Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Kipimo cha Comment ya mwenye IQ kubwa na ndogo ni ipi ?Kimoja wapo ni kutumia common sense katika utoaje wa comment.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipimo cha Comment ya mwenye IQ kubwa na ndogo ni ipi ?Kimoja wapo ni kutumia common sense katika utoaje wa comment.
Both, kwaajili ya wote wawili lakini mtafutaji lazima uwe wewe, mwanamke hata kazi hatakiwi kufanya na kama anapenda kufanya afanye kazi yako wewe ambayo atakua anakusaidia, cause siku zote mwanamke hawez kutumikia mabwana wawili, bwana wa kazin na bwana wa nyumbaniwomen are weak, they always like to get a mate ambae anauhakika ata mlinda kiuchumi, kijamii na kimwil
Kwa hiyo ukioa ukawa unatoa hela ya chakula na ya gesi na ya maji unafanya hayo kwa ajili ya mwanamke au pia kwa ajili yako???
So ukinunua gas kubwa uwaze kwamba hutumii peke yako mnatumia wote ndo uumie roho kweliBoth, kwaajili ya wote wawili lakini mtafutaji lazima uwe wewe, mwanamke hata kazi hatakiwi kufanya na kama anapenda kufanya afanye kazi yako wewe ambayo atakua anakusaidia, cause siku zote mwanamke hawez kutumikia mabwana wawili, bwana wa kazin na bwana wa nyumbani
Ila ni kweli kuwa hauwezi kupata chumba cha hotel bila cheti cha ndoa na mwanamke uliyefuatana nae?Ndugu zangu kwa anaehitaji kutembea/kutalii Zanzibar anitafute
Zanzibar ni njema atakae aje
Sio pride natumaini we ni mwanaume, na unatia aibu kutetea ujinga, nakukumbusha kuna sababu maalum iliyowafanya babu zetu waoe bikra back then, sio pride, lakin kwa sasa hatuko zaman so iko hvi.Sijaona point ya msingi hapo kwanini historia ya maisha ya mwanamke ni muhimu kwenye mahusiano. Jibu ni moja tu, Pride, a man to feel proud he needs to Marry a health woman.
Kuhusu haya maelezo ya hawa waandishi sio ya kuweka maanani sana,kwasababu ni kweli kuna athari ambayo ipo ya mwanaume kwa mwanamke pale anapo ingiliana nae na kumwaga mbegu zake,kuna utambulisho wake unakuwepo pale lkn si kipindi cha kuzidi miezi mitatu,kwa maana uke unakuwa umezoea fluid au cell za mwanaume fulani,na unajua kwa nini maradhi ya ngono hutokea?Sio pride natumaini we ni mwanaume, na unatia aibu kutetea ujinga, nakukumbusha kuna sababu maalum iliyowafanya babu zetu waoe bikra back then, sio pride, lakin kwa sasa hatuko zaman so iko hvi.
Unafkr leo hii unaoa mwanamke alaf baadae unaambiwa alikua anajiuza kashasepa na wanaume kama 50 hvi, we utabak ndoani? Unafkr kwann sikuiz wanaume weng wanalea watoto sio wao? Sababu ya upuuzi kama wako sio pride ni umakini unless Labda uwe shoga... Mbali na hapo kiafya mwanaume akimlala mwanamke kuna some sort of dna zinabaki kwa mwanamke overtime, kwahy future mke wako akilalwa tambua kuna dna zinabaki kwake ata aoge vp, imagine later unazaa nae huyu mtu? So sio pride, unahudumia so kwakua unahudumia u have to make sure u get the best deal as possible.
Kuhusu DNA soma hapa zaidi...
View attachment 3151702
View attachment 3151701
Umesema kitu Cha maana Sana kama Kuna mtu hajaelewa aaaah! hyo atulie kabisaKuhusu haya maelezo ya hawa waandishi sio ya kuweka maanani sana,kwasababu ni kweli kuna athari ambayo ipo ya mwanaume kwa mwanamke pale anapo ingiliana nae na kumwaga mbegu zake,kuna utambulisho wake unakuwepo pale lkn si kipindi cha kuzidi miezi mitatu,kwa maana uke unakuwa umezoea fluid au cell za mwanaume fulani,na unajua kwa nini maradhi ya ngono hutokea?
Ni kwasababu cell za mwanaume fulani zimejenga urafiki na cell za mwanamke fulani,sasa mwanaume mwingine anapomuingilia mwanamke huyo,hapo kuna kuwa na cell mpya zimeingia ambazo zinaonekana ni tishio,hivyo cell za mwanaume wa mwanzo zinapigana na wageni hawa wapya katika kujikinga na uvamizi,mwisho wa siku ndio chanzo cha maradhi ya ngono
Ndio maana eda ya kuachwa mwanamke kwa waislamu ni miezi mitatu kabla hajaolewa tena,lengo kwanza ni kumwangalia mwanamke kama ana mimba ya mume wa awali,lkn pili ni kuacha kipindi hicho kipite ili zile cell za mwanaume au mume yule zitoke katika mfumo wa mwanamke huyu,na kuwa tayar kupandikiza mfumo wa mume mpya
Huenda itakuwa ngumu kunielewa kwakuwa sikutumia maneno ya kitaalamu,lkn si kweli kwamba eti mwanaume wa kwanza ndio amerithisha DNA zake kwa watoto wote watao zaliwa si sahihi
Pole kama itakuwa ngumu kunielewa maana sina namna nyingine ya kufafanua
Vingereza ndo janga sasa hapa.There you go, mkiambiwa ukweli ooh tunachukia wanawake, no dada shida wanaume wengi wamekua cucks sikuhiz they tolerate fuxkery kila sehem, men are so weak these days mpaka wamefanya wadada kupanda vichwani wanaume, im here to remind them and if that makes u cry, well cry more means its working,
Mwanamke aliye malaya hafai kuolewa PERIOD. wakat unafanya ujinga unategemea baadae ukampe makombo mwanaume akuoe naah, una vuna ulichopanda. Ukifanya umalaya HAKUNA NDOA you wilk die single, only men wakupita tu but no one and you don't deserve a man to marry you.
Na sababu kubwa naona haujasoma ngoja niache hapa kila mtu aone SABABU KUBWA YA KUANGALIA PAST YA MWANAMKE NI KWAMBA UNAWEZA KUBEBA DNA ZA Uliopita nao nyuma...
Soma hapa vizuri.
Kinachonifurahisha ni vile wanawake mnakimbilie kutetea point ya past, as if you know exactly that your past sucks 😅,Vingereza ndo janga sasa hapa.
Historia ya nyuma ni muhimu kwa wote wawili sio mwanamke peke yake hata mwanaume lakini pia angalia mwenendo wa sasa, wengine Huwa na Yale Yale na wengine huacha. Kwahy kusema akitembea na wanaume wengi ndo hafai sio kweli hutegemea mtu na mtu, huwezi kutoa suluhisho la jumla ikiwa watu hawafanani.
Kuna wanaume wana malengo lakini historia na mienendo Yao inawakataa.
Muhimu ni kuzingatia mtu atakaekuwa tayarii kuyabeba majukumu yake kikamilifu iwe mke au mume na hili huwezi kulijua bila ya kumchunguza uliyenae, usiridhike. nakupenda pekee haitoshi.
DNA zinaisha baada ya miezi 3, sasa kwa wenye mienendo ya kihuni Kila siku zinazaliwa upya lakini kama ni historia ya nyuma Huwa Hana DNA za mtu yoyote baada ya muda huo.
Kwahiyo labda ukiangalia unayoiita past ya mwanamke ukakuta alitembea na 20, ndo inasaidia Nini!? Ikiwa mwenendo wake wa sasa umebadilika!?. Huwezi kuangalia past pekee bila kuangalia future anayokwenda nayo.Kinachonifurahisha ni vile wanawake mnakimbilie kutetea point ya past, as if you know exactly that your past sucks 😅,
Hakuna kubeba majukumu, ni kama unamuomba mtu umuuzie kuku na yai viza, hata kama atalitupa hakuna haja, kuku wako wengi,
Haya historia ya nyuma ni muhim kwa wote? Ni sawa na kusema mwanaume ni muhim aangalie future ya nwanamke wake, je ana malengo, je ataweza kumlinda? Je atahudumia?
Can you see how stupid it is? Again, utofauti men na women wana namna tofauti tunavyoweza ku complement each other, wewe leo hii ukaanze kuangalia past yangu mimi wakat mimi ndio nakutongoza, mimi ndio nakuoa, mimi huyu nakulinda ukivamiwa na vibaka, mimi huyu nakuhudumia, mimi huyu nakutunza kiuchumi, alaf uache yote haya eti ukaangalie past yangu utakua una akili au matope?
Lakini mimi sikutegemei wewe kwa pesa ya chakula, kwa ulinzi wa kiuchumi, kwa ulinzi nikivamiwa na vibaka, kwa malengo na kuongoza familia, sasa kama siangalii yote haya kwako kwanini nisiangalie past yako?
See? Soma vizur ondoa emotions utaelewa my point
Sio kweliIla ni kweli kuwa hauwezi kupata chumba cha hotel bila cheti cha ndoa na mwanamke uliyefuatana nae?
Umeeleweka kaka, na ni vzuri tunakuwa na hizi conversations, hata kama ni miez mitatu hakuna faida ya mwanamke kuachia miguu yake kwa wanaume wengi ambao hawato muoa, mwisho wasiku trauma atakayotoka nayo hagujui ataishije nayo huko mbeleni, mbali na hapo kijamii, kiustaarabu ni vizuri mwanamke afunge miguu yake mpaka akishindwa sana wawili wanamtosha. Zaid ya hapo ni umalaya. Na yenyew wawili basi tu sababu ya life style ya sikuhizi.Kuhusu haya maelezo ya hawa waandishi sio ya kuweka maanani sana,kwasababu ni kweli kuna athari ambayo ipo ya mwanaume kwa mwanamke pale anapo ingiliana nae na kumwaga mbegu zake,kuna utambulisho wake unakuwepo pale lkn si kipindi cha kuzidi miezi mitatu,kwa maana uke unakuwa umezoea fluid au cell za mwanaume fulani,na unajua kwa nini maradhi ya ngono hutokea?
Ni kwasababu cell za mwanaume fulani zimejenga urafiki na cell za mwanamke fulani,sasa mwanaume mwingine anapomuingilia mwanamke huyo,hapo kuna kuwa na cell mpya zimeingia ambazo zinaonekana ni tishio,hivyo cell za mwanaume wa mwanzo zinapigana na wageni hawa wapya katika kujikinga na uvamizi,mwisho wa siku ndio chanzo cha maradhi ya ngono
Ndio maana eda ya kuachwa mwanamke kwa waislamu ni miezi mitatu kabla hajaolewa tena,lengo kwanza ni kumwangalia mwanamke kama ana mimba ya mume wa awali,lkn pili ni kuacha kipindi hicho kipite ili zile cell za mwanaume au mume yule zitoke katika mfumo wa mwanamke huyu,na kuwa tayar kupandikiza mfumo wa mume mpya
Huenda itakuwa ngumu kunielewa kwakuwa sikutumia maneno ya kitaalamu,lkn si kweli kwamba eti mwanaume wa kwanza ndio amerithisha DNA zake kwa watoto wote watao zaliwa si sahihi
Pole kama itakuwa ngumu kunielewa maana sina namna nyingine ya kufafanua
Samahani sana kwa jibu gumu, lakini there's no such thing as kukulinda kihisia, uo ni USHOGA, na ukiona mwanaume anasupport ujinga huo mchunguze atakua shoga, Hisia zako pambana nazo, kazi yangu ni kuhakikisha unakula vzuri, unavaa vizuri, nakulinda phisically, nakuhudumia vizuri kiafya, uzae watoto wenye afya, watu mnachoshindwa kuelewa ndoa sio baby baby love you love you, ndoa ni partnership ni ushirikiano kati ya mme na mke kuhakikisha wanalea offspring ambae atakuja kua faida kwa jamii baadae... Mambo ya feeelings meee meee meee nyoko nyoko huo ni USHOGA, mwanaume wa kweli ata provide security, ata ku protect what more do you want? Emotional stuff ni ushoga, no one can deal with it zaid yenu wenyew wanawake.Kwahiyo labda ukiangalia unayoiita past ya mwanamke ukakuta alitembea na 20, ndo inasaidia Nini!? Ikiwa mwenendo wake wa sasa umebadilika!?. Huwezi kuangalia past pekee bila kuangalia future anayokwenda nayo.
Labda kwa nilivyokuelewa ukisema future unamaanisha vitu yaani pesa ya kula, nyumba mtayoishi , mavazi n.k , kwakua mume ndo anavitafuta basi mke aangalie hvyo tu . Vipi kuhusu kunilinda kihisia!? , Anaweza kufanya hvyo pia!?. Ndo hpo linakuja swala la kuangalia past yake.
Lakini kama tunaongelea future ya kitabia kama ilivyo past kitabia , maana huangalii past ya mwanamke kugundua vitu alivyowahi kumiliki basi unaangalia tabia zake za nyuma, sasa kama mwanamke anaweza kuwa na tabia mbovu isiyiridhisha kma uhuni n.k, vipi tusiangalie kwa mwanaume pia, ikiwa yeye sio malaika kutoka mbinguni!?.
Mwanaume anaweza akakutunza akakulinda lakini akawa anakupiga matukio ya uzinzi, Malaya sanaa, Kila mwanamke wakwake, kwahy mwanaume kama huyu tuache kuangalia past yake kwakua anahudumia nyumbani!?. Je, tukiangalia past yake Kisha mwenendo wake wa sasa kujua kma Hana tena ya zamani au yapo Yale Yale, Huoni kama tutakuwa tumeepuka vingi!?.
Mimi nafikiri wewe ndo Bado hujaelewa dhana ya future na past kwa mwanamke na mwanaume, tabia na material unachanganya pamoja.