Mambo ya JF na zama zake

A room for you two uduguuu kwakweli mmalizane tu usituletee mambo ya Mahondaw tukapata la kuongoea mjue! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£!
Yani siwaletei hata moja nimefundwa mie
Mume anahitaji malezi sio mambo ya kipuuzi!!
Wao watasugua gaga sana mbinu zao hazitofanya kazi.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nitamuacha Kantry siku nikikuta anamla shoga ila hawa yutiai sugu tutachoma powercef πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nimejiunga JF nikiwa Form four 2017

Time flies

JF nimejiunga baada ya kuvutiwa na nyuzi za Mshana Jr.
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Dada mume simuachi kwanza sijamfumania ni tetesi 🀣🀣🀣🀣
Hapa naangalia Kama sutra moja hivi nimkoleze mume πŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈ
Wakinga hatuachiki kizembe ni majeuri sana
 
Hebu nikaendelee kufukiza vizuree dawa ikuingie haswaaa Haya ndo maneno sasa πŸ€“!
 
Kamasutra umenikumbusha KLM lolπŸ˜‚!
 
Sitaki kumpa kiki uduguuu mwenyewe ndio nimemuona leo tangu mchana kanikomalia balaa!
Jf kuna muda unabaki unacheka tu!!
Afu ukute mtu mzima kaamua kujitoa ufahamu kusumbua watu 🀣🀣🀣🀣
Humu ilitakiwa ukiwa na id moja ubaki nayo hio hio ujinga ungepungua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…