Mambo ya kutisha kuhusu Mamelod Sundowns "Masandawana"

APPLE iPHONE 6 PLUS 220,000

BRAND NEW & CLEAN FROM CANADA

SPECIFICATIONS

Battery Health - 100%
Fingerprint Sensor - Working


RAM - 1GB
ROM/Internal - 64GB
Screen Size - 5.5 inches
Operating System - iOS
Color - Gold
Display Type - IPS LCD
Resolution - 1080 x 1920
SIM - Nano SIM
Main Camera - 8MP f/2.2
Selfie Camera - 2MP f/2.2
Battery - 3000
Bluetooth - 4.0
USB 2.0 & NFC


0783060577
Haina kasoro yoyote kwa 220,000 tu
 
hakuna kitisho hapo ni ushuzi tu...
 
Kwakuwa umeamua kuliongelea hili swala ndugu 'Mwathibu' basi Yanga tuna qualify kwenda ΒΉ/Β² fainali.
 
Tuma salamu kwa watu watatu.
 
Nimesoma mpaka mwisho, safari hii Muhasibu umeandika kwa angalizo kubwa sana.

Hakuna hata sentensi moja humu umeitaja YANGA, ulichofanya ni kuisifia Mamelod ,lakini ukiunganisha doti NI kama unasema YANGA hawezi kufunga Mamelod Kutokana na ubora wa Mamelod na uwekezaji wake.

Time will tell, ila huu Uzi upo tofauti na ule wa KIHASIBU.
 
We dogo ''mwasibu'', subiria tutakushangaza na huu uzi wako usikimbie.. hata Aziz ki ulisema tumepigwa

mpira ni dakika 90
Tukimaliza kuwafunga, huyu jamaa atakuja hapa na kuandika hivi "Mamelodi hii siyo ile yenyewe, Yanga wamepata mtelemko tu, wengekutana na Mamelodi yenyewe wangekiona cha mtema kuni"
 
Doh Kama had we umeweka Uzi wa kusifia masandawana bas Yanga inashinda jmosi
 
Yanga atamtesa sana Mamelodi Sundowns labda kiwaangushe uzoefu tu.

Mamelodi Sundowns siyo wazuri sana wanapokutana na timu zinazocheza kwa nguvu nyingi.

Wydad, Petro Atletico, Mazembe huwa wanamuonea sana Mamelod na Yanga atafanya hivyo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…