Mambo ya JF na zama zake

Mambo ya JF na zama zake

Huwa nawashangaa wakongwe wenzangu huwa tunapenda kusema jf ya sasa sio kama ya zamani

Ni hivi sisi tukomae na mada zetu zilizo na content tunazopenda kwani siku hizi tumekatwa vidole hatuwezi kuandika na kuchangia nyuzi za aina hiyo?

Na hawa madogo wa generation z waendelee na mada zao, la sivyo ni kama tunatafuta attention tuonekane sisi ni wakongwe hapa jf

Au tukubaliane na maneno ya mkongwe aliyesema kama vipi tubadilike twende sawa na upepo wa madogo

Kwenye mitandao hakuna mtu ana mamlaka ya kumpangia mwenzake nini acomment au uzi gani aandike

Simple like that
mkuu mzee.....

Mbona lengo la uzi huu sio hayo uliyotanabaisha, ukisoma vizuri kuanzia mwanzo ilikuwa mimi (OP) kueleza kwanini nilitokea kuipenda jf wakati naanza kuijua kwa mara ya kwanza na matukio niliyoyakuta yakitrend, Au nalo hilo ni kosa?
 
mkuu mzee.....

Mbona lengo la uzi huu sio hayo uliyotanabaisha, ukisoma vizuri kuanzia mwanzo ilikuwa mimi (OP) kueleza kwanini nilitokea kuipenda jf wakati naanza kuijua kwa mara ya kwanza na matukio niliyoyakuta yakitrend, Au nalo hilo ni kosa?
Kuna comments za baadhi ya wakongwe

Wewe uzi umeuandika vizuri sana haukuwa na zile swagga za wakongwe
 
Kuna comments za baadhi ya wakongwe

Wewe uzi umeuandika vizuri sana haukuwa na zile swagga za wakongwe
Haha sasa nimekuelewa vizuri mkuu, unajua kuna ofisi moja nilipita nikakutana na kihoja, mvutano wa wafanyakazi wa ofisi ile ambao ulibase hasa kwenye rika gen z vs millenials, hapo ndio zikaja zile hoja za "nyakati hizi", "vijana wa siku hizi" n.K.

Ni wazi kwenye mchanganyiko wa jamii kama hii ya jf ni vema kujua namna ya kuinteract regardless, ukitaka kuishi au kucompare mambo ya miaka kumi iliyopita na sasa basi hii mitandao itakushinda ni vema kujua kujichanganya au kutafuta niche yako inayokufaa.
 
Sema bi faiza kaongea point muhimu inategemea wahusika so far lengo lao ni nini it seems kwa sasa wapo kwaajili ya kupata quantity, namba ya wachangiaji na jf kuwafikia watu wengi zaidi kuliko quality ya maudhui, na ndio tunarudi pale pale kwenye point yako kuwa ile dhana ya jf kuwa kama other social medias like fb, ig wakati hili sio lengo mama ambalo jf imeanzishwa.
Mkuu naelewa hili hitaji la numbers ni muhimu sana Ila pamoja na yote, bado jf ni forum kubwa ukanda wa Afrika Mashariki na hata kwa Africa sidhani kama itakosa top 10 or 5

Kwa hiyo hatupo vibaya sana na kama watataka kuifikisha kwa audience kubwa zaidi. Nadhani ingefikiriwa namna ya kutambua na kuipata hiyo "right audience" Kwa sababu hawa wanaoharibu ni wengi lakini wanapunguza overall quality ya forum.

Kwa hiyo sidhani kama ni sawa sana kuharibu brand yako ili uwafurahishe watu wenye mchango mdogo kwa hadhi yako
 
Haha sasa nimekuelewa vizuri mkuu, unajua kuna ofisi moja nilipita nikakutana na kihoja, mvutano wa wafanyakazi wa ofisi ile ambao ulibase hasa kwenye rika gen z vs millenials, hapo ndio zikaja zile hoja za "nyakati hizi", "vijana wa siku hizi" n.K.

Ni wazi kwenye mchanganyiko wa jamii kama hii ya jf ni vema kujua namna ya kuinteract regardless, ukitaka kuishi au kucompare mambo ya miaka kumi iliyopita na sasa basi hii mitandao itakushinda ni vema kujua kujichanganya au kutafuta niche yako inayokufaa.
NAKAZIA
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na ukajua nyeusi na nyeupe
Antonnia hataki hata kuisikia selfika sijui ilimfanya nini udugu wangu
Unajua mm jf nilikua najua ni jukwaa la siasa tu[emoji23]

Ghafla naona post za sijui selfie, mara sijui chit chats.
Hata hayo mahusiano ya antonnia nilikua siyajui kabisa, nimekuja kuona jina lake huko
 
Back
Top Bottom