Mambo ya JF na zama zake

Never bro never
 
Haukua na uzuri wowote, kulikua na unafki na kuogopana tu.

Machoko kweli walikuwepo, mmoja wao ni mwachuluwi confirmed 100%, nilikua nasubiri ajichanganye tu nimlipue
We kantri huyo Lenie na Mwachiluwi ni pete na kidole wanapendana kinoma sasa hapo unapomwambia hivyo hawezi kukuelewa bro.

Au hujui crew yake?. Utaja chekwa
 
Kabla ya Faiza alikuwepo dada mmoja akiitwa WOS (Woman of substance). Yuko wapi?
 
Umeongea kama wewe ndio mmiliki WA Jamii Forum..au kama Una genge lako ambalo mkipost nyuzi hamtaki tusiwakosoe,ninyi ndio mnajifanya wajuaji...mnajiita akili kubwa

#Aibukwenu#

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app

Kama unaona ni sawa kwa mijadala inayohitaji akili kubwa kujadiliwa kwa uchama na ushabiki ni sawa pia. Ila mimi kwangu ni turn off

Kuna kipindi, jf ilikuwa ya moto, watu wanashusha nondo hadi unaona aibu kucomment kwa sababu huna cha kuchangia. Hiyo ndiyo ilikuwa Jf, home of great thinkers

Ila kwa sasa

"Mpumbavu wewe, huna akili, mama anaupiga mwingi, wewe chadomo au mboga mboga, huna unalolijua" Hadi wanaojua wanasusia mijadala

Sasa huo ni ukosoaji au upuuzi, kama wewe unaona sawa ni wewe Ila kwa wengine tunaopenda kujifunza hatuoni kama ni haki
 
Hakuna shaka juu ya hilo. Na hiyo qty haikuishia kwa members tu, imekwenda mpaka kwa moderators.

Kuna moderators wa ovyo kabisa JF kwa sasa.
JF ya sasa kama imenunuliwa na kikundi furani cha watu ambao hawataki kabisa habari zao zikaja humu kwa njia ya kuibua mijadala moderators wako busy kuhariri nyuzi za watu kwa kuzipa lugha nyepesi tamu yakuvutia wawekezaji wao wapo busy kuficha thread imekuwa ya hovyo hovyo

Leo JF uwezi ibua mjadala, mwananzego ukiona mjadala umetoka JF leo basi ni wao kwa wao viongozi wameamua chomeana si mwananzego
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…