Mambo ya kufahamu kuhusu past ya mwanamke na future ya mwanaume

Kweli umeidaka hiii safi sana kaka πŸ˜‚, yeah so my point is kusaidia pande zote mbili, ujue sasa hvi kwa ulimwengu huu, wanaume tunapigwa sana na wadada kwenye mapenzi, the game is not balanced, na vijana wengi hawalijui hili wanaishia kua simps na kulia hovyo, dawa ni ku date na 30 by age of 30 by then utakua umepata experience nzuri ya akili zao ambapo utaweza kuchagua the best mate wa kumuoa...

Vivyo hvyo kwa wadada najua hawawezi kufunga miguu yao, ila kama wataskiza na wakifunga basi itakua faida kwa wote, wanaume watakua virgin na wanawake watakua virgins mwisho wa siku hakuna kuleteana shida... Either way hii ni ndoto lakini a wish is a wish, so men piga 30 by age of 30 and thank me later.

Alaf wanaume hawatakiwi kuoa chini ya miaka 30, muhim sana ntaanzisha thread specific for this
 
Ulichoandika kina sadifu akili zako, kwahiyo kukuelewesha ni upotevu wa muda.
 
Ulichoandika kina sadifu akili zako, kwahiyo kukuelewesha ni upotevu wa muda.
Sishangai ukizingatia jinsia yako... Ni ngumu kukubaliana na nalitegemea hili kutoka kwa wanawake,

Ila so far ni vzur kuwa na mazungumzo magumu ndio yanajenga asante kwa mchango wako.
 
Mleta mada mwenyewe IQ yako inatia shaka kwakweli
 
Unabidi usimchungumze MTU Ila unabidi kumuelewa MTU .

Ukiwaelewa watu utaishi nao in peaceful way .

Past ,present and future never exist

Ni mind tu inatengeneza illusion
Hivi wewe ni dokta wa nini mbona unauwezo mdogo hivi wa kiuchambuzi???!!!
 
Sijaona point ya msingi hapo kwanini historia ya maisha ya mwanamke ni muhimu kwenye mahusiano. Jibu ni moja tu, Pride, a man to feel proud he needs to Marry a health woman.
Huna akili,,,,kuwa uyaone bwana mdogo.
 
Duh,
Kwa hiyo kuna uwezekano ukatungisha mimba halafu baadaye kipimo cha DNA kikifanywa kikaonyesha mtoto siyo wako, kumbe ni sababu ya DNA za mahawara wa huko nyuma walizoacha ndani ya mkeo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…