Mambo ya JF na zama zake

Mambo ya JF na zama zake

Jf nimeifuatilia zaidi kuanzia mwaka 2009 nikiwa pale udsm,,, madini ya hapa yalinifanya nikienda level square NAFOKA FOKA na pia nikienda Itv malumbano ya hoja NATEMA NYONGO SANA
 
Mwambie akimchukua darlin ameisha maana atachapiwa mpaka na bodaboda wa genegeni [emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana kama binti mwenyewe kaanza kukalia mikuyenge toka form 1 saivi utakuta ana hali gani.?.

Na alivyokonda sasa kama kiberiti cha bakhresa na hapo anaishi kwa wazazi akienda kujitafuta si atakuwa mfupa kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]

Mzee Countrywide komaa na Lamomy utaja nishukuru baadae.

Asije akaleta threads za kulialia hapa baadae.

Cute wife ampige chini DC akapambane na cheap bitc*hes wake……… Na ili nitasimamia mimi kwa kumpa info zote za DC za PM zake

Cute Wife nipm
 
Cute wife ampige chini DC akapambane na cheap bitc*hes wake……… Na ili nitasimamia mimi kwa kumpa info zote za DC za PM zake

Cute Wife nipm
Oyaa weeeh! oyaaa weeee! oyaaa weeee!

Kivumbi leo Lamomy unaitwa huku uone ufumanuzi.

Mje wanangu kabla weekend haijaisha 🤣🤣🤣🤣.

Sema dc mzinguaji sana ni kama msimamo hana sijui 🤣🤣🤣
 
Oyaa weeeh! oyaaa weeee! oyaaa weeee!

Kivumbi leo Lamomy unaitwa huku uone ufumanuzi.

Mje wanangu kabla weekend haijaisha 🤣🤣🤣🤣.

Sema dc mzinguaji sana ni kama msimamo hana sijui
Nimeshindwa had kukazia 😔😔😔
Emu subiri Fifi anishukie na mafile yake
Ndugu zangu njooni mnipepee nakosa hewa Antonnia na cocastic 😂😂😂😂
 
Wifi nipepeee nakufa mwenzio!!
Namuona malaika mtoa roho ananifata 😂😂😂😂
Niagie kaka angu, mwambie alipize atie kiberiti wachaga woteeee!!! 🤣🤣🤣
😀😀😀Nimecheka Hadi nimepaliwa 😂😂
Kaka ako atachanganyikiwa Hebu subir x mass ipite kwanza Wii😀😀
 
Back
Top Bottom