
 
Back
Top Bottom