Mambo ya kuepuka kama wewe ni dereva wa Automatic Transmission Car

Hauwezi kutoka D kwenda L moja kwa moja bila ya kupitia D2! Ukilazimisha D kwenda L moja kwa moja itaenda kwenye Neutral maana ujumbe utakaotumwa kwenye Control Box utakuwa ni Syntax "Error" kama ifanyavyo ukihama from D to R!
So the best option ni kutopanick, shift from D to D2 then baada ya sekunde kadhaa/chache peleka kwenye L.
 
Namaanisha gari likiwa linatumika kwenye spidi kali..yaani kubadili gia chapchap..kama hivo D UENDE R HAPO KWA PAPO
Unajua kuwa kutoka D kwenda R kuna N? Kwanini imewekwa hapo? Ukiisukuma kwa bahati mbaya gear lever itahama kutoka D kwenda N. Kutoka N kwenda R haiingii hadi gari isimame ukanyage brake pedal.

Mtu akitoka D then N then R ameamua kwa makusudi kuharibu gari na huyo mtu hamna mafunzo yatakayomsaidia.
 
Sasa mkuu kwenye automatic ukiwa uko kwenye D halafu unaraka urudi nyuma si utasimama kwanza ndio upeleke Gear Lever kwenye R?? au ni automatic ipi wewe unayodhani
Tena kuna N katikati ya D na R.
 

Sasa mkuu mbona mnanichanganya wewe na G.25 yeye amesema ukishift kutoka R kwenda D gari likiwa kwenye motion haina shida linakubali bila hata ya kusimama!!... Which is which?? Ni mimi sijamuelewa au nimeQuote vibaya...mkuu G.25 karibu
 
Yeah lakini mpaka usimame kwanza au hata ukiwa kwenye mwendo wa taratibu??
Kinachoshauriwa ni usimame kabisa ndio uhamishe from D to R lakini wengi huwa wanahamisha kabla gari haijasimama kabisa.
 
Sasa mkuu mbona mnanichanganya wewe na G.25 yeye amesema ukishift kutoka R kwenda D gari likiwa kwenye motion haina shida linakubali bila hata ya kusimama!!... Which is which?? Ni mimi sijamuelewa au nimeQuote vibaya...mkuu G.25 karibu
Kuna zile unageuza faster faster unajikuta gari kabla haijasimama kabisa ushaweka N then unatupia R hata gari utaisikia inasimamishwa na gear. Lakini sio uko 30kph eti unaweka R from D its impossible unless umeamua kuharibu gari.
 
Kuna zile unageuza faster faster unajikuta gari kabla haijasimama kabisa ushaweka N then unatupia R hata gari utaisikia inasimamishwa na gear. Lakini sio uko 30kph eti unaweka R from D its impossible unless umeamua kuharibu gari.
Sawa mkuu nimekuelewa hapo sasa
 
kuna hydrolic zinauzwa lts 4 za toyota genuene zinauzwa laki na 20 nimeambiwa ukiweka hiyo bas hufanyi seevise hadi km elf 50 hadi elf 60 je ni sahihi hilo na oil qurtz elf 5000 ni km 5000 je nanyenyewe sawa maana mimi nafanya kila mwezi nafilisha km 3500 au zaid kidogo haifiki elf 4
 

Ngoja wataalam waje aisee..
 
Lakini niliwahi kusikia kuwa hizo hydraulic OG ndio nzuri kwa gari...hizi fake sio nzuri....Anyways siwezi sema mengi coz sijathibitisha kiundani zaidi...
 
Nadhani mleta uzi haja-practice kile alicholeta, nakumbuka nilikuwa najifunza gari kwa kugongea sehemu sasa nilivyojuajua kwenye kuingiza gia namba 4 nilikuwa naingiza huku naogopa kwamba isije ikaenda reverse (si unajua tena ukiwa lena gia namba mbili unaweza ukaingiza 5). Sasa ndo nikaambiwa haiwezekani gari kuingia reverse wakati inakwenda na kweli nikatest na confidence ikaongezeka na hata automatic haiwezekani kuingia reverse
 
Hiyo no 2 embu nieleweshe vizuri. Nnavyoelewa mm hizi L,2,1 ziliwekwa pia kama sehemu ya engine braking. Mathalani ukiwa kwenye mteremko mkali na gari ikawa na mzigo basi hizi gia zinasaidiana na breki za kawaida kuhakikisha dereva anaimudu gari.. Otherwise kwann ziliwekwa? Nieleweshe mkuu
 
Ni kweli mkuu...gari sijaendesha sana..nipo katika hatua za mwanzo mwanzo..kwa hiyo siyo kila kitu najua.....Ushanifahamu
 
by the way gari za kisasa likiwa linatembea kwenda mbele mara kwa bahat mbaya ukataka weka R huwa haikubali had lisimame hivo linakusaidia kutoharibu vitu
Apa alichomaanisha kwamba magari ya automatic transmission yanakuwa na
P, R, N, D, D2, L
Sasa kwa uendeshaji wetu unakuta mtu kapiga moto [emoji469] mwingi na Gari imetembea au ipo katika mteremko anachofanya anaweka Neutral (N) ili kufanya Gari iserereke bila kufyonza mafuta.
Na udereva huuu wanafanya sana watu wa daladala wanaoendesha automatic transmission
 
Yeah ni kweli usemavyo L 2 & 1 huwa zinakuwa kama Engine braking..Hizo ni low gears ambazo hutumika kupandia milima na miteremko mifupi (isio mikali sana)
 
manual rivas inaingia vizuri tu
 
manual rivas inaingia vizuri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…