Mambo ya kushangaza kuhusu kujamba

Dah yaani mimi shukrani yangu ilikuwa kofi tu basi.Huyo alikutana na muungwana bahati yake.Kule kwetu sijui mkubwa kujamba ni taboo yaani hadi leo sijaelewaga kwa kweli.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu mbona mimi najamba sana halafu mke wangu yaani ni mara chache sana kujamba. Yaani tunaweza kusema hajambi kabisa. Wakati vyakula wote tunakula hivyo hivyo nyumbani.
Mwanzoni nilikua nikimkera sana sana sasa hivi kashanzoea napiga vitu tena kwa kujiaachia.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hiyo adhabu yako aisee
 
Duh!...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…