Mambo ya kufahamu kuhusu past ya mwanamke na future ya mwanaume

Mambo ya kufahamu kuhusu past ya mwanamke na future ya mwanaume

darhood

Senior Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
116
Reaction score
192
Kabla haujasoma, kama unajijua una Low IQ, pita tu kaendelee kuangalia picha za ngono, maana hii inahitaji watu wenye high IQ pekee kuona na kuelewa ninachozungumza.
Maana najua comment yako utayoiachia na utapoteza muda kwa watu wanaotaka real conversation to happen.


Now.


Jambo kubwa linalosumbua jamii zetu siku hizi ni "Mahusiano".
Mapenzi ni nini? Mapenzi ni kitu gani? Kila nyimbo, kila hadithi, kila sinema, kila tamthilia…

Sasa, nitakuwa mnafiki kama nikisema hili ni swala la black and white. Baadhi ya hali ni ngumu sana, na mimi nitakuwa wa kwanza kukubaliana na hilo. Lakini naamini kwa wengi waliobaki, ni swala linaloanzia kwenye mzizi uliooza. Leo, nitafocus kwenye past ya wanawake na future ya wanaume.

Hebu nisikilize…

Binafsi, naamini kuwa mwanaume anayemtaka mwenza wake leo hii, kuangalia past ya mwanamke wake ni muhimu sana. Kuna mengine pia, lakini hii ni muhimu mnoo. Kwa wengi msiojua, past ya mwanamke inakuja na trauma. Mara nyingi, kama mwanamke alikuwa malaya (yaani amepitiwa na wanaume zaidi ya wawili na kuendelea), na wewe ukaja kumfanya kuwa mwenza wako, kuna chance ya asilimia 90 huyu mwanamke atakuletea shida baadaye. Kama sio kwa usaliti, basi kwa tabia, na kama sio tabia basi kwa mindset, kwa sababu mara nyingi huwa wanaumizwa na wanajenga "Perception" fulani kuhusu wanaume kichwani mwao, ambayo inakuwa trauma inayodumu. Tena, sio wote, lakini wengi wao. Ndio maana kuna msemo usemao "Once a rebel, always a rebel."

Anyway, sasa unaweza kuuliza, inakuaje kwa wanaume?
Bahati nzuri, katika jamii zetu, hakuna mwanamke mwenye akili timamu atakayechunguza past ya mwanaume wake kutoka kwa mtazamo wa uhusiano. Hili ni jambo lilio kuwepo tangu enzi, kwa maisha yetu hata kwa wanyama kuna hierarchy. Angalia tu kwa mfano, kwa kuku, jogoo mbabe ndiye atazunguka na kutetea wote. Kwa binadamu, mwanamke atatafuta bora, atakaemuona anafaa, mwenye malengo yatakayomridhisha. Na ikiwa haeleweki, mara nyingi atapigwa chini na kwenda kwa mwingine. Hii ni asili ya mambo. Wanawake wanahitaji mtu atakayewalinda wao na kizazi chao kwa upande wa kifedha, kijamii, na kadhalika.

Hivyo basi,
Mwisho wa siku, mwanamke akiingia kwenye mahusiano na mwanaume ambaye malengo yake hayapo wazi, ni kosa lake. Hana wa kumlaumu.
Vilevile, mwanaume akiingia kwenye mahusiano na mwanamke ambaye tayari amepitiwa na kuchezewa hovyo, makosa ni yake kwa kukurupuka.


KUMBUKA MWANAMKE ALIE LALWA NA WANAUME ANAWEZA KUBAKI NA DNA ZA WANAUME WA NYUMA BAADAE IKACHANGIA KWENYE MTOTO WAKO,. SIKU UNAJIULIZA OH MBONA KWEFU HAKUNA WEZI WALA KWA MKE WANGU KUMBE MKEO ALIWAHI PITA NA MWIZI NYUMA. NDIO MAANA BABU ZETU WALITUSHAURI SANA TUOE BIKRA LAKINI SIKUIZ ADIMU SO WAWILI AU MMOJA SI HABA ILA KAMA UTABAHATIKA BIKRA BASI VIZURI


SOMA HII....
20241113_225226.jpg
 
Tufanyeni mambo mengine Wakuu Mapenzi yawe ziada tu
Yet unaesema mapenz ya ziada asilimia 80 ya simu yako imejaa ngono, of course i could be wrong, but pattern inaonyesha watu wa namna yako kwa kiadi kikubwa hyo ndiyo life style yenu.

Kumbuka nimeomba u comment kama una High IQ pekee. Ili kuepusha oage kujaa comment zisizo na faida
 
Kama unafikiri pesa pekee ndio inajenga jamii na kuinua civilization basi we endelea kutafuta, mtu mwenye Low IQ (probably iq yako ni 67) sio rahisi kuelewa picha kwa upana, una staili kurusishwa kwenye utumwa ukatumikie ndio kazi pekee unayoweza pamoja na kuangalia picha za ngono. Huna faida kwenye jamii na hasara kwa wazazi wako.
Relax,umekula kwanza?
 
Una umri gani? Labda tuanze na hapo, kama una 30+ inaweza ikaonekana hii sio shida lakini zunguka kwa vijana on mid 20s hili ni tatizo kubwa sana kwao.
Mimi nilimshitua alikuwa amekosea mwanzo hapo kwa kuandika neno lisilofaa badala ya neno jambo sasa wewe ondoa ja ndiyo aliandika hivyo
 
Kabla haujasoma, kama unajijua una Low IQ, pita tu kaendelee kuangalia picha za ngono, maana hii inahitaji watu wenye high IQ pekee kuona na kuelewa ninachozungumza.
Maana najua comment yako utayoiachia na utapoteza muda kwa watu wanaotaka real conversation to happen.


Now.


Jambo kubwa linalosumbua jamii zetu siku hizi ni "Mahusiano".
Mapenzi ni nini? Mapenzi ni kitu gani? Kila nyimbo, kila hadithi, kila sinema, kila tamthilia…

Sasa, nitakuwa mnafiki kama nikisema hili ni swala la black and white. Baadhi ya hali ni ngumu sana, na mimi nitakuwa wa kwanza kukubaliana na hilo. Lakini naamini kwa wengi waliobaki, ni swala linaloanzia kwenye mzizi uliooza. Leo, nitafocus kwenye past ya wanawake na future ya wanaume.

Hebu nisikilize…

Binafsi, naamini kuwa mwanaume anayemtaka mwenza wake leo hii, kuangalia past ya mwanamke wake ni muhimu sana. Kuna mengine pia, lakini hii ni muhimu mnoo. Kwa wengi msiojua, past ya mwanamke inakuja na trauma. Mara nyingi, kama mwanamke alikuwa malaya (yaani amepitiwa na wanaume zaidi ya wawili na kuendelea), na wewe ukaja kumfanya kuwa mwenza wako, kuna chance ya asilimia 90 huyu mwanamke atakuletea shida baadaye. Kama sio kwa usaliti, basi kwa tabia, na kama sio tabia basi kwa mindset, kwa sababu mara nyingi huwa wanaumizwa na wanajenga "Perception" fulani kuhusu wanaume kichwani mwao, ambayo inakuwa trauma inayodumu. Tena, sio wote, lakini wengi wao. Ndio maana kuna msemo usemao "Once a rebel, always a rebel."

Anyway, sasa unaweza kuuliza, inakuaje kwa wanaume?
Bahati nzuri, katika jamii zetu, hakuna mwanamke mwenye akili timamu atakayechunguza past ya mwanaume wake kutoka kwa mtazamo wa uhusiano. Hili ni jambo lilio kuwepo tangu enzi, kwa maisha yetu hata kwa wanyama kuna hierarchy. Angalia tu kwa mfano, kwa kuku, jogoo mbabe ndiye atazunguka na kutetea wote. Kwa binadamu, mwanamke atatafuta bora, atakaemuona anafaa, mwenye malengo yatakayomridhisha. Na ikiwa haeleweki, mara nyingi atapigwa chini na kwenda kwa mwingine. Hii ni asili ya mambo. Wanawake wanahitaji mtu atakayewalinda wao na kizazi chao kwa upande wa kifedha, kijamii, na kadhalika.

Hivyo basi,
Mwisho wa siku, mwanamke akiingia kwenye mahusiano na mwanaume ambaye malengo yake hayapo wazi, ni kosa lake. Hana wa kumlaumu.
Vilevile, mwanaume akiingia kwenye mahusiano na mwanamke ambaye tayari amepitiwa na kuchezewa hovyo, makosa ni yake kwa kukurupuka.

Mkuu umegereralize sana , tambua pia binadamu wanabadilika.

Na kwa mtazamo wako wewe mwanamke akiwa hajatembea na wanaume zaidi ya 2 ndiye anatulia kwenye ndoa na aliyetembea na zaidi ya 2 hawezi kutulia?

Na si dhani kama ni rahisi sana kufatilia past ya mtu na kufahamu mahusiano yote aliyopitia.
 
Mkuu umegereralize sana , tambua pia binadamu wanabadilika.

Na kwa mtazamo wako wewe mwanamke akiwa hajatembea na wanaume zaidi ya 2 ndiye anatulia kwenye ndoa na aliyetembea na zaidi ya 2 hawezi kutulia?

Na si dhani kama ni rahisi sana kufatilia past ya mtu na kufahamu mahusiano yote aliyopitia.
Asante sana kwa mchango wako, napenda kuhave conversations kama hizi, so binafsi kaka nadhani inajielezea kama wanavyosema dalili ya mvua ni mawingu, inajielezea kabisa kama binti alishindwa kufunga miguu yake kupita wavulana wawili basi huyu hafai of course zio wote lakini majority ya wasichana wengi hili ni janga especially sikuzi ambapo wanapewa snaa kipaumbele na kuwa empowered. There is a reason babu zetu walikua wabaoa mabikra lakini nime adjust by modern day times na nikasema wawili, hao wenyew basi tu lakin ni vizur mwanamke awe na mmoja tu, kwasababu lets be real, wanaume tuna mihemko mno kuliko wadada so this will always benefit men kuliko women, wana kila sababu ya kufunga miguu yao na kutegemea kupata the best husband baadae
 
Unabidi usimchungumze MTU Ila unabidi kumuelewa MTU .

Ukiwaelewa watu utaishi nao in peaceful way .

Past ,present and future never exist

Ni mind tu inatengeneza illusion
Asante sana kwa mchango wako ndugu,

Naomba nikupinge kabisa hapo kuna facts nyingi tu ila nitamention 2 au 3,
Kumbuka wanaume sikuiz ndiyo target kubwa ya anguko la jamii, na amini usiamini duniani hapa wanaume wote tukitoweka wanawake hawata chukua muda watauana they can't exist by themselves sisi kitachotumaliza ni kutokuzaliana ila we can survive kwa muda mrwfu zaidi., anyaay, biggest mistake ya watu wengi mnafanya ni kutoangalia past ya mwanamke, of course hauwez kujua kilakitu lakini tabia ni ngozi na kama mbwa ni mbwa tu atajificha kwa wakat mfupi baadae utamuona tu, ndio maana unatakiwa ku date kabla ya kuoa, as long as you can satisfy and make actual decision.

Na unapo sema future doesn’t exist pia nakupinga, kwa mwanamke future ni muhimu sana sana, women are weak, they always like to get a mate ambae anauhakika ata mlinda kiuchumi, kijamii na kimwili, hili ni swala muhim sana na unaposema doesn't exist una prove my point kwamba saiz swala la mahusiano limekua shida kubwa na ndoa nyingi sana zinavunjika kwasababu watu wanakurupuka tu na kutojali nguzo muhim kama hizi, na wewe ni mfano mmojawapo.

I hope nimekusaidiakubadili akili yako na kama haujaoa unampango wa kuoa chonde chonde jali kuhusu past ya mwanamke wako au subr baadae yakukute.
 
Back
Top Bottom