Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Dah yaani mimi shukrani yangu ilikuwa kofi tu basi.Huyo alikutana na muungwana bahati yake.Kule kwetu sijui mkubwa kujamba ni taboo yaani hadi leo sijaelewaga kwa kweli.[emoji23][emoji23][emoji23] ila ulikuwa na adabu angekuwa mtoto mwingine angesema sio Mimi[emoji23][emoji23][emoji23], kwetu mtoto alisingiziwa na huyo Mzee walikuwa wazee wengi nayeye alikuwa na Baba yake, asubuhi yake huyo Mzee kamfuata twende ukale chakula mtoto ulinitoa aibu kamchinjia na kuku kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliendaga kijijini BK huko nipo mdogoo. Wakati wa kula sasa kiherehere changu kikanipeleka kula kwa wakubwa badala ya kula na watoto wenzangu.Wakati wa kula mtu mzima akajamba kofi nikapewa mimi dah! Halafu na kufokewa juu.Baada ya msosi mama akanifuata kunibembeleza. Nikamwambia siwezi kukaa huku tuondoke.Ndani ya siku mbili tu tukarudi Mwanza.
Yaani wakubwa starehe yenu halafu makofi mtupige sie! Tamaduni za ajabu sana!
Hapo mlikosea step za kuficha aibu ya mama, mlitakiwa muendelee na maongezi kama vile halijatokea jamboMama alijambaga wakati tupo mwenye kikao cha familia. Kimya kikapita kama dakika 3 maongezi yakaendelea
😀😀Raha ya kujamba uwe pekee yako, ubinue kalio moja, ushuzi utoke taratibu, usikilizie harufu yake(mjambaji harufu hata ikiwa mbaya atahisi nzuri)
Kweli kabisa, na alimfuata kwa wazazi wake, mtoto kaenda kutafuna kuku[emoji3]Dah yaani mimi shukrani yangu ilikuwa kofi tu basi.Huyo alikutana na muungwana bahati yake.Kule kwetu sijui mkubwa kujamba ni taboo yaani hadi leo sijaelewaga kwa kweli.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hiyo adhabu yako aiseeNiliendaga kijijini BK huko nipo mdogoo. Wakati wa kula sasa kiherehere changu kikanipeleka kula kwa wakubwa badala ya kula na watoto wenzangu.Wakati wa kula mtu mzima akajamba kofi nikapewa mimi dah! Halafu na kufokewa juu.Baada ya msosi mama akanifuata kunibembeleza. Nikamwambia siwezi kukaa huku tuondoke.Ndani ya siku mbili tu tukarudi Mwanza.
Yaani wakubwa starehe yenu halafu makofi mtupige sie! Tamaduni za ajabu sana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulikula mayai na mihogo nini ungeua mtoto wa watu haaaa haaaaNiliwahi kumbeba mtoto wa miezi mi-4 kwa hiari yangu nikamuachia yule yusufyuuuuuuuuu, zilipita sekunde 5 kwa harufu Ile mtoto alipiga chafya sio chini ya chafya 10.
Aisee...Raha ya kujamba uwe pekee yako, ubinue kalio moja, ushuzi utoke taratibu, usikilizie harufu yake(mjambaji harufu hata ikiwa mbaya atahisi nzuri)
Duh!...[emoji23][emoji23][emoji23] ila ulikuwa na adabu angekuwa mtoto mwingine angesema sio Mimi[emoji23][emoji23][emoji23], kwetu mtoto alisingiziwa na huyo Mzee walikuwa wazee wengi nayeye alikuwa na Baba yake, asubuhi yake huyo Mzee kamfuata twende ukale chakula mtoto ulinitoa aibu kamchinjia na kuku kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
Makubwa hayaKuna baadhi ya makabila hapa tz yapo kama matatu hv sitataja kuepusha vurumai....
mtu mzima akijamba wadogo mnatakiwa kuitikia 'asante'
Mama alijambaga wakati tupo mwenye kikao cha familia. Kimya kikapita kama dakika 3 maongezi yakaendelea