Mambo ya hovyo, na ya kusikitisha yanayotokea kwenye Teens Party

Zim ndo wapi?zimbabwe?
JID ndo nn?
hizi terminology za kishua sizipati.


Hiyo candy ukiiweka inamelt??kama zile pipi kifua au lolipop zinafanya kaz?


Hii ishu mi nljua kibongo bongo haiwezekan nlhisi hamna hizo dawa zenye codeine....ntazitafuta
 
Zim ndo wapi?zimbabwe?
JID ndo nn?
hizi terminology za kishua sizipati.


Hiyo candy ukiiweka inamelt??kama zile pipi kifua au lolipop zinafanya kaz?


Hii ishu mi nljua kibongo bongo haiwezekan nlhisi hamna hizo dawa zenye codeine....ntazitafuta

yaaah ni candies au wanaitaga jollies kama sikosei....

Zim ni Zimbabwe alafu hiyo JD ni Jack Daniels mzee sio za kishua za mtaani tu mkuu
 
Zim ndo wapi?zimbabwe?
JID ndo nn?
hizi terminology za kishua sizipati.


Hiyo candy ukiiweka inamelt??kama zile pipi kifua au lolipop zinafanya kaz?


Hii ishu mi nljua kibongo bongo haiwezekan nlhisi hamna hizo dawa zenye codeine....ntazitafuta

Kama dawa inafika zimbabwe itashindwa kufika hapa ? zipo mkuu kwenye mafarmacy huko
 
kumbe wewe ni ke
Mimi ni dume sema nimeeleza vibaya. Demu alikuwa msagaji mimi nikaruka nae kwa story hizi za experience za kunyanduana. Alipokuwa curious kujua yaliyomo nikadate nae na alikuwa kasi sana haniachii muda. Njia ya kukutana ni yeye kujifanya mgonjwa akaenda hospitali kisha tunameet ukouko maana mimi shule nilikuwa mzururaji sana.

Sasa akifunga kwa zile pigo za watoto wa kishua anajifanya kustay kwao na rafiki yake wa kike, akisema kwa boyfriend si watamgomea. Hapo sasa ndio nakaa nae lodge ila kwa vile shule ilipoisha nikawa na mambo kibao kidogokidogo akarudia usagaji na nilivojua yuko hivo aliniaibisha nikamtoa rohoni kabisa. Yani ile unakutana na schoolmates zake wanakushangaa.
 
Ni mtihani kwa kweli... Ila kwa Tanzania hayo mambo bado, nchi za ulaya sawa...




Cc: mahondaw
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chukua hatua kabla hawajakuwa mateja.
 
Buhhhhhhhhhhh

Hii ya Trampo kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…