Mambo ya kufahamu kuhusu past ya mwanamke na future ya mwanaume

Mambo ya kufahamu kuhusu past ya mwanamke na future ya mwanaume

Kuna sehemu mtoa Mada kasema mpaka mwanaume afikie Umri wa Kuoa wa miaka 30 angalau awe kasex na wanawake 30....Lakin Mwanamke yeye mpaka kuolewa awe hajafanya sex kabisa au kafanya na mtu 1 na wa pili ndio awe muoaji.
Sasa hao wanawake wote wanaotakiwa kulala na mwanaume watoke wapi au majini.
Kweli umeidaka hiii safi sana kaka 😂, yeah so my point is kusaidia pande zote mbili, ujue sasa hvi kwa ulimwengu huu, wanaume tunapigwa sana na wadada kwenye mapenzi, the game is not balanced, na vijana wengi hawalijui hili wanaishia kua simps na kulia hovyo, dawa ni ku date na 30 by age of 30 by then utakua umepata experience nzuri ya akili zao ambapo utaweza kuchagua the best mate wa kumuoa...

Vivyo hvyo kwa wadada najua hawawezi kufunga miguu yao, ila kama wataskiza na wakifunga basi itakua faida kwa wote, wanaume watakua virgin na wanawake watakua virgins mwisho wa siku hakuna kuleteana shida... Either way hii ni ndoto lakini a wish is a wish, so men piga 30 by age of 30 and thank me later.

Alaf wanaume hawatakiwi kuoa chini ya miaka 30, muhim sana ntaanzisha thread specific for this
 
Samahani sana kwa jibu gumu, lakini there's no such thing as kukulinda kihisia, uo ni USHOGA, na ukiona mwanaume anasupport ujinga huo mchunguze atakua shoga, Hisia zako pambana nazo, kazi yangu ni kuhakikisha unakula vzuri, unavaa vizuri, nakulinda phisically, nakuhudumia vizuri kiafya, uzae watoto wenye afya, watu mnachoshindwa kuelewa ndoa sio baby baby love you love you, ndoa ni partnership ni ushirikiano kati ya mme na mke kuhakikisha wanalea offspring ambae atakuja kua faida kwa jamii baadae... Mambo ya feeelings meee meee meee nyoko nyoko huo ni USHOGA, mwanaume wa kweli ata provide security, ata ku protect what more do you want? Emotional stuff ni ushoga, no one can deal with it zaid yenu wenyew wanawake.

Kuhusu past na future, kumbuka kwenye post nimeandika wanaume na wanawame tuna complement each other, meaning focus yako ni future ya mwanaume na focus yangu ni past ya mwanamke...

Haya tuje point ya kupigwa,
Sasa dada angu mpaka unapigwa inamaana hauku date na huyu mtu kabla ya ndoa? Kuna some cases ziko extreme lakiin those are minor cases, sote tunajua anaelinda mlango wa sex ni wewe so ni jukumu lako kujua utakae mpa mlango hatokuletea shida baadae, dunia haiko fair u have to learn to observe. Ukipata mwanaume mbaya KOSA ni lako huna wa kumlaumu, wanaume wengi wapo ila pengine UJINGA wako utakuponza ukaangukia kwa tapeli.

Kingine saaa....
Mwanaune hata akikucheat wewe kama kweli ndio chaguo lake hawezi kukuacha, mwanaume kucheat ni sawa na kukojoa tu kichakani, ni mihemko ya muda mfupi, mwanaume hata iweje kama wewe ndo chaguo lake utabaki kuwa wewe tu, so past yake in terms of mahusiano doesn't matter at all, ndio maana hata nyie hamuangaikagi hata kdgo kuangalia past ya mwanaume in terms of umalaya nk. (obviously kuna vitu muhim vya kuangalia kwa mwanaume mbali na mahusiano) lakin point yangu inalenga mahusiano kwamba past ya mwanaume doesn't matter at all. So usihangaike...
ni uzembe wako kuchagua mwanaume mpumbavu, wewe ndo unaetongozwa uta date na huyu mtu kumsoma mwenendo wake kabla ya kuolewa na utamfahamu tu.

Na sijachanganya material na tabia,
Kwasababu ukwel ni kwamba wanawake mnaangalia wanaume in terms of Security, protection, provision which include material stuff, lakin sisi tunaangalia nyuma yako kwasababu hatutaki kuja kulea watoto za watu baadae, binti malaya ni malay tu hawez kubadilika hata. So ndio maana muhim kuangalia past yenu ili tusipoteze nguvu kwa malaya.
Ulichoandika kina sadifu akili zako, kwahiyo kukuelewesha ni upotevu wa muda.
 
Ulichoandika kina sadifu akili zako, kwahiyo kukuelewesha ni upotevu wa muda.
Sishangai ukizingatia jinsia yako... Ni ngumu kukubaliana na nalitegemea hili kutoka kwa wanawake,

Ila so far ni vzur kuwa na mazungumzo magumu ndio yanajenga asante kwa mchango wako.
 
Mleta mada mwenyewe IQ yako inatia shaka kwakweli
Yet unaesema mapenz ya ziada asilimia 80 ya simu yako imejaa ngono, of course i could be wrong, but pattern inaonyesha watu wa namna yako kwa kiadi kikubwa hyo ndiyo life style yenu.

Kumbuka nimeomba u comment kama una High IQ pekee. Ili kuepusha oage kujaa comment zisizo na
 
Unabidi usimchungumze MTU Ila unabidi kumuelewa MTU .

Ukiwaelewa watu utaishi nao in peaceful way .

Past ,present and future never exist

Ni mind tu inatengeneza illusion
Hivi wewe ni dokta wa nini mbona unauwezo mdogo hivi wa kiuchambuzi???!!!
 
Sijaona point ya msingi hapo kwanini historia ya maisha ya mwanamke ni muhimu kwenye mahusiano. Jibu ni moja tu, Pride, a man to feel proud he needs to Marry a health woman.
Huna akili,,,,kuwa uyaone bwana mdogo.
 
Sio pride natumaini we ni mwanaume, na unatia aibu kutetea ujinga, nakukumbusha kuna sababu maalum iliyowafanya babu zetu waoe bikra back then, sio pride, lakin kwa sasa hatuko zaman so iko hvi.

Unafkr leo hii unaoa mwanamke alaf baadae unaambiwa alikua anajiuza kashasepa na wanaume kama 50 hvi, we utabak ndoani? Unafkr kwann sikuiz wanaume weng wanalea watoto sio wao? Sababu ya upuuzi kama wako sio pride ni umakini unless Labda uwe shoga... Mbali na hapo kiafya mwanaume akimlala mwanamke kuna some sort of dna zinabaki kwa mwanamke overtime, kwahy future mke wako akilalwa tambua kuna dna zinabaki kwake ata aoge vp, imagine later unazaa nae huyu mtu? So sio pride, unahudumia so kwakua unahudumia u have to make sure u get the best deal as possible.

Kuhusu DNA soma hapa zaidi...
View attachment 3151702
View attachment 3151701
Duh,
Kwa hiyo kuna uwezekano ukatungisha mimba halafu baadaye kipimo cha DNA kikifanywa kikaonyesha mtoto siyo wako, kumbe ni sababu ya DNA za mahawara wa huko nyuma walizoacha ndani ya mkeo!
 
Back
Top Bottom